Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG_20240227_205004_326.jpg


Charles kilian naomba tafsiri ya hii nyimbo, maana nimepiga bia ya 5 nakuta naanza kusikia huzuni Kila nikiisikiliza hii nyimbo 😜
 
View attachment 2918476

Charles kilian naomba tafsiri ya hii nyimbo, maana nimepiga bia ya 5 nakuta naanza kusikia huzuni Kila nikiisikiliza hii nyimbo 😜
Kuna siku nasikiliza nyimbo ya kichina, si unajua walivyo wazuri kwenye violin na sauti.
Baadae na Google, Kumbe Ina hamasisha kuzingatia kilimo 😂😀
 
View attachment 2918476

Charles kilian naomba tafsiri ya hii nyimbo, maana nimepiga bia ya 5 nakuta naanza kusikia huzuni Kila nikiisikiliza hii nyimbo 😜
Mayday Adolphe Wangu Naja kwako Kutuliza moyo wangu mara Upendo unanifanya mjane wewe hai Mpenzi wangu niue wakati mzuri Adolphe
Ah Baba nalia nijibu samahani wapendwa Makaburi ya akiba shimo walilonunua pango Familia wamechoka kunifariji maana nakufa (tayari) Ah Baba nalia nijibu samahani Muteba.
Shimo la makaburi lilinunua caveau Familia imechoka kunifariji kwa sababu ninakufa (tayari) Ninaishi maisha yangu kwa siri Kwa sababu sifa yangu imechafuliwa nakuja kutumia hata wiki saoulée Kwa sababu upendo uko mbali nami ah Adolphe umenipata. Nimeenda mbali na mimi ah Mayday mayday mayday, tafadhali nihurumie eh Ah mama, maisha yangu yamekuwa magumu Tangu Muteba alipoondoka (Adolphe) Mpenzi wangu Tshilamwina tangu Nenda mimi si mwanaume Roho yangu inauacha mwili wangu bila mpangilio.
 
Kaa Mbali na Ndumilakuwili anakuja kwako anachokonoa kuhusu fulani akitoka hapo anaenda kuyapeleka kama yalivo kisha yakule anayaleta kwako! Yani kutwa ye anahaha!
Mkimbie fasta huyo ni zaidi ya mchawi ! Na mchawi si lazima aroge

Kesho nayo siku wapendwa ✌️
Msisahau kuchati na picha!🤳
😂😂😂😂 Uduguu tuliza presha kwanza, kwahiyo leo kumwambia depal amchukue Miongozo umenuna tena.??
Kwani miongozo ww mumeo?? Si ana mke wake jamani??
Halafu hebu sema usikike usipige jungu, wee funguka moja moja, piem yangu umejaa ww tu mama miongozo… huyo mwingine niliyemfata nani?! Na nimempelekea nini?? Una ushahidi??
Acha kujishtukia udruguuuuu 😂😂😂😂
Hamna hata anayekusema, halafu mimi nikitaka kukusema nakusema na hii id yangu inayokupamba sawa???
Haya tupia hips tusafishe macho kwanza….
Story na picha
 
Kaa Mbali na Ndumilakuwili anakuja kwako anachokonoa kuhusu fulani akitoka hapo anaenda kuyapeleka kama yalivo kisha yakule anayaleta kwako! Yani kutwa ye anahaha!
Mkimbie fasta huyo ni zaidi ya mchawi ! Na mchawi si lazima aroge

Kesho nayo siku wapendwa ✌️
Msisahau kuchati na picha!🤳
Unaona sasa unatuonyesha kwapa la dela badala ya hipusi 😜
Uduguu tatizo Una kisirani na kichaa cha mahusiano, sasa siku ile ulishindwa nini kupiga jungu km hivi kwa id yako halisi???
Ungefanya km hivi ungekuwa umetisha udruguu wangu 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️
 
Uduguu tuliza presha kwanza, kwahiyo leo kumwambia depal amchukue Miongozo umenuna tena.??
Kwani miongozo ww mumeo?? Si ana mke wake jamani??
Halafu hebu sema usikike usipige jungu, wee funguka moja moja, piem yangu umejaa ww tu mama miongozo… huyo mwingine niliyemfata nani?! Na nimempelekea nini?? Una ushahidi??
Acha kujishtukia udruguuuuu
Hamna hata anayekusema, halafu mimi nikitaka kukusema nakusema na hii id yangu inayokupamba sawa???
Haya tupia hips tusafishe macho kwanza….
Story na picha
Na leo tena?
 
Na leo tena?
Niko na uduguu wangu, ujue kanimiss kipenzi chake lamama 😂😂😂😂
Halafu mi nampenda sana, nishawahi kukuchenjia kwasababu yake unakumbuka??
Yani niliweka penzi langu rehani yote kumtetea uduguu wangu, bonge nyanya wangu mama Miongozo 😘😘😘
Mi ndio rafiki yake wa kweli ambaye akizingua namchana live, siendi pm ya mtu kumteta namalizana naye hapa hapa….
Sema hapendi kuambiwa ukweli ndio shida yake
 
Back
Top Bottom