Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,212
- 29,374
Asee!!@Lamomy
Huyu zamani alitumia Cute wife, ni wa mda kidg, ila alipokutana na mie nkamleta huku selfika ndo ikawa winja winja had now, lakini kutokana na mushkeki kdg I'd yake ya zaman ilipigwa ban ndefu na kuungwa kwa ingne tofauti ya mwingne, ko alivyorudi ili atumie ya mwanzo ikashindkan na lile jina tayar liko kwa mwingne, hvyo ndo yuko na hili.
aletuya
Huyu ni yule Tinsley, bhana bhana kilichotokea kuhusu huyu bintiii ni kisanga tupuuu, ndo unaonaa varangatiiii linatrend had leo, kwa kifupi ni aliyatimba au kuyakanyagaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ubuyuu zaidii utaujua kadri siku zinavyo endaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe lamomy ni cute wife!! Na aletuya ndiyo Tinsley? Ila mbona Tinsley alikuwa ni mdada Fulani hivi Hana baya na mtu? Why Leo amekuwa hivi,alafu naona Kawa mkali kama pilipili.
Huyo Lamomy namjua,ni mtata tangu enzi hizo,alafu Kuna jamaa mliyesema ni Nikki wa III( countryyard) naona ana ukaribu nae sana. Au ndiyo anaweka? Nipe habari Binti cheupe.