Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tin nilikwambia humu hutakiwi kuogopa hata usemwe vipi!!
Ila umenikosha ulivyopita na visate vya wadau 😂😂😂😂

Sasa fanya na miongozo umlie pesa, nasikia anazimwaga km njugu 🤣🤣🤣
Eehh jamani watu wanasema humu
Ni vile tu siku hizi nimekomaa

Ingekuwa zamani ningelazwa kwa kuwaza 😂😂

Ah humu ndani mie sitaki ... Nitavila vya huku nje 😂😂😂😂
 
😁😁😁😁Mtu mzima mwenzio huyo ujue😁😁
😂😂😂😂 hajiheshimu tatizo
Nuzu muache mama Miongozo bana ujue best yangu sema kazingua, ss hivi nishapotezea amani amani

Ujue mimi kuchambana na wanawake wenzangu sipendagi, napenda kuwakanda wanaume majeuri…
 
We koma msengeeer mwenyewe uliyekula matapishi yako…
Mimi na wewe hatujawahi kuwa marafiki, rafiki yako ni huyo unayemuita shoga pembeni sawa??
Unajua mwanzo niliona wanakuonea kumbe walikuwa sahihi una kichaa cha mahusiano…

Kukandia umekandia, na kwa taarifa yako mchawi wako ni kivuli chako…
semeniiiii hayo ya pembeniiii tuyajueee.

Hili la mie kuitwa shogaaa, nalimudu na liko ndani ya uwezo wangu, mje na mapyaaa bhanaaa.

Uduguuu em fungukaaa ya huko pembeniii,

Kumekuchaaaaaaaaaa!!!!!!
 
Tin nilikwambia humu hutakiwi kuogopa hata usemwe vipi!!
Ila umenikosha ulivyopita na visate vya wadau 😂😂😂😂

Sasa fanya na miongozo umlie pesa, nasikia anazimwaga km njugu 🤣🤣🤣
😁😁😁
 
Eehh jamani watu wanasema humu
Ni vile tu siku hizi nimekomaa

Ingekuwa zamani ningelazwa kwa kuwaza 😂😂

Ah humu ndani mie sitaki ... Nitavila vya huku nje 😂😂😂😂
Humu ndani kusema na kusemwa kawaida, ila haipendezi kusemwa na mtu unayejua rafiki yako…. Ila nini ww endelea kula sate
Ushakuwa star DADA SATE 😂😂😂
 
Muulize huyo uduguuu wako anaeniuzia kesi zisizo zangu me and her were okay kabisa atajua mwenyewe yaliyomsibu hata hivo nishasema Baadhi ya marafiki ni wasenggge tu ndokama hivi! Sa huyo lamama nianze kumkandia kwa id mpya kisa nini kwa mfano?
Antonnia naomba nikupe ushauri, na nitakueleza kwa nn lamomy aligoma uwe best yake. Kuna kitu kimoja ambacho kilimshangaza sana na inawezekana hadi leo akawa bado anajiuliza ilikuaje ukafikia hatua ile. Hakuna mwanamke mwingine pia ambae angekukubali huo urafiki

Kubali nikupe huu ushauri, then kuna kitu utajifunza
 
Humu ndani kusema na kusemwa kawaida, ila haipendezi kusemwa na mtu unayejua rafiki yako…. Ila nini ww endelea kula sate
Ushakuwa star DADA SATE 😂😂😂
Aisee humu mnawezana wenyewe .

Ah hapana sio thirty mie 😅
 
semeniiiii hayo ya pembeniiii tuyajueee.

Hili la mie kuitwa shogaaa, nalimudu na liko ndani ya uwezo wangu, mje na mapyaaa bhanaaa.

Uduguuu em fungukaaa ya huko pembeniii,

Kumekuchaaaaaaaaaa!!!!!!
😂😂😂😂 Kwendraaaa
Unajua mi nna huruma haswaa kwa wanawake wenzangu, hapa nishaanza kulegeza ujue uduguuu
Hii ndio inanifanya hata shem wako akizingua namsamehe…….
Nimeona uduguu kapanic mpk kaniquote mara mbili 😂😂😂😂
 
Amani imetoweka baada ya kubebewa miongozo kuwa specific buana
Uzi ulifungwa sababu ya Tin na Rab
Ule mwingine ulifungwa baada ya bwanaako Sele kuachwa na kukurudia wewe haya lamomy hapo kafunga uzi kivipi??
Kwanza uzi umefungwa nikiwa na ban…
Hebu lete story nyingine…
Mi sio coca anayekubembeleza na kukuogopa kisa unamtumia vihela, mi nna pesa zangu hapa nakuja kurefresh you know
uduguuu mbona unakuja speed, em twende taratibuu, sasa nambembeleza huyo kwa kipiii?

Mie cna tatizo na yeye, na alisha sema mambo yake nimuachie mwenyewee, niko buzzy na yangu. Na amani inatawalaaaa.

Si kila mtu ana life lake bhanaaa??
 
Duuuuh kaziii ipooo. Hii mpyaa kabisaaaa.
Aseeeeh nyie mnajua mnachogombanaaa.

Mie ndo hata sikua najua chochote, nashangaaa hapaa. Mtamalizanaga wenyewee.

Wee ndiomara yako yakwanza kusikia habari za ushoga humu???

Mi nikajua kuna mpya arrrhhhhgggg!
😴😴😴😴😴💤💤💤💤💤💤💤💤💤!


Mrare unono wapendwaaaaa kesho nayo siku Bado napenda kuselfika mwenzenu Mshana ameupambania sana huu uzi ✌️✌️✌️✌️✌️!
 
Back
Top Bottom