trudie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 4,449
- 10,808
Tunakuonea huruma wewe ujue, ila huu uzi haipiti wiki haujawaka sijui kwanini. Halafu participant ni walewale
Tunakuonea huruma wewe ujue, ila huu uzi haipiti wiki haujawaka sijui kwanini. Halafu participant ni walewale
Hebu mzipost hapaaa uduguuu,Wewe ulikuwa unaforce km uliziweka kwa shoga ako
Kwanza ww ni dume tumeambiwa na mipicha yako tunayo![]()






Shida wewe nakwambiaga twende PM tuishi hutakiHaya maandishi manene mod wataona ujue 😀
Ni ujinga tu
Na ilikuwa nijifunze kitu maana hii tabia ni mbaya .
Unajua unaweza ukapata jambo kumbe limekuja kukufundisha vitu . Ndo hilo .




wee semaa kweliiii??Wee uduguuu emu weka picha zangu hapa.Aiseee
Leo nilikuwa na kazi moja iliniweka busy sana, niliingia na kutoka mara moja






Haya selfikeni humu kutatembea ban hata kama uliweka imoj ya kucheka unapata ban![]()





Sema wifi yako Nuzulati ni kiboko yangu.Tunakuonea huruma wewe ujue, ila huu uzi haipiti wiki haujawaka sijui kwanini. Halafu participant ni walewale
Shangazi mwenyew nambembeleza ankowako hatari Sina mda wa kutafuta mpenz mpya muda hautoshi
![]()




wee badoo hujanishawishiiiii.my mbona hivyotena?Mfyuuuuuh![]()
Udugu unaumwa?? Leo umepiga picha hospital ujue 😂😂😂😂Wee ndiomara yako yakwanza kusikia habari za ushoga humu???
Mi nikajua kuna mpya arrrhhhhgggg!
😴😴😴😴😴💤💤💤💤💤💤💤💤💤!
Mrare unono wapendwaaaaa kesho nayo siku Bado napenda kuselfika mwenzenu Mshana ameupambania sana huu uzi ✌️✌️✌️✌️✌️!
Huko nje sawa kikinikuta navumilia tu
Hakuna la kutisha huko![]()





mie bhanaaa natakaa unipee umbeaa ulokamilikaaa.😀😀Au sio mwendo mpera mperaShida wewe nakwambiaga twende PM tuishi hutaki
ungekua zako na wewe unaparuana saiv
Sio maboya please usiwaite hivyo .😂😂😂😂 Kwahiyo ulipiga sate ngapi za maboya Tin?? Mbona huu ubuyu unaubania sana
Yan siaminig kama watu wanasemezana huko PM😀😀Au sio mwendo mpera mpera
Mie nishasahau haya ya humu
Nipo zangu naenjoy
YOLO




una enjoy kwa amani ganiii ulonayooo?Jirani niache tafwazwali 😂Tunaendelea na mpira 😂😂😂
Aisee😀😂, halafu mtu haja wahi hata kukusikia sauti yako😀Sasa hivi ataambiwa tumbo kama pipa😁😁
Humu ndani kusema na kusemwa kawaida, ila haipendezi kusemwa na mtu unayejua rafiki yako…. Ila nini ww endelea kula sate
Ushakuwa star DADA SATE![]()





