cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Watu Wana wivu na vitu vidogo vidogo sana.
Shida hawaamini kama mngoni anaweza kuwa mweupe kama mwarabu.



muarabu tenaa doktaaaa? Wa wapi Yemen au Taiwan? UwiiiiiihWatu Wana wivu na vitu vidogo vidogo sana.
Shida hawaamini kama mngoni anaweza kuwa mweupe kama mwarabu.



muarabu tenaa doktaaaa? Wa wapi Yemen au Taiwan? UwiiiiiihUwe fourth official, utoage dkk za nyongezaa.Leo niwe lefa kwenye huu uzi![]()




Hehee nishaombewa ni limetoka kabisa 😅.yaan hapo ndo unafeliii tin, pepo la umbea linakutokaje haraka na ghaflaa hiviii??
Hebu fanya kulazimisha li rudi mara 1, litupatie wambea ile kitu roho inapendaaa.
Hapo ndo nachoka 🙄, after all this time.Namaanisha ukiona hivyo😁
Umbea kipajii aseee kama sio hobby yako bora kujiepusha! Nilisema huu Uzi mimi nikianza jibu tu lazima pasitoshe hapa hahahaha!Ah sitaki kufukua mambo mie
Nisije chambwa Tena 😂😂
Naishia hapo hapo tu .
Mimi niliingiwa na pepo la umbeya na limeshatoka tayari 😂😂 .
Niliwahi kusema uzi unahitaji maji ya Mwamposa watu wakanipotezea😁😁Uwe fourth official, utoage dkk za nyongezaa.
![]()
@LamomyAlafu naomba unifafanulie kitu; nimerudi Jf nakutana na mastar wenye id mpya wengi sana.
Mfano Lamomy anatrend kweli kweli,alafu Kuna aletuya . Hebu nambie Majina ya IDs zao za zamani nisije kuyakanyaga siku namwibukia mtu pm ahahaha. Tuanze na hawa wawili,mwaka mmoja uliopita kipindi sipo walijiitaje?










Mimi wala sina 😁Hapo ndo nachoka 🙄, after all this time.
Bado tuna ishi kwa kuviziana 😀
Wee em funguka bhana, maana Rab alikua anatoa ubuyu kwa kuficha ficha, sasa wee ndo umalize kila kitu yaan.Hehee nishaombewa ni limetoka kabisa.
Nitakuwa najichoresha tu since it's all me .
I guess you understand how sensitive the issue is ,
pia I don't want to blame anyone on this issue.
Since I'm guilty ..






umekunywa nini leo?Eeeeee aloooooo 👌
Qmanina zenu bado hamjasema 😂😂😂😂
Sema hebu tulia usinifanye niyamwage kweli wakati sikuwa na mpango huo..!!!
Kumbe kimekuuma kupotezewa??
Ndio ujifunze kuishi na watu, nyang’au wee!!
Mimi bana siogopi kusemwa sababu hakuna anayenijua humu, labda huyo Kantry
Sasa mtu kujifanya uduguu wangu alafu bin vuuup unabadili id unakuja kunichamba hiyo ndio sipendi..!!!
Ww km umeamua kujivika mabomu njoo na id yako tuliozoeana unichambe unavyotaka….
Huo undumilakuwili ni wako mahi uduguu kunjifanya shosti baadae unakuja na id’s za majina ya kiume kunisema huo ndio tunauita uoga….. 🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️
Sema nini hata sijafumbua mdomo wangu siri zako zote zipo salama ila ukijifanya chizi nayamwaga 😂😂😂😂😂😂
Unajua watoto wa kingoni Wana asili ya south.muarabu tenaa doktaaaa? Wa wapi Yemen au Taiwan? Uwiiiiiih
Niliwahi kusema uzi unahitaji maji ya Mwamposa watu wakanipotezea![]()




yaan huu uzi ni tetemeko la JF nzima.Sema leo tumalize utata, niulize swali lolote ili utoe utata 😀😀Mimi wala sina 😁
Unajua watoto wa kingoni Wana asili ya south.
So una ngozi Fulani hivi nyeupe kama jamaa wa "Gods must be crazy" . Hatari sana we mtoto.




yule mlugha lugha jamaniiii? Dah mkubwa 😀😀Unajua watoto wa kingoni Wana asili ya south.
So una ngozi Fulani hivi nyeupe kama jamaa wa "Gods must be crazy" . Hatari sana we mtoto.
Halafu nimegundua ukiwa mpenzi sana wa uzi huu unakuwa mshari kuliko shari yenyewe 😁😁yaan huu uzi ni tetemeko la JF nzima.
Heh kumbe 😂😂Wee em funguka bhana, maana Rab alikua anatoa ubuyu kwa kuficha ficha, sasa wee ndo umalize kila kitu yaan.
![]()
Sina Swali zaidi ya kukwambia nakufahamu na nakujuaa haswaaa siku ukijichanganya kazi unayo😁😁😁😁😁😁Sema leo tumalize utata, niulize swali lolote ili utoe utata 😀😀
Asee!!@Lamomy
Huyu zamani alitumia Cute wife, ni wa mda kidg, ila alipokutana na mie nkamleta huku selfika ndo ikawa winja winja had now, lakini kutokana na mushkeki kdg I'd yake ya zaman ilipigwa ban ndefu na kuungwa kwa ingne tofauti ya mwingne, ko alivyorudi ili atumie ya mwanzo ikashindkan na lile jina tayar liko kwa mwingne, hvyo ndo yuko na hili.
aletuya
Huyu ni yule Tinsley, bhana bhana kilichotokea kuhusu huyu bintiii ni kisanga tupuuu, ndo unaonaa varangatiiii linatrend had leo, kwa kifupi ni aliyatimba au kuyakanyagaaa,
Ubuyuu zaidii utaujua kadri siku zinavyo endaa.![]()
Mimi sio mlevi mwenzio 😀😀😀Aaliyyah usinifanyie hivyo my friend. Mimi nasubiri unitengenezee alafu wewe unakuja kunivunja tamaa hapa.
Ukitengeneza Mimi sitaki mocktail nataka cocktail.