CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,066
- 7,650
Bro unadhani kipo basiš ni t shirt tu hyoBrother una kiendekezaš, mi hata Nile vipi still siwezi pata kitambi.
Guess jobless pro max mode Ina niathiriš¤£
Bro unadhani kipo basiš ni t shirt tu hyoBrother una kiendekezaš, mi hata Nile vipi still siwezi pata kitambi.
Guess jobless pro max mode Ina niathiriš¤£
Hapo kuna bomu liliandaliwa mapema sana
Hapanaaa sikubaliii DA tin, hebu ninong'onezee bhanaa.Ndo nimemaliza mimi
Sina la kuongea zaidi
Na juzi ile nilikuwa na mood ya kuongea tu .
Done ....




Wee DA tin em huko,Tuishie hapo Cocastic .
I think nielezea vizuri sana siku ile what happened.
Maisha yaendelee tu , Kuna parts mbili chagua kuamini part yoyote tu .




Nishachoka mie
Hii haitoisha , na ukijibu maswali yanazidi .
Umbeya hauishi humu ...
Sitaki maneno zaidi ..
Humu ngoja nilog out kesho na kusepa.
Maana I'm constantly reminded of what happened .
Na mie sitaki kabisa Kila siku niwe najielezea kama nipo court





Jamani muwe na huruma kiduchušHapo kuna bomu liliandaliwa mapema sana
Wee DA tin em huko,
Njoo unipe ubuyuuu huko bhanaaa, kwann kunitesa kipenzii chakoo??
Akhu nisutwe.tena BURE š š šHapanaaa sikubaliii DA tin, hebu ninong'onezee bhanaa.
![]()
Sasa niki mpa zawadi ya dunia, nyie mtakaa wapiš¤£šBora umenikumbusha, Jioni tutakaa Kikao na Wazee wenzangu kukumbushia suala lako la Kumposa Nuzulati
Ulisema akikukubalia ndiyo utampa zawadi ya Dunia yote muishi peke yenu sio š
Kilichoniuma sana ni yeye kuniita pimbi dah , ili hali I'm not short kihivyoWee DA tin em huko,
Njoo unipe ubuyuuu huko bhanaaa, kwann kunitesa kipenzii chakoo??
šššššMimi nilipigwa na kitu kizito tu , nilipenda Hadi tone la mwisho .
Kumbe najidanganya šš
Nalazimisha penzi .
NimeliaKilichoniuma sana ni yeye kuniita pimbi dah , ili hali I'm not short kihivyo
Na juzi kusema nimepauka kitaa sijui nn ,
Yeah ila naishi Maisha yangu , napambana mwenyewe ..
Sina pesa ndio lakini si sahihi kuja kumpaka mtu public vile
Rabbitus iliniuma sana hii .
Ila yamekwisha .
Yanauma hayošJamani muwe na huruma kiduchuš
Dada wa watu maskini .. I can imagine kutooga siku tatu kwa ke inakuwaje ni š¢
Yani amejikatia tamaa na kuchoka
Yeah inasikitisha sanaHatari sana
Dunia haiko fair
Watu wananyanyaswa kisaikolojia jamani
Halafu mwishowe mtu anaweza kujikuta anaishia kujiua hivihivi.
Mbaya zaidi huku kwetu afya ya akili hatujaipa kipaumbele.
Nishachoka mie
Hii haitoisha , na ukijibu maswali yanazidi .
Umbeya hauishi humu ...
Sitaki maneno zaidi ..
Humu ngoja nilog out kesho na kusepa ššš.
Maana I'm constantly reminded of what happened .
Na mie sitaki kabisa Kila siku niwe najielezea kama nipo court
ššššššš
š„°Nimelia