Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,224
Mbegu dadaHuo mlonge ulitafuna majani au mizizi
Mbegu dadaHuo mlonge ulitafuna majani au mizizi
Ugandan foodie place?
Ndio mama.Hivi uko dodoma eeh?
Sema kweli? Haha hapo sasa unanidanganyaHapa tunaona hadi tarehe![]()
Sehemu gani?Ndio mama.



aki that was total humiliation
Hiyo ipo kwa ninyi wa kishua...
Sisi tulikuwa tunashikishwa sikio...ukiweza basi unazama std 1 the same day hata km hauna uniforms...
Ila sasa ukiwa ndio kimo cha wale wa kupambana chini kwa chini, halafu bichwa kubwa kubwa hivi, umri unaweza ukawa umeenda lakini sasa vimikono ndio haviwezi zungukia sikio ya the other side
Shee na mimi ninunulie hii.
Kisasa.Sehemu gani?
Keep hustling ✌Nipo babe mihangaiko tuu inabana
We mie sio wa kishua, nimeanza kuvaa uniform darasa la3 hapo unapiga na ndala zako freeeeesh au peku mwendo mdundo.
Mie sikushika sikio maana nilikuwa najua kusoma na kuandika tayari hivyo wakanichukua moja kwa moja.
Mbeya nilikwambia nakaa wapi na wapi?
Basi Leo nakwambia mbeya Mimi nakaa nzovwe![]()



wewe haushindwi,, kama unaweza pitwa na picha humu utashindwa pitwa na sherehe kwa mkoa uliopo??
Dah,ningekuwa huko ningekubali kupitwa na sherehe hivihvi naona?
Ngabu weka basi selfie yako tukuone japo kidogo
Kuna mahali kanipa likeAnajipitia tu juu kwa juu jamani
Hahah that rolex thing...hata sijui huwa ni gani ile, labda tuite "ugandan pizza roll"Yessir. They good.
Sai, isyesye
Uhindini maduka ya mabillionea
Nina matatizo ya kulinganisha.