Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,241
- 86,943
๐๐๐๐๐Kabisaaaa umuambie huyo shem,![]()
๐๐๐๐๐Kabisaaaa umuambie huyo shem,![]()
Ni wetu kabisaaa,Oyooooooooo.!!!
Harusi tunayo, mwaka wetu huu!!






๐๐๐๐๐ coca niwaacheeee puliiiiiizzzzzNi wetu kabisaaa,
Sasa watu wanadate humu na wanaachwa, harusi hakunaaa
![]()
Mariooo hawatakiwiii kabisaaa, ila mama nono kachomesha.Nimeambiwa nisikupe pesa mpk ukamilishe mahari, wakinga hawataki Marioo kwenye ukoo wao




Marioo hatuwataki kabeesaaaa ๐๐๐๐Mariooo hawatakiwiii kabisaaa, ila mama nono kachomesha.![]()
Atatoa bana wifi yangu ana mihela mumewe mfanyabiashara mkubwa.!!
Hapo kwa mshamba ndo hamna kitu![]()

humjui vizuri huyo, utapigwa sound hadi uchokeKwa kweli, ubaki hivyo hivyo.Shukrani, ila ni majaaliwa ya Maulana tu cocastic...
Ww jf yote tulikushindwa hadi mm mbishi nilinyoosha mikono, huyo mmoja hatawezaShem em sema neno![]()

Yaan nikianzisha mie, Jf nzima itatikisika had jukwaa la siasa,bora uanzishe wakae kwenye nafasi zao.!!




Hebu anzisha, au huwezi mikwara tumume mwenyewe tunaishi kibishiii, sasa anani nanga huko kwa wake wenzangu,
Cjui na mie nianzishe vuruguu, watu wapoteanee humuu.
Mwaka umeuanza vibaya udugu wangu, halafu ndo kwanza tuko Febu wohiii




yaan sate sauzand inafanya mtu ajiachie kunanga mwenzieee.Mie last born wa familia ya bi harusi, wee shem hujuii hili au?
![]()

seat yako ipo reserved tayarimahari imemchanganya mpk anaomba ndugu wa kikeni wamsaidie!!!
Alijua anaoa mchaga mwenzie kwa posa ya mgomba wa ndizi![]()




wakinga hawataki longo longo, Pesa isome cash, maghorofa ya kariakoo hayajengwi kwa mbegeee.Sisi kazi yetu kuwasaidia kuwapa mabomu walipuane ss hivi.!!




km kawaaaa, wapambe nuksi tunakua winja winjaaa kushadadiia mtifuanoooo.๐๐๐ Ungejimix akujue uone balaa lake sasa!!hivi unajua nacheka leo kutwa nzima, natamani kujua nilinangwaa kwa kipii, afu yule dada huwezi amini, tulikua pisi sanaa.
Kuna siku alikuja had chuo ili anione sema nikamkwepa ki aina, hata yaliyo semwa juu yake sikuamini, siku amekuja hapa Jf Kuomba msamaha, wallah nilistaajabu unajua hafananiii kabisaa,
Yaan alikua very innocent, najionagaa mie ndo waru waru, kumbe bora mie aseeee,![]()
Sijui kwa nn leo umenileta huku jfNimeambiwa nisikupe pesa mpk ukamilishe mahari, wakinga hawataki Marioo kwenye ukoo wao

