Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Bora hujawapa watu hiyo access
Wewe endelea kukaza
Sema hata wakiamua hawakufikii hata 😂😂

Ni upo vere hatari ...
Kama Kibatala eeh

😂😂😂😂 Mimi kwa nilivyo na mdomo pata picha ndio wangenijua sasa???
Mimi ndiomana sipendi kushinda pm za mitongozo na wanaume, hawachelewi kukuleta uaibike…
Bora kina uduguu wangu pm zao ni kusimanga wake wenza na kuteta wengine 🤣🤣🤣🤣
 
Na cha ajabu UTI inalala na kuamkia huko ilipoanzia
JF niliisoma kabla ya kuanza hekaheka, humu ukitaka uonekane wa hovyo wape watu access ya kujua maisha yako umekwishaaa
Unaweza kuwapa wakajua, kumbe sio uhalisia.
shida km utawapaa afu ni kweliiii, hapo utajutraaaaaaaaaaaa.

mbombo ngafuuuu.
 
I mean no malice to nobody
FB_IMG_17086344646252364.jpg
 
Aseee!
Sijawahi kuwa makini kusoma comments kama leo...asante usingizi kwa kukata,ningepitwa kwa hiki kidogo

Enwei,kama itawezekana naomba siku nyingine mfanye mchana jamani,ona sasa silali tena hadi mmalize 🤦‍♀️

Ishu ya SATE nimetoka kapa
 
Unaweza kuwapa wakajua, kumbe sio uhalisia.
shida km utawapaa afu ni kweliiii, hapo utajutraaaaaaaaaaaa.

mbombo ngafuuuu.
😂😂😂😂 Huyu Tin yy alikutana nao kabisa mcity ndo kilichomponza, hiyo ya kuwapa haina ukweli unaweza kuwadanganya km mimi wanavyoniuliza unakaa wapi nawaambia bonyokwa 😂😂😂
Kumbe nimetulia mkoani huku muda huu nimetega jaba nakinga maji ya mvua
 
Mimi kwa nilivyo na mdomo pata picha ndio wangenijua sasa???
Mimi ndiomana sipendi kushinda pm za mitongozo na wanaume, hawachelewi kukuleta uaibike…
Bora kina uduguu wangu pm zao ni kusimanga wake wenza na kuteta wengine
kumekuchaaaaa
 
Alipata wapi?? Akati wee ulimpa password yako ya JF, na had watu wengine walokua wanakujia PM, alikua anawajibu yeye.
Kumbe aisee Mimi hata sijui kama aliwajbu huko pm .

Nilimpa eeh niliona watu wanasimanga sana huko pm kisa nipo nae .

Ila Jf 😂 wasione couple ni wataleta maneno weh Hadi couple ife ..
 
Back
Top Bottom