Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hata kwenye stori sijui niliingia vipi maana ilikuwa uzi wamefunguliana huko,ERoni alikuwa anajadiliana,nikaingizwa na mm kwenye stori from no where na matusi kibao.

Nikawaza ama ndio vitisho nilivyopewa pm wamekuja kutimiza azma yao.
Nkamu huyu atasema yote ww kaa kwa kutulia, sasa ww chunguza zile id’s zilizokusema kuna kitu utagundua…!!
Utaona wote wanasema watu wa aina moja na wanamsifia mtu wa aina moja 😂😂😂😂
Na uzuri uduguu kakubali ana multiple id nyingi
 
Lakini nakumbuka ulimueleza hivyo Siku ya kwanza 😅😅

Yaani ulikosa ahadi zote za kumpa hadi umpe Dunia

Bora ungesema tumpe yale mashamba yetu ya Katavi 😜

Kuhusu sisi pa kuishi tutafanyaje sasa Wakati Kijana wetu ameamua kutufukaza kijanja......🙌
Mzee labda uli sikia vibaya, ni kweli nampenda Nuzulati Sana 💓💓.

Ila siku mwambia nita mpa dunia 🤣, uli sikiliza Baada ya kula ka ugoro.

Dah Kama vipi tusubiri Jamaa wa kwenye avatar yangu, afanikishe safari ya kwenda Mars🤣😁
 
Msifute koments zenyuuu hata moja nimalizie kula chaki kwanza!

Mchezo hauhitaji hasira huuuu !


Msisahau kuchati na picha kwawingi Uzi usifungwe jamani
Hapa hadi wapinzani wamesalute yani Pacome ninoumaaaaaaaaaaa!🐒🐒🐒🐒🐒🐒🐒
 

Attachments

  • Screenshot_20240227-093521~3.jpg
    Screenshot_20240227-093521~3.jpg
    68 KB · Views: 5
Mimi unadhani najali basi?
Nitatoka nikiamua mwenyewe kutoka,wala siyo kutolewa na mtu.
Eeh Bora una moyo mgumu ..
Mimi sipendi kunangwa sana

Huku nje ndo Sina habari na mtu .

Kuna nyumba nilikaaa miezi 8 yote hakuna aliyenijua jina .. ni wananiita dada wa nje yule mgeni .
 
Yaani I wish niweze kutojibu
Kuna mda ni unasoma unabaki tu kusema , why this ??

Halafu inauma kama hujafanya kitu
Kwa ubinadamu ni ngumu kutojibu .
Sasa wewe kwanini ujihangaishe kujibu?
Wewe kama unajua kitu hujafanyaama umefanya,Achana nacho
Mungu anakujua,na siku ya hukumu utasimama mbele za Mungu,na si watu.
Hakuna unachopungukiwa...
Unamuachia tu Mungu.
 
Hata kwenye stori sijui niliingia vipi maana ilikuwa uzi wamefunguliana huko,ERoni alikuwa anajadiliana,nikaingizwa na mm kwenye stori from no where na matusi kibao.

Nikawaza ama ndio vitisho nilivyopewa pm wamekuja kutimiza azma yao.
Duh pole sana .
 
Msifute koments zenyuuu hata moja nimalizie kula chaki kwanza!

Mchezo hauhitaji hasira huuuu !


Msisahau kuchati na picha kwawingi Uzi usifungwe jamani
Hapa hadi wapinzani wamesalute yani Pacome ninoumaaaaaaaaaaa!🐒🐒🐒🐒🐒🐒🐒
😂😂😂😂 Uduguuu kula chaki uje utupie picha tuone hipusi, leo nna muda mwingi wa kuongea na wewe, nimekuhamu sana uduguu wangu….
Ila usije na zile id’s zako utajichoresha, njoo na hii tuongee vzr…
Ukimaliza nishtue basi namalizia kukinga maji hapa 😂😂😂
 
Sasa wewe kwanini ujihangaishe kujibu?
Wewe kama unajua kitu hujafanyaama umefanya,Achana nacho
Mungu anakuja,na siku ya hukumu utasimama mbele za Mungu,na si watu.
Hakuna unachopungukiwa...
Unamuachia tu Mungu.
Asante sana dear
Nashukuru mie kwa sababu nilikuwa sijawahi ongea hii issue ndo maana nikaja kusema

Otherwise I wouldn't say a thing .

Mie nayaacha humu .. life inaendelea huku nje .. kama ule wimbo wa good luck waache waongee tu
 
Kuna vitu ukivichunguza kwa makini utagundua mchezo mzima ulivyo wala hutosumbuka kumjua mpika maubuyu humu 😂😂😂😂

Ww niliona unaambiwa ulienda kwenye pm ya kaka Sele eti 🤣🤣🤣
Dah😂😂😂😂😂😂😂
Yaani Kuna stori zinachekesha🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Halafu wawe wanafungua na nyuzi kabisa na kuweka ushahidi mubashara,siyo porojo tupu.

Aliyetunga simjui ila popote alipo Mungu anamjua na nilishamuachia Mungu,kwa kila Neno atatoa hesabu.
Wanapigana na Mimi,wanapigana kazi ya Mungu alivyonipa,Ina maana wanapigana na Mungu mwenyewe
Mimi wala sina cha kupambania.
 
Kuna vitu ukivichunguza kwa makini utagundua mchezo mzima ulivyo wala hutosumbuka kumjua mpika maubuyu humu 😂😂😂😂

Ww niliona unaambiwa ulienda kwenye pm ya kaka Sele eti 🤣🤣🤣
Dah😂😂😂😂😂😂😂
Yaani Kuna stori zinachekesha🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Halafu wawe wanafungua na nyuzi kabisa na kuweka ushahidi mubashara,siyo porojo tupu.

Aliyetunga simjui ila popote alipo Mungu anamjua na nilishamuachia Mungu,kwa kila Neno atatoa hesabu.
Wanapigana na Mimi,wanapigana kazi ya Mungu alivyonipa,Ina maana wanapigana na Mungu mwenyewe
Mimi wala sina cha kupambania.
 
Rudi jukwaani maisha mengine yaendelee..hizo habari achana nazo.

Uzi ulikuwa bomba sana zamani hizo
Sijui kwanini tumeruhusu shetani atuvuruge na tukakubali kuvurugika.
Asante sana dear
Nashukuru mie kwa sababu nilikuwa sijawahi ongea hii issue ndo maana nikaja kusema

Otherwise I wouldn't say a thing .

Mie nayaacha humu .. life inaendelea huku nje .. kama ule wimbo wa good luck waache waongee tu
 
Rudi jukwaani maisha mengine yaendelee..hizo habari achana nazo.

Uzi ulikuwa bomba sana zamani hizo
Sijui kwanini tumeruhusu shetani atuvuruge na tukakubali kuvurugika.
Asante sana
Nashukuru

Yeah hopefully siku uzi utakuja kuwa sawa kabisa . Let's be positive .
 
Back
Top Bottom