Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,241
- 86,942
Tunaendelea na mpira 😂😂😂😂😂 mi sina kauli
Tunaendelea na mpira 😂😂😂😂😂 mi sina kauli
Lete kile ninacho kudai 😁😁Ndo maana kipindi kile uli change!?, Basi ndo naelewa saa hizi😀
Inasikitisha sana YaniMoyo wapi mtu anakublem kwa vitu ambavo hata huelewi source yake. Unakaa kimya kuepusha shetani apite anakuona ndezii kwamba unamuogopa ni upuuzi asee!
Ndo nakwambia usinitishe mimi sitishiki Mwaga hizo siri!😂😂😂😂 nani kakutisha?? Hebu kunywa maji kwanza utulie usimulie vzr…
Haya una shida gani?? Udugu bado hujasema hebu sasa sema..!!
Umepoa leo dadekiii 😁😁Tunaendelea na mpira 😂😂😂
😂😂😂 unajua leo nimepitwa na mengi humu, hebu ngoja nipitie comment moja baada ya nyinginewee Tin hebu tujuze sie ya huko PM
ambayo Rab kayaleta hapa, usiogopee tuambiee.
Napenda ubuyuu mie balaaa
Tangu alipokuja huyu na wenzie wachache amani imetoweka kabisa selfika!Inasikitisha sana Yani
Mungu atusaidie tupone hizi nafsi .
Yaani mambo Huwa hayaishi humu .
Kumbe na aletuy ni yako?? 😳😳😳Ndo nakwambia usinitishe mimi sitishiki Mwaga hizo siri!
Sioni na Sina Sababu ya kukujia na ids mpya sema nahio ya aletuy ni yangu!
Wewe fall tu bhana maisha yenyew Yako wapiHehee hebu niache mie coca
Ni ujinga na utoto nilifanya .
I'm so naive ,yaani nafall mazima
Ujinga mkubwa huu na namuamini mtu mpaka basi ..
😂😂😂 hao watu niliowaita wako wapi??Tangu alipokuja huyu na wenzie wachache amani imetoweka kabisa selfika!
Hui uzi ulifungwa Sababu za kijinga jinga tu wa kuvaa nini nao ukafungwa Sababu zilezile!
Alooooooohh wasunichukulie poa kihivo! Siogopi na sitegemei utetezi wa mtu kama ambavo anaita ita watu waje kumuongezea nguvu!
Nasubiria hapa hizo siri saii nina muda mchache hebu Azim wage basi
Muulize huyo uduguuu wako anaeniuzia kesi zisizo zangu me and her were okay kabisa atajua mwenyewe yaliyomsibu hata hivo nishasema Baadhi ya marafiki ni wasenggge tu ndokama hivi! Sa huyo lamama nianze kumkandia kwa id mpya kisa nini kwa mfano?Kheeeeeh shouzzzz haya tena yanakujajee? Kumbe wee na uduguuu mna hatred? Si tulikua peace kabisaa humu? Kwani imekuajeee?
Mbona mnanitishaaaa sasa? Naomba msemee mna tofauti gani nyie? Na inasababishwa na nn??
Niko tayariii kuwasuluhishaaa, hii JF mbonaa inataka kuni overtake ghaflaa hiviiii?? Kutokaa kwenye uke wenzaaa had nyie mabest? Mbona sitaki kuaminiiiii??
Duuuh JF ya motooooo, huwa nasemagaa ya humu muyaachee humu humu, kimezukaaaaa kituu kipyaa tenaaa?
Bado sana 😂😂😂Umepoa leo dadekiii 😁😁
Kipi😀Lete kile ninacho kudai 😁😁
UnajuaKipi😀
Wewe fall tu bhana maisha yenyew Yako wapi
Kunawengine tumeambiwa mapenzi tu duniani hapa Hela hatukujaaliwa na hili la Bure nalo litushinde😀😀
We koma msengeeer mwenyewe uliyekula matapishi yako…Muulize huyo uduguuu wako anaeniuzia kesi zisizo zangu me and her were okay kabisa atajua mwenyewe yaliyomsibu hata hivo nishasema Baadhi ya marafiki ni wasenggge tu ndokama hivi! Sa huyo lamama nianze kumkandia kwa id mpya kisa nini kwa mfano?
Twende tu dear had mapenz yatuue😂Sema mapenzi yenyewe yanatukimbiza hatari ni hakuna kukata tamaa zaidi ya kuendelea kuwa na moyo wa subira .
Mtu inakuwa naye kumbe mwenzako anawaza atakavyokuacha dah 😂😂
Unamaanisha hii post kuna watu hawatakiwi kuja?Tangu alipokuja huyu na wenzie wachache amani imetoweka kabisa selfika!
Hui uzi ulifungwa Sababu za kijinga jinga tu wa kuvaa nini nao ukafungwa Sababu zilezile!
Alooooooohh wasunichukulie poa kihivo! Siogopi na sitegemei utetezi wa mtu kama ambavo anaita ita watu waje kumuongezea nguvu!
Nasubiria hapa hizo siri saii nina muda mchache hebu Azim wage basi