Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,221
🤠🤠🤠🤠🤠🤠🤠🤠🤠🤠!Wewe fall tu bhana maisha yenyew Yako wapi
Kunawengine tumeambiwa mapenzi tu duniani hapa Hela hatukujaaliwa na hili la Bure nalo litushinde😀😀
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!
🤠🤠🤠🤠🤠🤠🤠🤠🤠🤠!Wewe fall tu bhana maisha yenyew Yako wapi
Kunawengine tumeambiwa mapenzi tu duniani hapa Hela hatukujaaliwa na hili la Bure nalo litushinde😀😀
Na anavyojua kupanick pia we mwache yamkuteNa ulivyo na gundu![]()
Eehh jamani watu wanasema humuTin nilikwambia humu hutakiwi kuogopa hata usemwe vipi!!
Ila umenikosha ulivyopita na visate vya wadau 😂😂😂😂
Sasa fanya na miongozo umlie pesa, nasikia anazimwaga km njugu 🤣🤣🤣
Sasa hivi ataambiwa tumbo kama pipa😁😁Na anavyojua kupanick pia we mwache yamkute
😂😂😂😂 hajiheshimu tatizo😁😁😁😁Mtu mzima mwenzio huyo ujue😁😁
We koma msengeeer mwenyewe uliyekula matapishi yako…
Mimi na wewe hatujawahi kuwa marafiki, rafiki yako ni huyo unayemuita shoga pembeni sawa??
Unajua mwanzo niliona wanakuonea kumbe walikuwa sahihi una kichaa cha mahusiano…
Kukandia umekandia, na kwa taarifa yako mchawi wako ni kivuli chako…




semeniiiii hayo ya pembeniiii tuyajueee.




😁😁😁Tin nilikwambia humu hutakiwi kuogopa hata usemwe vipi!!
Ila umenikosha ulivyopita na visate vya wadau 😂😂😂😂
Sasa fanya na miongozo umlie pesa, nasikia anazimwaga km njugu 🤣🤣🤣
Mie nishasahau haya ya humuwee hukomiiii etiii??
Sister ko we na WiFi yako Nuzulati mme ungana 😃.Na anavyojua kupanick pia we mwache yamkute
Humu ndani kusema na kusemwa kawaida, ila haipendezi kusemwa na mtu unayejua rafiki yako…. Ila nini ww endelea kula sateEehh jamani watu wanasema humu
Ni vile tu siku hizi nimekomaa
Ingekuwa zamani ningelazwa kwa kuwaza 😂😂
Ah humu ndani mie sitaki ... Nitavila vya huku nje 😂😂😂😂
Hivi huu uzi ni Selfika au ni wa Wake wenza kuchambana na wenye kichaa cha mapenzi kuchizika humu![]()




nimechekaaa hadi machoziiiii wallah.Antonnia naomba nikupe ushauri, na nitakueleza kwa nn lamomy aligoma uwe best yake. Kuna kitu kimoja ambacho kilimshangaza sana na inawezekana hadi leo akawa bado anajiuliza ilikuaje ukafikia hatua ile. Hakuna mwanamke mwingine pia ambae angekukubali huo urafikiMuulize huyo uduguuu wako anaeniuzia kesi zisizo zangu me and her were okay kabisa atajua mwenyewe yaliyomsibu hata hivo nishasema Baadhi ya marafiki ni wasenggge tu ndokama hivi! Sa huyo lamama nianze kumkandia kwa id mpya kisa nini kwa mfano?
Haya maandishi manene mod wataona ujue 😀Habari zenyuuuu..
Habari zenyuuuu...
😊😊😊😊
MSHAANZA KUPARUANA VYUPI NJE NJE
Aisee humu mnawezana wenyewe .Humu ndani kusema na kusemwa kawaida, ila haipendezi kusemwa na mtu unayejua rafiki yako…. Ila nini ww endelea kula sate
Ushakuwa star DADA SATE 😂😂😂
😂😂😂😂 Kwendraaaasemeniiiii hayo ya pembeniiii tuyajueee.
Hili la mie kuitwa shogaaa, nalimudu na liko ndani ya uwezo wangu, mje na mapyaaa bhanaaa.
Uduguuu em fungukaaa ya huko pembeniii,
Kumekuchaaaaaaaaaa!!!!!!
Amani imetoweka baada ya kubebewa miongozo kuwa specific buana
Uzi ulifungwa sababu ya Tin na Rab
Ule mwingine ulifungwa baada ya bwanaako Sele kuachwa na kukurudia wewe haya lamomy hapo kafunga uzi kivipi??
Kwanza uzi umefungwa nikiwa na ban…
Hebu lete story nyingine…
Mi sio coca anayekubembeleza na kukuogopa kisa unamtumia vihela, mi nna pesa zangu hapa nakuja kurefresh you know![]()




uduguuu mbona unakuja speed, em twende taratibuu, sasa nambembeleza huyo kwa kipiii? Duuuuh kaziii ipooo. Hii mpyaa kabisaaaa.
Aseeeeh nyie mnajua mnachogombanaaa.
Mie ndo hata sikua najua chochote, nashangaaa hapaa. Mtamalizanaga wenyewee.
😂😂😂😂 Kwahiyo ulipiga sate ngapi za maboya Tin?? Mbona huu ubuyu unaubania sana??Aisee humu mnawezana wenyewe .
Ah hapana sio thirty mie 😅