Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Moyo wapi mtu anakublem kwa vitu ambavo hata huelewi source yake. Unakaa kimya kuepusha shetani apite anakuona ndezii kwamba unamuogopa ni upuuzi asee!
Inasikitisha sana Yani
Mungu atusaidie tupone hizi nafsi .
Yaani mambo Huwa hayaishi humu .
 
Inasikitisha sana Yani
Mungu atusaidie tupone hizi nafsi .
Yaani mambo Huwa hayaishi humu .
Tangu alipokuja huyu na wenzie wachache amani imetoweka kabisa selfika!
Hui uzi ulifungwa Sababu za kijinga jinga tu wa kuvaa nini nao ukafungwa Sababu zilezile!

Alooooooohh wasinichukulie poa kihivo! Siogopi na sitegemei utetezi wa mtu kama ambavo anaita ita watu waje kumuongezea nguvu!

Nasubiria hapa hizo siri saii nina muda mchache hebu Azimwage basi
 
Ndo nakwambia usinitishe mimi sitishiki Mwaga hizo siri!

Sioni na Sina Sababu ya kukujia na ids mpya sema nahio ya aletuy ni yangu!
Kumbe na aletuy ni yako?? 😳😳😳
Sasa mbona unajifanya Tin??
Ww hutushiki kweli? Mbona una id’s nyingi unatumia kujisifia na kuchamba wake wenzio?? Na kwann ukanichamba kwa id ya nyingine halafu ukasema yy asisemwe km nani??
Unajua mi siogopi kuchambwa ila hii kutumia id nyingine ndio tatizo lilipo, kwann usinichambe na id yako??
 
Tangu alipokuja huyu na wenzie wachache amani imetoweka kabisa selfika!
Hui uzi ulifungwa Sababu za kijinga jinga tu wa kuvaa nini nao ukafungwa Sababu zilezile!

Alooooooohh wasunichukulie poa kihivo! Siogopi na sitegemei utetezi wa mtu kama ambavo anaita ita watu waje kumuongezea nguvu!

Nasubiria hapa hizo siri saii nina muda mchache hebu Azim wage basi
😂😂😂 hao watu niliowaita wako wapi??
Hivi kuna mtu anakushinda wewe kwa kuja na id’s zako zile na nyingine ishafika hapa kukupa support 😂😂😂
Mimi nimefika selfika nimekuta unajiliza watu wanakusema, nikakuuliza kina nani wataje tuwakanye ukawa unajisemesha tu!!
Ww ugomvi wako si ulikuwa na wake wenzio kwa miongozo au kuna wengine??
 
Kheeeeeh shouzzzz haya tena yanakujajee? Kumbe wee na uduguuu mna hatred? Si tulikua peace kabisaa humu? Kwani imekuajeee?

Mbona mnanitishaaaa sasa? Naomba msemee mna tofauti gani nyie? Na inasababishwa na nn??

Niko tayariii kuwasuluhishaaa, hii JF mbonaa inataka kuni overtake ghaflaa hiviiii?? Kutokaa kwenye uke wenzaaa had nyie mabest? Mbona sitaki kuaminiiiii??

Duuuh JF ya motooooo, huwa nasemagaa ya humu muyaachee humu humu, kimezukaaaaa kituu kipyaa tenaaa?
Muulize huyo uduguuu wako anaeniuzia kesi zisizo zangu me and her were okay kabisa atajua mwenyewe yaliyomsibu hata hivo nishasema Baadhi ya marafiki ni wasenggge tu ndokama hivi! Sa huyo lamama nianze kumkandia kwa id mpya kisa nini kwa mfano?
 
Sema mapenzi yenyewe yanatukimbiza hatari ni hakuna kukata tamaa zaidi ya kuendelea kuwa na moyo wa subira .

Mtu inakuwa naye kumbe mwenzako anawaza atakavyokuacha dah 😂😂

Wewe fall tu bhana maisha yenyew Yako wapi
Kunawengine tumeambiwa mapenzi tu duniani hapa Hela hatukujaaliwa na hili la Bure nalo litushinde😀😀
 
Muulize huyo uduguuu wako anaeniuzia kesi zisizo zangu me and her were okay kabisa atajua mwenyewe yaliyomsibu hata hivo nishasema Baadhi ya marafiki ni wasenggge tu ndokama hivi! Sa huyo lamama nianze kumkandia kwa id mpya kisa nini kwa mfano?
We koma msengeeer mwenyewe uliyekula matapishi yako…
Mimi na wewe hatujawahi kuwa marafiki, rafiki yako ni huyo unayemuita shoga pembeni sawa??
Unajua mwanzo niliona wanakuonea kumbe walikuwa sahihi una kichaa cha mahusiano…

Kukandia umekandia, na kwa taarifa yako mchawi wako ni kivuli chako…
 
Tangu alipokuja huyu na wenzie wachache amani imetoweka kabisa selfika!
Hui uzi ulifungwa Sababu za kijinga jinga tu wa kuvaa nini nao ukafungwa Sababu zilezile!

Alooooooohh wasunichukulie poa kihivo! Siogopi na sitegemei utetezi wa mtu kama ambavo anaita ita watu waje kumuongezea nguvu!

Nasubiria hapa hizo siri saii nina muda mchache hebu Azim wage basi
Unamaanisha hii post kuna watu hawatakiwi kuja?
 
Back
Top Bottom