Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,836
- 57,465
Kwa mapishi hayo tusahau kuletewa Mkwe nyumbani 😜
Kwa mapishi hayo tusahau kuletewa Mkwe nyumbani 😜
Image anajua kupika kupita hata mimi 😳🙆🏼♀️
Wazee mta nipiga Sasa😀, sema mwambieni Nuzulati akubali marriage proposal yangu😀Kwa mapishi hayo tusahau kuletewa Mkwe nyumbani 😜
Kumbe siku ile ulipo nambia nikufundishe kupika njegere ulikuwa unanitega 😁😁Siku uki kubali marriage proposal yangu, mama mkwe wako ana kufata😍😀😀
Kuna siku nasikiliza nyimbo ya kichina, si unajua walivyo wazuri kwenye violin na sauti.View attachment 2918476
Charles kilian naomba tafsiri ya hii nyimbo, maana nimepiga bia ya 5 nakuta naanza kusikia huzuni Kila nikiisikiliza hii nyimbo 😜
Nilikuwa Serious kweli, halafu vipo ninavyo unguza😀.Kumbe siku ile ulipo nambia nikufundishe kupika njegere ulikuwa unanitega 😁😁
We Utakuwa Master chef, mi msaidizi wako tu😀.Naogopa we unajua kupika kuliko mimi staki 😁😁
Mayday Adolphe Wangu Naja kwako Kutuliza moyo wangu mara Upendo unanifanya mjane wewe hai Mpenzi wangu niue wakati mzuri AdolpheView attachment 2918476
Charles kilian naomba tafsiri ya hii nyimbo, maana nimepiga bia ya 5 nakuta naanza kusikia huzuni Kila nikiisikiliza hii nyimbo 😜
😂😂😂😂 Uduguu tuliza presha kwanza, kwahiyo leo kumwambia depal amchukue Miongozo umenuna tena.??Kaa Mbali na Ndumilakuwili anakuja kwako anachokonoa kuhusu fulani akitoka hapo anaenda kuyapeleka kama yalivo kisha yakule anayaleta kwako! Yani kutwa ye anahaha!
Mkimbie fasta huyo ni zaidi ya mchawi ! Na mchawi si lazima aroge
Kesho nayo siku wapendwa ✌️
Msisahau kuchati na picha!🤳
Nimelia kwa uchungu mimi🐒🐒🐒Kwani miongozo ww mumeo?? Si ana mke wake jamani??
Mwanamke Mpana wewe😝😁Nimelia kwa uchungu mimi🐒🐒🐒
Unaona sasa unatuonyesha kwapa la dela badala ya hipusi 😜Kaa Mbali na Ndumilakuwili anakuja kwako anachokonoa kuhusu fulani akitoka hapo anaenda kuyapeleka kama yalivo kisha yakule anayaleta kwako! Yani kutwa ye anahaha!
Mkimbie fasta huyo ni zaidi ya mchawi ! Na mchawi si lazima aroge
Kesho nayo siku wapendwa ✌️
Msisahau kuchati na picha!🤳
Umeanza Nuzu 😂😂😂😂😂Nimelia kwa uchungu mimi🐒🐒🐒
Na leo tena?Uduguu tuliza presha kwanza, kwahiyo leo kumwambia depal amchukue Miongozo umenuna tena.??
Kwani miongozo ww mumeo?? Si ana mke wake jamani??
Halafu hebu sema usikike usipige jungu, wee funguka moja moja, piem yangu umejaa ww tu mama miongozo… huyo mwingine niliyemfata nani?! Na nimempelekea nini?? Una ushahidi??
Acha kujishtukia udruguuuuu
Hamna hata anayekusema, halafu mimi nikitaka kukusema nakusema na hii id yangu inayokupamba sawa???
Haya tupia hips tusafishe macho kwanza….
Story na picha

Dah naona mikwaju ya maana pembeni.✌️✌️✌️✌️✌️
View attachment 2918524
Niko na uduguu wangu, ujue kanimiss kipenzi chake lamama 😂😂😂😂Na leo tena?![]()