Umeenda kanisani na jezi ya yanga? Saint AnneMimi ni Yanga💛💚
Mbele daima
NdiyoUmeenda kanisani na jezi ya yanga? Saint Anne

🤣🤣🤣🤣 Tin mlokole hana hizo shostizo wangu bana, halafu mi nachangamsha genge hapa….Tena anakung'oa na meno
Moyo wangu unadunda sana kila nikiona picha zako, nakuelewa sana embu niambie ukwapi nije nikupe raha kipenzi changu Saint AnneNyuma mwikoView attachment 2915843
Hautukwazi tajiriKama tunawakwazaa semeniiii😃
Hahaha au tunagubuu sanaaHautukwazi tajiri
Sawa alafu ww ni muongo ukanambia jana utaselfika lkn hola.🤣🤣🤣🤣 Tin mlokole hana hizo shostizo wangu bana, halafu mi nachangamsha genge hapa….
Yule binti Sayuni hizi mbungi zetu haziwezi kabisaaa…!!
Mzee lazim nitoke nje na jacket kubwa na gloves heavy na a benie maana bila hivyo sitoboi🚴Dah!
Hivyo viganja vitaweza kweli kushika hizo handles hata kama una gloves...
Hakuna sehemu baridi inachapa kama kwenye pua, masikio, vidole vya mikono na miguu (sehemu damu ipo kwa uchache na hakuna mafuta mwili)
Kabisa arudi maneno kawaida bana, Tin rudi shosti ila punguza kuwajua watu nje ya JF uenjoy life la humu 😘😘😘Tinsley
Waylen
Babe gal usiwe na wasiwasi kujichanganya na kuchangia chochote selfika au popote.
Sisi sote ni binadamu na sisi sote hukosea
Yule alokufanyia ule upumbavu alisahau kua yeye pia ni binadamu na ana madhaifu mengi pengine hata kukushinda wewe.
Hakuna binadamu alokua na mabaya tu hata wema pia.
Ukiona ujumbe wangu tafadhali
Ufanyie kazi.
Tulia hapo hapo usitoke mahiSawa alafu ww ni muongo ukanambia jana utaselfika lkn hola.
Selfika sa hv tumalizane🥴🥴🥴🥴
Uko wapi nishafika mcity 😂😂😂Kabisaaa kabisaaa![]()
Mambo hiya hiya heya heya mji mzito 😂😂😂mbna mabwakuuuu
😂😂😂😂 uduguuu majutraa watu km tumezaliwa Somalia addsetfydrzxsscggv boom🥷🏿💣😁😁😁😁İla udugu una heka heka si ndogo haipiti siku bila kugombana 😁😁😁
Uduguu njoo nimerudi 😂😂😂Wee uduguu ulikua wapiii? Na ninataka kukubkec kitu.
![]()
Sasa usitoke kaa hapo hapo, kijora cha sale ya kufatia vyombo si unacho??Niko hapa njia panda ya segerea kwenda majumba 6.
![]()
💋💋💋 chantee chanaWaoooooooow uduguuu akee na miee.
![]()