Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

hahaaa
So you think nitakosa Raha kisa drama za Jf .
I'm not weak kihivyo
I'm enjoying life to the fullest kwa kudra za Mungu

Coca umejibu hivi
Do you hold a grudge or what ??
Wee DA tin mie nakupanikishaa unipee umbeaa tyuuh bas..
Yaan niwe na ubuyuu haujakamilika, nakua cna amani kabisaaa,

Mwagaaa ubuyuuu bhanaaaa.
 
selfikaa ya motoooo.
Watu kuliwa kwa 30, wengineee ni mashogaaa..

Bas full tafraniiiii. Woiiiiiiiii
Afu uli kiss ndan ya raum kwa 30k?
Mwagaa maubuyuu hayo, unabania ya nn??
Nyie mnaweza kuvumilia haya Mambo
Mimi ndo maana humu hapanifai ...

Yaani uongo hakuna kisses kwenye gari


Ila dah rabbitus ..
 
Tin hii ya sate huwezi kuifuta ila ntakupa mbinu ya kuifanya isikuumize…..
Ungekuja kuclear hali ya hewa mapema yasingefika huku..!!!
Halafu mbona hukuliwa kwa sate ila inasemekana ulipewa nauli na kisses sa shida iko wapi??

Na ww ulimuamini mtu mwingine sana ndicho kilichokuponza, ww hiyo sate ichukulie km utani wala hutoumia popote….
Wenzio waliitwa wagonjwa wa ukimwi lkn hawajali maisha yanaendelea sembuse sate
na UTI sugu.
 
Wee DA tin mie nakupanikishaa unipee umbeaa tyuuh bas..
Yaan niwe na ubuyuu haujakamilika, nakua cna amani kabisaaa,

Mwagaaa ubuyuuu bhanaaaa.
Sina ubuyu mie
Don't stress about it
Yaani ndo sitoingia tena humu maana hata nikija kusema hiki ni ninapoteza muda .
 
Well this is too much kwa kweli
Wengine wanakuja wanasema yule dada hajajiua jamani hata mtu kakosea you can't talk bitter words like that ??

Kuna too much bullying from this thread and it's toxic kwa kweli .

No one is perfect , humu kuomba msamaha tayari you're considered weak .. or seeking sympathy .

Yaani isingekuwa rahisi kuja mim muda ule kwanza Uzi ulifungwa na sio my character kubishana na watu .

.
I'm not good at jokes ndo maana I'm taking it very serious .
Wee ulikoseaa kumpa mtu access ya kuujua undani wakoo, had password ya JF, Khaaaaaah
Ulimeza mlulu wallah.
 
Well this is too much kwa kweli
Wengine wanakuja wanasema yule dada hajajiua jamani hata mtu kakosea you can't talk bitter words like that ??

Kuna too much bullying from this thread and it's toxic kwa kweli .

No one is perfect , humu kuomba msamaha tayari you're considered weak .. or seeking sympathy .

Yaani isingekuwa rahisi kuja mim muda ule kwanza Uzi ulifungwa na sio my character kubishana na watu .

.
I'm not good at jokes ndo maana I'm taking it very serious .
Ilitakiwa usiombe mtu msamaha..!!
Unaomba msamaha watu usiowajua??
JF haiko km ww unavyoichukulia, km mtu mmoja anaweza kumiliki id’s zaidi ya moja utamuomba msamaha utaweza???
Unaomba na hii anakuja kukusema tena na nyingine..
Ww ishi maisha yako, ishi km watu wasiojulikana..!
Max sio mjinga alivyoweka watu watumie fake id.. hii kutaka kujuana ndio mbaya
 
Nyie mnaweza kuvumilia haya Mambo
Mimi ndo maana humu hapanifai ...

Yaani uongo hakuna kisses kwenye gari


Ila dah rabbitus ..
sasa Rab yeye aliyapata wapiiii?
Maana zilishushwa PDF humu hatari mnooo.

Sasa ndo natakaa wee utuelezee kinaga ubagaa.
 
Sina ubuyu mie
Don't stress about it
Yaani ndo sitoingia tena humu maana hata nikija kusema hiki ni ninapoteza muda .
usikimbiee bhanaaa, wee huoni sisi tunanangwaa hapa, na bado tuko winja winjaaaa.

Afu hatukimbiiii I'd sasa.
 
sasa Rab yeye aliyapata wapiiii?
Maana zilishushwa PDF humu hatari mnooo.

Sasa ndo natakaa wee utuelezee kinaga ubagaa.
Duh hatari na Mungu aliniepusha na hizo pdf 😂😂

Nilipokuja kuingia ni ninakuta mods wamefuta sehemu kubwa .

Sijui mimi alipata wapi ..
 
Hahaaa Yani
Sasa wengine wamesingiziwa na jina langu ndo linahusika nikaona hapana Nije tu .


Yaani humu Jf ni zaidi ya kichaka kwa kweli .

Ni kuwa makini haswa lasivyo kinakuramba .
😂😂😂😂 Mimi kwa nilivyo na mdomo pata picha ndio wangenijua sasa???
Mimi ndiomana sipendi kushinda pm za mitongozo na wanaume, hawachelewi kukuleta uaibike…
Bora kina uduguu wangu pm zao ni kusimanga wake wenza na kuteta wengine 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom