cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Pedesheeee ndramaaaa,




Kipengele gani hukuelewa Coca?afanye akujee tyuuh, hakuna namna.
Vyoteee, maana wananichanganya sielewi nishike lipi niache lipi,Kipengele gani hukuelewa Coca?






😁😂🤣🤣😂😂😁😁Pedesheeee ndramaaaa,
Mtani nawee heka heka unaziwezaaa kumbee?



yaan Selfika, kila mtu ni mchachu km ndimuu,jamani wafanye wakujee, mbea nipate ubuyu ulokamilikaa haswaaa.
Siwezi kuishi na dukuduku la labda,![]()
cha kuvalia shati😁I see the belly brother
🤣🤣🤣 utakuwa unaniletea basi huko jela au utaacha kila sku niwe nakula ugali kisa uraiani skuulaAngalia tu dogo usije kufanya mauaji ya kukusudia ukaenda jela
Bado tunahitaji ule Red velvet 😂,jela hazipo hizi
Brother una kiendekeza😁, mi hata Nile vipi still siwezi pata kitambi.cha kuvalia shati😁
Ndo nimemaliza mimialetuya
Wee DA tin uko wapiiii? Hebu kujaa hapa tuendelee tulipo ishia, mwenzioo sina rahaa ubuyuu wakoo sina vizurii, nakereketwaa balaaa,
Fanyaa ukuje hapaaa unijuzeee kipenziiii chakoo, na unajua bila umbea sina maishaa.![]()
Tuishie hapo Cocastic .jamani wafanye wakujee, mbea nipate ubuyu ulokamilikaa haswaaa.
Siwezi kuishi na dukuduku la labda,[emoji23
Nishachoka mie
Seems Kilingala upo vizuri Mkuu?Mayday Adolphe Wangu Naja kwako Kutuliza moyo wangu mara Upendo unanifanya mjane wewe hai Mpenzi wangu niue wakati mzuri Adolphe
Ah Baba nalia nijibu samahani wapendwa Makaburi ya akiba shimo walilonunua pango Familia wamechoka kunifariji maana nakufa (tayari) Ah Baba nalia nijibu samahani Muteba.
Shimo la makaburi lilinunua caveau Familia imechoka kunifariji kwa sababu ninakufa (tayari) Ninaishi maisha yangu kwa siri Kwa sababu sifa yangu imechafuliwa nakuja kutumia hata wiki saoulée Kwa sababu upendo uko mbali nami ah Adolphe umenipata. Nimeenda mbali na mimi ah Mayday mayday mayday, tafadhali nihurumie eh Ah mama, maisha yangu yamekuwa magumu Tangu Muteba alipoondoka (Adolphe) Mpenzi wangu Tshilamwina tangu Nenda mimi si mwanaume Roho yangu inauacha mwili wangu bila mpangilio.
Hahaha.........wakati mwingine melody hufanya upende wimbo hata kama huelewi maana yakeKuna siku nasikiliza nyimbo ya kichina, si unajua walivyo wazuri kwenye violin na sauti.
Baadae na Google, Kumbe Ina hamasisha kuzingatia kilimo 😂😀