Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,800
- 113,358
Usalama si upo lakini?Jirani tuko viwanjani ๐๐๐
Usalama si upo lakini?Jirani tuko viwanjani ๐๐๐
Inategemea mana vijana mkianza kupanic kurusha mawe nawatahadharisha vibabu vinamiliki miguu ya kuku oooh ๐๐๐Usalama si upo lakini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usiku mpira unaendelea [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Babu miga kapania kuondoka na kombe [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kweli[emoji1787][emoji16]Nilimkanda kwenye 120 huyo Chelsea ni kibonde wangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inategemea mana vijana mkianza kupanic kurusha mawe nawatahadharisha vibabu vinamiliki miguu ya kuku oooh [emoji23][emoji23][emoji23]
Nilimpiga kimoja jioniii na kombe tukachukuwa la carabao cup[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kweli
Udugu kuna sehemu naenda ila usiku hii mechi inaendelea ๐๐๐๐[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
๐ msitutishe kwanza vinatumia vieite/viagraInategemea mana vijana mkianza kupanic kurusha mawe nawatahadharisha vibabu vinamiliki miguu ya kuku oooh ๐๐๐
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] msikilize shem nawee, huenda ukajua na vingine pia, acha paparaa dyadyaa.Yani shem katupa talaka kisa kaona Tin karudi kweli?? [emoji12]
Mi sijakubali hebu fanya jambo bana..
Ila Tin njoo uselfike utakuwa pin sana ww, mbona vibabu na vijana vinakugombania sana humu??
Tin ww ni star ujue!! Huu uzi ulifungiwa kwasababu yako unalijua hilo??
Wambea wote tulikula ban [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tin baadae njoo mahi wangu
Hahaha ๐ wewe dadaYani shem katupa talaka kisa kaona Tin karudi kweli?? ๐
Mi sijakubali hebu fanya jambo bana..
Ila Tin njoo uselfike utakuwa pin sana ww, mbona vibabu na vijana vinakugombania sana humu??
Tin ww ni star ujue!! Huu uzi ulifungiwa kwasababu yako unalijua hilo??
Wambea wote tulikula ban ๐๐๐๐
Tin baadae njoo mahi wangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hongereniii bhana, mwaka wenu huu.Nilimpiga kimoja jioniii na kombe tukachukuwa la carabao cup
Cc Saint Anne
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vijana wanakua wachoyo wa pasi, kila m1 anataka kuwa star wa team, bas wanaishia kufungwaa na vibabuu migas. WoiiiiiihUdugu kuna sehemu naenda ila usiku hii mechi inaendelea [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na ole mtu nikimtaja hapa anune
Vibabu vinapeana pasi bila choyo ila vijana wanabania pasi ndiomana wanashambuliwa sanaโฆ!!!
๐๐๐๐ Mshaanza kupanic vijana๐ msitutishe kwanza vinatumia vieite/viagra
Eeh makubwa. ๐๐[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] msikilize shem nawee, huenda ukajua na vingine pia, acha paparaa dyadyaa.
Tin akuje ni yuko full package, afu mpolee na mtulivu.
Shape, shingo, unywelee, jicho, lips,
Sijui kwann alimpa mtu access ya kuchezea acc ake, yaan ilikuaje had ampe. Nawazaa hapa ngachokaaa
Vijana wachoyo sana namuona pale Miongozo anabania sana pasi, anataka magoli yote afunge peke yake ๐๐๐๐[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vijana wanakua wachoyo wa pasi, kila m1 anataka kuwa star wa team, bas wanaishia kufungwaa na vibabuu migas. Woiiiiiih
Tin alifeli sana hapa, penzi la kijana lilimzidia akawauza vibabu ๐๐๐[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] msikilize shem nawee, huenda ukajua na vingine pia, acha paparaa dyadyaa.
Tin akuje ni yuko full package, afu mpolee na mtulivu.
Shape, shingo, unywelee, jicho, lips,
Sijui kwann alimpa mtu access ya kuchezea acc ake, yaan ilikuaje had ampe. Nawazaa hapa ngachokaaa
๐๐๐ Ilikuwa ndefu mpk wakanifanyia figisu wakajua watanikomoa, kumbe ndio kwanza nakuja kuwakausha vizazi vzrโฆ.Hahaha ๐ wewe dada
Poleni kwa ban aisee kama wewe yako ilikuwa ndefu sana .
Mimi Nina sura ya kawaida sana na sio pini hata ..
Sura ya baba , si unajua wakuria tulivyo weus na sura za baba .
Oyooooooo!!! ๐๐๐๐