Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😍😍😍😍😍 uko msupuuuu mahi
Kamwanya sasa 😍😍
Nyie jf kuna visu no filter, no black and white
Kitu og kabisaaaa awwww πŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°
Acha kumpanga mwenzio ana sura ya Babu yake Mzee Mwakatobe wa Ubaruku. Ebu weka basi na yako tuone Komwe na sura ya mjomba wako wa kisukumaπŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜πŸ˜†
 
Uko vizureeee sis you are supa tall na mwili wako mzuriiiiiii black biuriiiiiii😍😍😍😍😍!
Jana nilitingwa nimepitwaaa na miblessings yakoo.. Naenda shamba one time badae nikirudi naomba zirudiwee pulllllllliiiiiiiiizzzz!!
Usijali ccy lazima nikubless
 
Uduguu nimefika japo kwa kuchelewa, nilikuwa safarini leo…
Hapa nimeweka mabegi mbio mbio nije huku nione kuna mupya gani.??
Haya lete ubuyu huo [emoji39][emoji39][emoji39]
Na kwann ukae na umbea uduguu wangu ukunyonge bureee wakati mi nipo wa kukusaidia kumumunya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilikuita uje tuuchachuee uzi tyuuh.
 
Weeee!! Kumbe?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo shemeji yangu kwa coca bana
Sema huyo kaka ako katuudhi, kuna vyombo vyetu vilinunuliwa havijafika kwa bi mkubwa coca [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kesho naweka mafuta kirikuu tunavifata
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bado kirikuu hujapataa?
 
We mdau wa kitambaa cheaper acha maneno, weka picha yako tuone komwe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu bado hujasemaa.
Hapo penyewe na sijawahi hata kanyaga, napaonaga tyuuh.
Nweiii linakuja chimbo jipyaa.
 
4e0a2c9438e7a562d1ea3b6518290ee9.jpg
 
Oyoooooooo.!!! Wifi la dunia 😍😍😍😍
Huna baya na mtoto nikizaa wa kike nampa jina la aunt yake Mammy K πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mtoto aitwe Mwanamkasi Kantrii 🀣🀣🀣 aka Mami K.....upoo?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom