Kumbe aisee Mimi hata sijui kama aliwajbu huko pm .Alipata wapi?? Akati wee ulimpa password yako ya JF, na had watu wengine walokua wanakujia PM, alikua anawajibu yeye. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilimpa eeh niliona watu wanasimanga sana huko pm kisa nipo nae .
Ila Jf 😂 wasione couple ni wataleta maneno weh Hadi couple ife ..