Eeh mmh sidhaniHizo story zote zilipikwa na id’s za mama Miongozo wala msijichoshe kumtafuta mchawi wenu humu 😂😂😂😂
Ila humu maubuyu mengi yanapikwa
Eeh mmh sidhaniHizo story zote zilipikwa na id’s za mama Miongozo wala msijichoshe kumtafuta mchawi wenu humu 😂😂😂😂
Huyo mama miongozo ndio mpikaji mimi nakwambia amini hilo….. 😂😂😂😂Eeh mmh sidhani
Ila humu maubuyu mengi yanapikwa
Kwakua wewe unahaha na Maltipo ids unadhani na wengine tuna huo muda hahaa! Mods wako makini katika kuunga ids jiulize wewe na ids zako za penso yen34 sijui ye67 !Unaona sasa unavyojimix jana mimi niliweka picha wapi?? 😂😂😂😂
Eti wananzengo jana niliselfika mimi hapa??
Mama miongozo gram hebu tulia, njoo taratiiibuu…..
Sema hiyo picha ss hivi umepiga vzr jana uliweka kwapa tupu….
Haya pandisha juu tuone dred
Halafu umekubali km una multiple id 😂😂😂
Mmeona?? Si niliwaambia???
Sasa msiwe mnajichosha na kujibizana na zile id’s ni zake na mwenyewe leo kakubali
Wewe mbona unachambua wenzio??Humu tunaselfika si kuanza kuchambuana dear jiamini na ujiachie kwaraha zako and be you wasikupangie maisha!
Humu ni everyday nitaulizwa ndo maana naona nitoke zangu tu .Yaani unavyozidi kujitetea ndio unazidi kuharibu.
Chanzo cha yote unakuja..
Ni kumnanga yeye public..na nyie ndio mliomleta jamaa hapa mlivyomtag.
Sisi hata tulikuwa hatumjui.
Rekebisheni hapo na mkayamalise.
Vinginevyo mtakesha.
Malizaneni na udugu wako jamaniHuyo mama miongozo ndio mpikaji mimi nakwambia amini hilo….. 😂😂😂😂
Zile id’s zote ni zako mama Miongozo na ndiomana mods wakaifuta id yangu wakakuachia ids zako upambane nazo unadhani mod’s hawakujua hilo???😂😂😂Kwakua wewe unahaha na Maltipo ids unadhani na wengine tuna huo muda hahaa! Mods wako makini katika kuunga ids jiulize wewe na ids zako za penso yen34 sijui ye67 !
Mikwara uchwara yako pelekea hao wifi zapo pimbbi wenzio?
Gram awe Wangu afu nikukuwadie Wewe pimbiii??? Sio Mimi huyu Tonnia ninaechanganyikiwa na mahusiano labda nhaanhaaa!
Nishakwambia leta story mpya miongozo babu hazina maajabu tushazichoka!
Bado hujasemaaa!!!
Hebu chati na picha tusipigwe ban na Uzi usifungwe weee kipinchi!/duwafu
Uduguu wangu sina tatizo naye ila namuweka sawa apone kichaa chake cha mahusiano 😂😂😂😂Malizaneni na udugu wako jamani
Ila yaishe jamaniUduguu wangu sina tatizo naye ila namuweka sawa apone kichaa chake cha mahusiano 😂😂😂😂
Huyu tiba yake haihitaji pm, huko nitamfata baadae baada ya kumwambia ukweli hapa 😂😂😂😂Ila yaishe jamani
Nyie ni marafiki
Au mrekebishane pm .
Humu ni everyday nitaulizwa ndo maana naona nitoke zangu tu .
Dah niwaache wenyewe myamalizeHuyu tiba yake haihitaji pm, huko nitamfata baadae baada ya kumwambia ukweli hapa 😂😂😂😂
Dah kuna siku naletewa screenshot IDs zimenitukana hatariZile id’s zote ni zako mama Miongozo na ndiomana mods wakaifuta id yangu wakakuachia ids zako upambane nazo unadhani mod’s hawakujua hilo???😂😂😂
Na nitawaambia na ya Ramona nayo wakuunganishie utulie, gram wako ulivyoona nimekukushushua ndio ukaanza kunipa ubuyu wa wewe kutoka naye na wanakuonea wivu sana kila mwanaume unayempata humu ana pesa wanakuibia 😂😂😂😂
Sasa kwann ulikuwa unajipamba na id’s zako?? Unajua kwenye hili huchomoki zile id’s kila siku zinakupamba na kututukana wengine, wewe hujishangai?? Bingwa wa kujisifia na kujiita aunt, yani wewe unajitia kidole na kujinusa mwenyewe ujue 🤣🤣🤣🤣
Yaani I wish niweze kutojibuAcha kujibu
Huyu nimewaambia niachieni mimi naenda naye taratiiiiibu….Dah niwaache wenyewe myamalize
Sema hapa mnasema siri ..
Watu wanakula tu ubuyu .
Yaani humu ukiingia tu humu ushasemwa mpaka basi 😂😂Dah kuna siku naletewa screenshot IDs zimenitukana hatari
Stori ambazo na mm ndio naziona pale
Sema mimi sinaga muda wa kujibu vichaa nikasema tu Mungu ataufunua ukweli.
Haya bhana Mrs . KantriHuyu nimewaambia niachieni mimi naenda naye taratiiiiibu….
Hapa kwanza kaenda kunywa maji, najua atarudi muda sio mrefu uduguu wangu 😂😂😂😂
Na ninavyojua kumpanikisha sasa atafunguka yote nyie tulieni na muone
Yooooo 🤣🤣🤣😂😂😂😂 wala babu simfichi ni grahms, ulikuja kuniambia kwamba ananipenda eti nimtafute wakati ulisema Lenie kakuibia babu.. na aliahidi kumpa million, mwishoe akampa laki…
Na aliyekuunganishia babu gramhs ni coca 😂😂😂😂😂
Kaka Miongozo unaibiwa ulivyokuwa haupo ulikuwa unasaidiwa nikwambie wala sio km anavyokuaminisha tukunyema lako kwamba alibaki bila mtu ni muongo 🤣🤣🤣🤣
Uduguu hi 👋
Nkamu huyu atasema yote ww kaa kwa kutulia, sasa ww chunguza zile id’s zilizokusema kuna kitu utagundua…!!Dah kuna siku naletewa screenshot IDs zimenitukana hatari
Stori ambazo na mm ndio naziona pale
Sema mimi sinaga muda wa kujibu vichaa nikasema tu Mungu ataufunua ukweli.
🤣🤣🤣🤣 Upewe laki tisa yako mapema