Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Attachments

  • Screenshot_20240228-081904.jpg
    Screenshot_20240228-081904.jpg
    127.6 KB · Views: 6
Tuishie hapo Cocastic .

I think nielezea vizuri sana siku ile what happened.

Maisha yaendelee tu , Kuna parts mbili chagua kuamini part yoyote tu .
Wee DA tin em huko,
Njoo unipe ubuyuuu huko bhanaaa, kwann kunitesa kipenzii chakoo??
 
Nishachoka mie
Hii haitoisha , na ukijibu maswali yanazidi .

Umbeya hauishi humu ...
Sitaki maneno zaidi ..

Humu ngoja nilog out kesho na kusepa .

Maana I'm constantly reminded of what happened .

Na mie sitaki kabisa Kila siku niwe najielezea kama nipo court
 
Nikiendelea na Ubuyu nitazidi kujichoresha na kuongea mengine yasiyohusika šŸ˜‚šŸ˜‚

Mimi nilipigwa na kitu kizito tu , nilipenda Hadi tone la mwisho .
Kumbe najidanganya šŸ˜‚šŸ˜‚
Nalazimisha penzi .

Ni hayo tu




Wee DA tin em huko,
Njoo unipe ubuyuuu huko bhanaaa, kwann kunitesa kipenzii chakoo??
 
Wee DA tin em huko,
Njoo unipe ubuyuuu huko bhanaaa, kwann kunitesa kipenzii chakoo??
Kilichoniuma sana ni yeye kuniita pimbi dah , ili hali I'm not short kihivyo

Na juzi kusema nimepauka kitaa sijui nn ,
Yeah ila naishi Maisha yangu , napambana mwenyewe ..

Sina pesa ndio lakini si sahihi kuja kumpaka mtu public vile

Rabbitus iliniuma sana hii .
Ila yamekwisha .
 
Kilichoniuma sana ni yeye kuniita pimbi dah , ili hali I'm not short kihivyo

Na juzi kusema nimepauka kitaa sijui nn ,
Yeah ila naishi Maisha yangu , napambana mwenyewe ..

Sina pesa ndio lakini si sahihi kuja kumpaka mtu public vile

Rabbitus iliniuma sana hii .
Ila yamekwisha .
Nimelia
 
Hatari sana
Dunia haiko fair

Watu wananyanyaswa kisaikolojia jamani
Halafu mwishowe mtu anaweza kujikuta anaishia kujiua hivihivi.
Mbaya zaidi huku kwetu afya ya akili hatujaipa kipaumbele.
Yeah inasikitisha sana
Yani mtu unapenda kumbe upo peke yako . Mwenzio anakuchora tu , anakudanganya ,šŸ˜‚šŸ˜‚

Huyu imemuuma zaidi maana kaliwa na siku hiyo ndo break up dah .

Sio wote wanaojiua Wanapenda ni mambo kama haya .
 
Rudi tu mwaya
Yaliyopita si ndwele, Binadamu kutofautina ni jambo la kawaida..kikubwa ni kusameheana na kurekebisha mlipokoseana.

Maneno kawaida
Ila yasipite kiasi,,wewe control tu umbea basi unaendelea.

Unaogopa kusemwa?
Nani humu hajawahi kusemwa??watu tunasemwa tunapakwa matope na tunadunda tu wala siyo shida zetu na wala hatuhangaiki kujibu hadi wasemaji waombe poo wenyewe.

Rudi tuendeleze stori nzuri..maana apart from umbea ambao pengine ulitunanga watu kuhusu vitu tofauti,bado una mazuri Yako mengi.
Unakumbuka ulinifundisha kupika kachori?
Kila nikipika nakukumbuka

Imagine usingekuwepo ningejifunza wapi?
Ndio ujue bado una mazuri mengi ya kushare na watu.
Nishachoka mie
Hii haitoisha , na ukijibu maswali yanazidi .

Umbeya hauishi humu ...
Sitaki maneno zaidi ..

Humu ngoja nilog out kesho na kusepa šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚.

Maana I'm constantly reminded of what happened .

Na mie sitaki kabisa Kila siku niwe najielezea kama nipo court
 
Back
Top Bottom