Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,241
- 86,942
Inategemea mana vijana mkianza kupanic kurusha mawe nawatahadharisha vibabu vinamiliki miguu ya kuku oooh πππUsalama si upo lakini?
Inategemea mana vijana mkianza kupanic kurusha mawe nawatahadharisha vibabu vinamiliki miguu ya kuku oooh πππUsalama si upo lakini?
Nilimkanda kwenye 120 huyo Chelsea ni kibonde wangu



sema kweliInategemea mana vijana mkianza kupanic kurusha mawe nawatahadharisha vibabu vinamiliki miguu ya kuku oooh![]()





Udugu kuna sehemu naenda ila usiku hii mechi inaendelea ππππ
π msitutishe kwanza vinatumia vieite/viagraInategemea mana vijana mkianza kupanic kurusha mawe nawatahadharisha vibabu vinamiliki miguu ya kuku oooh πππ
Yani shem katupa talaka kisa kaona Tin karudi kweli??
Mi sijakubali hebu fanya jambo bana..
Ila Tin njoo uselfike utakuwa pin sana ww, mbona vibabu na vijana vinakugombania sana humu??
Tin ww ni star ujue!! Huu uzi ulifungiwa kwasababu yako unalijua hilo??
Wambea wote tulikula ban
Tin baadae njoo mahi wangu



msikilize shem nawee, huenda ukajua na vingine pia, acha paparaa dyadyaa.Hahaha π wewe dadaYani shem katupa talaka kisa kaona Tin karudi kweli?? π
Mi sijakubali hebu fanya jambo bana..
Ila Tin njoo uselfike utakuwa pin sana ww, mbona vibabu na vijana vinakugombania sana humu??
Tin ww ni star ujue!! Huu uzi ulifungiwa kwasababu yako unalijua hilo??
Wambea wote tulikula ban ππππ
Tin baadae njoo mahi wangu
Nilimpiga kimoja jioniii na kombe tukachukuwa la carabao cup
Cc Saint Anne



hongereniii bhana, mwaka wenu huu.Udugu kuna sehemu naenda ila usiku hii mechi inaendelea
Na ole mtu nikimtaja hapa anune
Vibabu vinapeana pasi bila choyo ila vijana wanabania pasi ndiomana wanashambuliwa sanaβ¦!!!



vijana wanakua wachoyo wa pasi, kila m1 anataka kuwa star wa team, bas wanaishia kufungwaa na vibabuu migas. Woiiiiiihππππ Mshaanza kupanic vijanaπ msitutishe kwanza vinatumia vieite/viagra
Eeh makubwa. ππmsikilize shem nawee, huenda ukajua na vingine pia, acha paparaa dyadyaa.
Tin akuje ni yuko full package, afu mpolee na mtulivu.
Shape, shingo, unywelee, jicho, lips,
Sijui kwann alimpa mtu access ya kuchezea acc ake, yaan ilikuaje had ampe. Nawazaa hapa ngachokaaa
Vijana wachoyo sana namuona pale Miongozo anabania sana pasi, anataka magoli yote afunge peke yake ππππvijana wanakua wachoyo wa pasi, kila m1 anataka kuwa star wa team, bas wanaishia kufungwaa na vibabuu migas. Woiiiiiih
Tin alifeli sana hapa, penzi la kijana lilimzidia akawauza vibabu πππmsikilize shem nawee, huenda ukajua na vingine pia, acha paparaa dyadyaa.
Tin akuje ni yuko full package, afu mpolee na mtulivu.
Shape, shingo, unywelee, jicho, lips,
Sijui kwann alimpa mtu access ya kuchezea acc ake, yaan ilikuaje had ampe. Nawazaa hapa ngachokaaa
πππ Ilikuwa ndefu mpk wakanifanyia figisu wakajua watanikomoa, kumbe ndio kwanza nakuja kuwakausha vizazi vzrβ¦.Hahaha π wewe dada
Poleni kwa ban aisee kama wewe yako ilikuwa ndefu sana .
Mimi Nina sura ya kawaida sana na sio pini hata ..
Sura ya baba , si unajua wakuria tulivyo weus na sura za baba .
Oyooooooo!!! ππππ
Aisee hahaa ni balaa unavyojua kukanda .πππ Ilikuwa ndefu mpk wakanifanyia figisu wakajua watanikomoa, kumbe ndio kwanza nakuja kuwakausha vizazi vzrβ¦.
Wanaishia kuja na id nyingine kunisema na bado nawakanda na hizo hizo idβs zao wanazojifichia ππππ
Tin ww ni mzuri nakwambia hapa selfika nzima, atakayebisha aweke pic tuoneβ¦
Wakurya wazuri sana, sema shoga angu kuchuna kakufundisha nani?? Mana umevipiga visate sauzandi π
Wakurya mbona sio wachunaji au umechukua kwa mama?? ππππ
Akhuu Mimi Niko na vijana sema wasumbufu tunaendana hivyo hivyo .Oyooooooo!!! ππππ
Ila Tin sijui kwann ulikaa kimya wakati hizi mbanga unaziweza vzr tyuu!!
Ww na vibabu mpk wakutoe roho πππ