Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sio maboya please usiwaite hivyo .
Ni nauli tu walinipa , don't label it as uchunaji or anything .

Na nilikosea sana
Jamani it hurts me hii issue ya 30

I know my worthiness as person
I'm much more than that .

Yaani muda mwingine ukifungua tu Uzi watu are saying nimeenda kuliwa kwa 30 .

I don't sell my self or anything .
I admit my mistake , I acted foolishly and irresponsible .

For the Love of God please don't bring this issue ya 30 kwangu.

This one reason I don't want return here , I will forever be labelled as sate .

It's a mistake lakini people don't forget I see ..
ID yako ya mwanzi tazafal
 
uduguuu mbona unakuja speed, em twende taratibuu, sasa nambembeleza huyo kwa kipiii?

Mie cna tatizo na yeye, na alisha sema mambo yake nimuachie mwenyewee, niko buzzy na yangu. Na amani inatawalaaaa.

Si kila mtu ana life lake bhanaaa??
😂😂😂 Wewe kwanini ulimuita shemeji yako Sele?? Kwanza tuanzie hapo!!
Sema udugu tuache sio poa, nitaselfika na picha zako ooh..!!
 
Kwendraaaa
Unajua mi nna huruma haswaa kwa wanawake wenzangu, hapa nishaanza kulegeza ujue uduguuu
Hii ndio inanifanya hata shem wako akizingua namsamehe…….
Nimeona uduguu kapanic mpk kaniquote mara mbili
wapiiiii uduguuuuu, wee lete hayo ya pembeniiiii watu tuserereeke nayooo, hata km wahusika ni sie wenyewee hatujari wala nn, tunadeveleka nayooo tyuuh.
 
Amani imetoweka baada ya kubebewa miongozo kuwa specific buana 😂😂😂😂
Uzi ulifungwa sababu ya Tin na Rab
Ule mwingine ulifungwa baada ya bwanaako Sele kuachwa na kukurudia wewe haya lamomy hapo kafunga uzi kivipi??
Kwanza uzi umefungwa nikiwa na ban…
Hebu lete story nyingine…
Mi sio coca anayekubembeleza na kukuogopa kisa unamtumia vihela, mi nna pesa zangu hapa nakuja kurefresh you know 😎

Hayo nayo ni mapyaaa?????
🤔🤔!Leo hii miongozo kaachwa huko ndio kaja kunirudia? Bwahahahahahahahahah

Nacheka kwa dhaaaaaarrraaaaaaauuuuuuuuuu🙄🙄!
Naona hakuna mpya selfii ziendelee 🤳🤳🤳🤳🤳🤳🤳 Tomorrow ✌️
💤💤💤😴💤😴💤😴💤😴💤😴💤😴💤😴💤😴💤💤😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴
 
Wee ndiomara yako yakwanza kusikia habari za ushoga humu???

Mi nikajua kuna mpya arrrhhhhgggg!
!


Mrare unono wapendwaaaaa kesho nayo siku Bado napenda kuselfika mwenzenu Mshana ameupambania sana huu uzi !
Sasa ushoga upiii? Si ndo nasemwa huko pembeni mie ni shogaaa? au sijasoma vizuri nkarudie upyaaaa?

Ugomvii wa wee na uduguuu, si ndo nashangaa hapa mnazozanaaa?

Wapiiiii JF.
 
Sio maboya please usiwaite hivyo .
Ni nauli tu walinipa , don't label it as uchunaji or anything .

Na nilikosea sana
Jamani it hurts me hii issue ya 30

I know my worthiness as person
I'm much more than that .

Yaani muda mwingine ukifungua tu Uzi watu are saying nimeenda kuliwa kwa 30 .

I don't sell my self or anything .
I admit my mistake , I acted foolishly and irresponsible .

For the Love of God please don't bring this issue ya 30 kwangu.

This one reason I don't want return here , I will forever be labelled as sate .

