Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Duuuuh kaziii ipooo. Hii mpyaa kabisaaaa.
Aseeeeh nyie mnajua mnachogombanaaa.

Mie ndo hata sikua najua chochote, nashangaaa hapaa. Mtamalizanaga wenyewee.

Wee ndiomara yako yakwanza kusikia habari za ushoga humu???

Mi nikajua kuna mpya arrrhhhhgggg!
😴😴😴😴😴💤💤💤💤💤💤💤💤💤!


Mrare unono wapendwaaaaa kesho nayo siku Bado napenda kuselfika mwenzenu Mshana ameupambania sana huu uzi ✌️✌️✌️✌️✌️!
 
Wewe ulikuwa unaforce km uliziweka kwa shoga ako [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanza ww ni dume tumeambiwa na mipicha yako tunayo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hebu mzipost hapaaa uduguuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Fanyaaa kuwekaaaa watu wazioneeee.
 
[emoji28]
Ni ujinga tu
Na ilikuwa nijifunze kitu maana hii tabia ni mbaya .

Unajua unaweza ukapata jambo kumbe limekuja kukufundisha vitu . Ndo hilo .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee semaa kweliiii??
 
Aiseee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Leo nilikuwa na kazi moja iliniweka busy sana, niliingia na kutoka mara moja
Wee uduguuu emu weka picha zangu hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Shangazi mwenyew nambembeleza ankowako hatari Sina mda wa kutafuta mpenz mpya muda hautoshi [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee badoo hujanishawishiiiii.
 
Wee ndiomara yako yakwanza kusikia habari za ushoga humu???

Mi nikajua kuna mpya arrrhhhhgggg!
😴😴😴😴😴💤💤💤💤💤💤💤💤💤!


Mrare unono wapendwaaaaa kesho nayo siku Bado napenda kuselfika mwenzenu Mshana ameupambania sana huu uzi ✌️✌️✌️✌️✌️!
Udugu unaumwa?? Leo umepiga picha hospital ujue 😂😂😂😂
 
😂😂😂😂 Kwahiyo ulipiga sate ngapi za maboya Tin?? Mbona huu ubuyu unaubania sana
Sio maboya please usiwaite hivyo .
Ni nauli tu walinipa , don't label it as uchunaji or anything .

Na nilikosea sana
Jamani it hurts me hii issue ya 30

I know my worthiness as person
I'm much more than that .

Yaani muda mwingine ukifungua tu Uzi watu are saying nimeenda kuliwa kwa 30 .

I don't sell my self or anything .
I admit my mistake , I acted foolishly and irresponsible .

For the Love of God please don't bring this issue ya 30 kwangu.

This one reason I don't want return here , I will forever be labelled as sate .

It's a mistake lakini people don't forget I see ..
 
Back
Top Bottom