cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,175
unajua leo nimepitwa na mengi humu, hebu ngoja nipitie comment moja baada ya nyingine




na umepitwaa kweliiii.unajua leo nimepitwa na mengi humu, hebu ngoja nipitie comment moja baada ya nyingine




na umepitwaa kweliiii.Wewe unataka kuchambwa mimi sitokutetea 😁😁😁No hate, ila habari za kusema toka waje wachache.
👉Ina onesha una matatizo ya kisaikolojia😀😀😂.
Uduguu tulia umeniqoute mara mbili ujue 😂😂😂🤣Ndio nakwambia useme nahio alute ni Yangu! Sikia sina muda wa kujibizana upuuzi sihusiki nahizo ids na nishakwambia sioni Sababu ya kukujia na ids mpya!
Mimi niwe Tin nije kuomba msamaha humu???? Bwahahahahahah Nimecheka kwa dhaarrrrraaaaaaaaauuuuu🙄🙄🙄🙄🙄!
Nishakujua ni rafiki wa aina gani Sina muda nawee so give me a break pulllllllliiiiiiiiizzzzzzzz!!!! 🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️🚶🏻♀️!
Nikukandie kwa lipi yani???? Sijaona na sinaaa la kukujia na id mpya!We koma msengeeer mwenyewe uliyekula matapishi yako…
Mimi na wewe hatujawahi kuwa marafiki, rafiki yako ni huyo unayemuita shoga pembeni sawa??
Unajua mwanzo niliona wanakuonea kumbe walikuwa sahihi una kichaa cha mahusiano…
Kukandia umekandia, na kwa taarifa yako mchawi wako ni kivuli chako…
😅Sasa wee una muaminii vipiii mtuu bhanaaa?
alikupaaa nn hadi ujitoe muhanga hvyoo?
Kipi special alikupaaa?
Am good sister, msalimie na WiFi yako bhana😀Happy valentine day bro![]()
Aiseee 😂😂😂😂na umepitwaa kweliiii.
Shangaziiiii em taratibuuu, usimjazee mwenzio kikamkuta kituuu tenaaa,Wewe fall tu bhana maisha yenyew Yako wapi
Kunawengine tumeambiwa mapenzi tu duniani hapa Hela hatukujaaliwa na hili la Bure nalo litushinde![]()




Haya kakojoe ulaleNikukandie kwa lipi yani???? Sijaona na sinaaa la kukujia na id mpya!
Hayo yote ni marudio nasubiria jipya!
jamani sirudii Tena, kweli una nijali 😂Wewe unataka kuchambwa mimi sitokutetea 😁😁😁
Na ulivyo na gundu 😁😁😁jamani sirudii Tena, kweli una nijali 😂
Tin nilikwambia humu hutakiwi kuogopa hata usemwe vipi!!😅
Ni ujinga tu
Na ilikuwa nijifunze kitu maana hii tabia ni mbaya .
Unajua unaweza ukapata jambo kumbe limekuja kukufundisha vitu . Ndo hilo .
😂😂😂Shangazi mwenyew nambembeleza ankowako hatari Sina mda wa kutafuta mpenz mpya muda hautoshi 😂😂😂Shangaziiiii em taratibuuu, usimjazee mwenzio kikamkuta kituuu tenaaa,![]()
Huko nje sawa kikinikuta navumilia tuShangaziiiii em taratibuuu, usimjazee mwenzio kikamkuta kituuu tenaaa,![]()
Duuuuh kaziii ipooo. Hii mpyaa kabisaaaa.Muulize huyo uduguuu wako anaeniuzia kesi zisizo zangu me and her were okay kabisa atajua mwenyewe yaliyomsibu hata hivo nishasema Baadhi ya marafiki ni wasenggge tu ndokama hivi! Sa huyo lamama nianze kumkandia kwa id mpya kisa nini kwa mfano?
😁😁😁😁Mtu mzima mwenzio huyo ujue😁😁Haya kakojoe ulale
Sema mapenzi yenyewe yanatukimbiza hatari ni hakuna kukata tamaa zaidi ya kuendelea kuwa na moyo wa subira .
Mtu inakuwa naye kumbe mwenzako anawaza atakavyokuacha dah![]()




wee hukomiiii etiii??