It's a mistake lakini people don't forget I see ..
😂😂😂😂 Tin hii ya sate huwezi kuifuta ila ntakupa mbinu ya kuifanya isikuumize…..
Ungekuja kuclear hali ya hewa mapema yasingefika huku..!!!
Halafu mbona hukuliwa kwa sate ila inasemekana ulipewa nauli na kisses sa shida iko wapi??

Na ww ulimuamini mtu mwingine sana ndicho kilichokuponza, ww hiyo sate ichukulie km utani wala hutoumia popote….
Wenzio waliitwa wagonjwa wa ukimwi lkn hawajali maisha yanaendelea sembuse sate 😂😂😂😂
 
Sio maboya please usiwaite hivyo .
Ni nauli tu walinipa , don't label it as uchunaji or anything .

Na nilikosea sana
Jamani it hurts me hii issue ya 30

I know my worthiness as person
I'm much more than that .

Yaani muda mwingine ukifungua tu Uzi watu are saying nimeenda kuliwa kwa 30 .

I don't sell my self or anything .
I admit my mistake , I acted foolishly and irresponsible .

For the Love of God please don't bring this issue ya 30 kwangu.

This one reason I don't want return here , I will forever be labelled as sate .

It's a mistake lakini people don't forget I see ..
selfikaa ya motoooo.
Watu kuliwa kwa 30, wengineee ni mashogaaa..

Bas full tafraniiiii. Woiiiiiiiii
Afu uli kiss ndan ya raum kwa 30k?
Mwagaa maubuyuu hayo, unabania ya nn??
 
Hayo nayo ni mapyaaa?????
🤔🤔!Leo hii miongozo kaachwa huko ndio kaja kunirudia? Bwahahahahahahahahah

Nacheka kwa dhaaaaaarrraaaaaaauuuuuuuuuu🙄🙄!
Naona hakuna mpya selfii ziendelee 🤳🤳🤳🤳🤳🤳🤳 Tomorrow ✌️
💤💤💤😴💤😴💤😴💤😴💤😴💤😴💤😴💤😴💤💤😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴😴
Miongozo kaachwa bana kaamua akurudie goma lake la kale 😂😂😂😂
Sasa utawezaje kuwapanga na shem mjeda??
Uduguu una balaa unapiga ndege wawili kwa jiwe moja!! Hapaumi?? 😂😂😂😂
 
Wewe kwanini ulimuita shemeji yako Sele?? Kwanza tuanzie hapo!!
Sema udugu tuache sio poa, nitaselfika na picha zako ooh..!!
selfikaa uduguuu na pichaa zanguu.
Unitangaziee soko vzurii,

Ko kumbe kisa ni hivyo, ndo huko pembeni mkawa mnanijadiliiii?
 
😂😂😂😂 Tin hii ya sate huwezi kuifuta ila ntakupa mbinu ya kuifanya isikuumize…..
Ungekuja kuclear hali ya hewa mapema yasingefika huku..!!!
Halafu mbona hukuliwa kwa sate ila inasemekana ulipewa nauli na kisses sa shida iko wapi??

Na ww ulimuamini mtu mwingine sana ndicho kilichokuponza, ww hiyo sate ichukulie km utani wala hutoumia popote….
Wenzio waliitwa wagonjwa wa ukimwi lkn hawajali maisha yanaendelea sembuse sate 😂😂😂😂
Well this is too much kwa kweli
Wengine wanakuja wanasema yule dada hajajiua jamani hata mtu kakosea you can't talk bitter words like that ??

Kuna too much bullying from this thread and it's toxic kwa kweli .

No one is perfect , humu kuomba msamaha tayari you're considered weak .. or seeking sympathy .

Yaani isingekuwa rahisi kuja mim muda ule kwanza Uzi ulifungwa na sio my character kubishana na watu .

.
I'm not good at jokes ndo maana I'm taking it very serious .
 
Back
Top Bottom