Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aki that was total humiliation
Hiyo ipo kwa ninyi wa kishua...

Sisi tulikuwa tunashikishwa sikio...ukiweza basi unazama std 1 the same day hata km hauna uniforms...

Ila sasa ukiwa ndio kimo cha wale wa kupambana chini kwa chini, halafu bichwa kubwa kubwa hivi, umri unaweza ukawa umeenda lakini sasa vimikono ndio haviwezi zungukia sikio ya the other side
 
Hahah asome Karma and co, wajue kule wakubwa zao wametoka
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We mie sio wa kishua, nimeanza kuvaa uniform darasa la3 hapo unapiga na ndala zako freeeeesh au peku mwendo mdundo.
Mie sikushika sikio maana nilikuwa najua kusoma na kuandika tayari hivyo wakanichukua moja kwa moja.
 
Ngabu weka basi selfie yako tukuone japo kidogo

Ukimwona huyo basi umeniona na mimi...

64FA782D-EED2-4546-B1B3-019EB6058AE6.jpeg
 
Back
Top Bottom