Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

wee doktaaaa utanilipiaa au? Maana ubuyuu ni pesa siku hizi, hata Mange kimambi App tunalipia.

Kuhusu Tinsley muulize yeye si unamuona hapa, naamini atakupa in4 zote.

Kuhusu hawa wengine, tuaache kwan nakuitiaa watakuja kujibu wenyewee.
Kuna mtu mwingine nitakuulizia,ila now naingia kwa kazi,Leo nipo night shift.
 
Eeh Yani kuchanganya tu kidogo lugha

Sijabadili

This is just a temporary Id siku nikiamka nimevurugwa naitupilia mbali 😂😂 .


Alafu siku hizi kingereza kingi kimetoka wapi mrembo?

Na kwa nini umebadili jina? Lile la mwanzo limekaa unyama sana kuliko hili asee!! Hili nakugananisha na kuzo wake cocastic ujue.
 
wakezangu humu hamjambo?
1.dr lizy
2.cocastc
3.nuzulati
4.mahondwa😕
5.joannah

wapenzi wangu kilamtu aweke namba yamuamala nitume hela yasupu asubuhi sawa wapenzi wangu? haya wekeni namba basi watoto wazuri
 
Wewe ! Mwambie huyo udugu wako asinitishe afu sitishiki kiboya mimi aje kumwaga hizo Siri zangu nimemruhusu!
Mimi nicreate Id mpya kisa yeye what for? Who is she ????????? Tumeshea nani ???? Humu ugomvi si mlisema sababu kuu ni kushea hogo haya Hii chuki ghafla bin vuu nimeshea nae hogo lipi?? Kama sio hayo Hii hatred yake ghafla imetokea wapi???
Undumilakuwili haujawahi kumuacha mtu salama awatishiege haohao sio mimi . Mimi sina sababu ya kumjia na I'd mpya Yani sijaona na siioniiiiiiii kwanza Hakunaaaaa anitolee wenge.

Aje amwage hizo Siri
Kheeeeeh shouzzzz haya tena yanakujajee? Kumbe wee na uduguuu mna hatred? Si tulikua peace kabisaa humu? Kwani imekuajeee?

Mbona mnanitishaaaa sasa? Naomba msemee mna tofauti gani nyie? Na inasababishwa na nn??

Niko tayariii kuwasuluhishaaa, hii JF mbonaa inataka kuni overtake ghaflaa hiviiii?? Kutokaa kwenye uke wenzaaa had nyie mabest? Mbona sitaki kuaminiiiii??

Duuuh JF ya motooooo, huwa nasemagaa ya humu muyaachee humu humu, kimezukaaaaa kituu kipyaa tenaaa?
 
Katika lile Mimi sina tatizo kabisa yalopita yamepita..

We want ile selfika ya amani na upendo wa agape tulokua nayo tunacheka tunafurahi masaa yanasogea kila mmoja anaenda pambana na shida zake offline!

Ndiomana sasahivi watu hata wanaogopa kuselfika Sababu ya ujinga ujinga wa wachache!

Selfikaaaa mafoto kwakwenda mbeleeee
😂😂😂😂 mhmmm!! Uduguu yaliyopita yamepita sababu ss hivi shem karudi??
Kwahiyo nani kaharibu uzi??
Upendo wa Agape upi huo mliokuwa nao??
Uduguu wangu hebu funguka walioharibu uzi vzr be free usiogope
 
wakezangu humu hamjambo?
1.dr lizy
2.cocastc
3.nuzulati
4.mahondwa
5.joannah

wapenzi wangu kilamtu aweke namba yamuamala nitume hela yasupu asubuhi sawa wapenzi wangu? haya wekeni namba basi watoto wazuri
Wee utadisco mwaka huu, ujiandae na UE huko.
 
