Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😂😂😂 Ilikuwa ndefu mpk wakanifanyia figisu wakajua watanikomoa, kumbe ndio kwanza nakuja kuwakausha vizazi vzr….
Wanaishia kuja na id nyingine kunisema na bado nawakanda na hizo hizo id’s zao wanazojifichia 😂😂😂😂

Tin ww ni mzuri nakwambia hapa selfika nzima, atakayebisha aweke pic tuone…
Wakurya wazuri sana, sema shoga angu kuchuna kakufundisha nani?? Mana umevipiga visate sauzandi 😜
Wakurya mbona sio wachunaji au umechukua kwa mama?? 😂😂😂😂
Aisee hahaa ni balaa unavyojua kukanda .

Hapana Mimi si mzuri bhana , Kuna visu wapo humu ndani wa maana huwezi nifaanisha nao .

Wakina boss lady na sio mm

Mimi ni ile grade ya mwisho , tunamshukuru Muumbaji basi .

Mimi sio mchunaji bhana , kwanza hakuna thirty wala nn 😂😂.

Laiti ungejua siwezi hata kuomba hela mtu 😂😂😂 Hadi nibanwe haswa .
 
Oyooooooo!!! 😂😂😂😂
Ila Tin sijui kwann ulikaa kimya wakati hizi mbanga unaziweza vzr tyuu!!
Ww na vibabu mpk wakutoe roho 😂😂😂
Akhuu Mimi Niko na vijana sema wasumbufu tunaendana hivyo hivyo .

Wazeee mie siwawezi kwa kweli .
Yani mtu kama baba yako .. hapana na nimekoma .

Niliona hiyo meme nikakumbuka 😂😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mshaanza kupanic vijana
Nasemaje hii mechi bado sana, tafuteni mbinu ya kupindua meza ila vibabu vimejipanga nawaambia oohh!!
Tena ww kipindi cha pili nitamwambia kocha akutoe amuingize mshamba_hachekwi [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo ndo hata sub pale benchi asikae, [emoji23][emoji23][emoji23]
Atachomesha team.
 
Tin alifeli sana hapa, penzi la kijana lilimzidia akawauza vibabu [emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa kijana Rab alipiga shuti kali mpk nyavu za upande wa vibabu zilitikisika sana, hasa yule Elon Musk alipigwa tobo mpk akazimia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu nimechekaa nusu niangushe cm wallah.
Baadae niko kwenye [emoji343] nikisikiliza utangazaji wako wa match.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Ilikuwa ndefu mpk wakanifanyia figisu wakajua watanikomoa, kumbe ndio kwanza nakuja kuwakausha vizazi vzr….
Wanaishia kuja na id nyingine kunisema na bado nawakanda na hizo hizo id’s zao wanazojifichia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Tin ww ni mzuri nakwambia hapa selfika nzima, atakayebisha aweke pic tuone…
Wakurya wazuri sana, sema shoga angu kuchuna kakufundisha nani?? Mana umevipiga visate sauzandi [emoji12]
Wakurya mbona sio wachunaji au umechukua kwa mama?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu zinauma hapa.
Mkurya wa darisalama, famchezo nn.
 
Oyooooooo!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila Tin sijui kwann ulikaa kimya wakati hizi mbanga unaziweza vzr tyuu!!
Ww na vibabu mpk wakutoe roho [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimepitwaaaa. Woiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aisee hahaa ni balaa unavyojua kukanda .

Hapana Mimi si mzuri bhana , Kuna visu wapo humu ndani wa maana huwezi nifaanisha nao .

Wakina boss lady na sio mm

Mimi ni ile grade ya mwisho , tunamshukuru Muumbaji basi .

Mimi sio mchunaji bhana , kwanza hakuna thirty wala nn [emoji23][emoji23].

Laiti ungejua siwezi hata kuomba hela mtu [emoji23][emoji23][emoji23] Hadi nibanwe haswa .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahyo ni uongo kuwa mjep hakukupa sate sauzand? Na jee hotel /room aliyofikia hukuingia? Je siku ya 2 hukurudi kumsaidia kuchagua vyomboo?

Tujuzee DA tin tafadhariiiii,
 
Mabingwa wa dunia ndo tunaanza sherehe sasa 🔥🔥🔥
YNWA🔥

Depal , Poker
Kombe liwashinde,na chupa mshindwe kunyanyua?

Ya nini Mteseke roho?
Jiunge nami mpooze koo
Aki hii wiki imeisha kimajonzi sana mosi yanga kafuzu robo, pili liverkuku kachukua ubingwa, tatu simba tumedraw na mwisho mwanitesa united kafungwa. Nimpe pole Depal kwa kipigo kingine. Na nikupe hongera wewe Saint Anne hope jana ulimsusia yote Wigelekelo 😂
 
Akhuu Mimi Niko na vijana sema wasumbufu tunaendana hivyo hivyo .

Wazeee mie siwawezi kwa kweli .
Yani mtu kama baba yako .. hapana na nimekoma .

Niliona hiyo meme nikakumbuka 😂😂
Selfie yako imenipita jamani. Sema uwe makini sasa Ndumilakuwili ndio tumejaa humu mtu anakuchekea kukutease then anaenda upande wa pili anayamwaga yote mlioongea huko nako anayachota kukuletea wahivo ni zaidi ya hatari
Kuna Watu kutwa kuhaha pm kuulizia taarifa za watu ili azipeleke vizuri ili ku create enmity wapate cha kujadili take care !
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahyo ni uongo kuwa mjep hakukupa sate sauzand? Na jee hotel /room aliyofikia hukuingia? Je siku ya 2 hukurudi kumsaidia kuchagua vyomboo?

Tujuzee DA tin tafadhariiiii,
Hapana sikwenda na sikurudi siku siku ya pili .
Hiyo thirty ni alinipa tu mkaka wa watu .
Kama ya usafiri ..

Just to clear the issue
Hakuna la zaidi .
 
Selfie yako imenipita jamani. Sema uwe makini sasa Ndumilakuwili ndio tumejaa humu mtu anakuchekea kukutease then anaenda upande wa pili anayamwaga yote mlioongea huko nako anayachota kukuletea!
Kuna Watu kutwa kuhaha pm kuulizia taarifa za watu ili azipeleke vizuri ili ku create enmity wapate cha kujadili take care !
Asante sana nashukuru sana kipenzi
I appreciate your advice too .

Inatakiwa umaskini sana humu
Unaweza kutumika vibaya bila kujua .

Pia wale wanasema vibaya wenzao huko pm . Ila Jf ni 🔥


🙏🏿🙏🏿
 
Hapana sikwenda na sikurudi siku siku ya pili .
Hiyo thirty ni alinipa tu mkaka wa watu .
Kama ya usafiri ..

Just to clear the issue
Hakuna la zaidi .
Watu hawatakuelewa hata usijichoshe ku clear air Ndiokwanza unawapa airtime ya kukuchafua na kukudhalilisha my dear huwajui vizuri nakwambia!

Tuendelee kuselfika tu achana na kujianika Tin. Anajisemeaga Smart911 Yagangwe yajayo!
 
Back
Top Bottom