Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wee ndiomara yako yakwanza kusikia habari za ushoga humu???

Mi nikajua kuna mpya arrrhhhhgggg!
😴😴😴😴😴💤💤💤💤💤💤💤💤💤!


Mrare unono wapendwaaaaa kesho nayo siku Bado napenda kuselfika mwenzenu Mshana ameupambania sana huu uzi ✌️✌️✌️✌️✌️!
Udugu unaumwa?? Leo umepiga picha hospital ujue 😂😂😂😂
 
😂😂😂😂 Kwahiyo ulipiga sate ngapi za maboya Tin?? Mbona huu ubuyu unaubania sana
Sio maboya please usiwaite hivyo .
Ni nauli tu walinipa , don't label it as uchunaji or anything .

Na nilikosea sana
Jamani it hurts me hii issue ya 30

I know my worthiness as person
I'm much more than that .

Yaani muda mwingine ukifungua tu Uzi watu are saying nimeenda kuliwa kwa 30 .

I don't sell my self or anything .
I admit my mistake , I acted foolishly and irresponsible .

For the Love of God please don't bring this issue ya 30 kwangu.

This one reason I don't want return here , I will forever be labelled as sate .

It's a mistake lakini people don't forget I see ..
 
Back
Top Bottom