Wewe ! Mwambie huyo udugu wako asinitishe afu sitishiki kiboya mimi aje kumwaga hizo Siri zangu nimemruhusu!
Mimi nicreate Id mpya kisa yeye what for? Who is she ????????? Tumeshea nani ???? Humu ugomvi si mlisema sababu kuu ni kushea hogo haya Hii chuki ghafla bin vuu nimeshea nae hogo lipi?? Kama sio hayo Hii hatred yake ghafla imetokea wapi???
Undumilakuwili haujawahi kumuacha mtu salama awatishiege haohao sio mimi . Mimi sina sababu ya kumjia na I'd mpya Yani sijaona na siioniiiiiiii kwanza Hakunaaaaa anitolee wenge.

Aje amwage hizo Siri
😂😂😂😂 nani kakutisha?? Hebu kunywa maji kwanza utulie usimulie vzr…
Haya una shida gani?? Udugu bado hujasema hebu sasa sema..!!
 
Lemme just answer this
I'm so naive when it comes to love .
Nimemaliza
Jamaniiii jamaniiii yaan wee unafall in love mazimaa,
Unazamaaa yote yotee,
Daaah wee tin vibayaa hvyooo, ko ulidondokea haswaa kwa Rab? Woiiiiiiih
 
Kheeeeeh shouzzzz haya tena yanakujajee? Kumbe wee na uduguuu mna hatred? Si tulikua peace kabisaa humu? Kwani imekuajeee?

Mbona mnanitishaaaa sasa? Naomba msemee mna tofauti gani nyie? Na inasababishwa na nn??

Niko tayariii kuwasuluhishaaa, hii JF mbonaa inataka kuni overtake ghaflaa hiviiii?? Kutokaa kwenye uke wenzaaa had nyie mabest? Mbona sitaki kuaminiiiii??

Duuuh JF ya motooooo, huwa nasemagaa ya humu muyaachee humu humu, kimezukaaaaa kituu kipyaa tenaaa?
😂😂😂😂 Weee kumbe??
Sema nini mimi kila mtu best yangu, sina permanent best naomba tuelewane huyo ni shogaako ww mpk na pesa mlikuwa mnaombana
 
Jamaniiii jamaniiii yaan wee unafall in love mazimaa,
Unazamaaa yote yotee,
Daaah wee tin vibayaa hvyooo, ko ulidondokea haswaa kwa Rab? Woiiiiiiih
Hehee hebu niache mie coca
Ni ujinga na utoto nilifanya .

I'm so naive ,yaani nafall mazima
Ujinga mkubwa huu na namuamini mtu mpaka basi ..
 
Kheeeeeh shouzzzz haya tena yanakujajee? Kumbe wee na uduguuu mna hatred? Si tulikua peace kabisaa humu? Kwani imekuajeee?

Mbona mnanitishaaaa sasa? Naomba msemee mna tofauti gani nyie? Na inasababishwa na nn??

Niko tayariii kuwasuluhishaaa, hii JF mbonaa inataka kuni overtake ghaflaa hiviiii?? Kutokaa kwenye uke wenzaaa had nyie mabest? Mbona sitaki kuaminiiiii??

Duuuh JF ya motooooo, huwa nasemagaa ya humu muyaachee humu humu, kimezukaaaaa kituu kipyaa tenaaa?
Msije toana roho tu 😁😁😁
 
Huu uzi uwe unafungwa tu ..
Ikianza huwa hapatoshi

Naikumbuka last year maneno yalianza ndogo Hadi likaja hili langu dah . Humu ni pa kupita .

Sema wewe ni una moyo .. mie ambavyo siwezi hata kuongea akija tu mtu kunichamba ninamuacha tu aongee Hadi mwisho .

Siwezi kubishana 😂😂 .
Moyo wapi mtu anakublem kwa vitu ambavo hata huelewi source yake. Unakaa kimya kuepusha shetani apite anakuona ndezii kwamba unamuogopa ni upuuzi asee!
 
Back
Top Bottom