Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi unajua nacheka leo kutwa nzima, natamani kujua nilinangwaa kwa kipii, afu yule dada huwezi amini, tulikua pisi sanaa.

Kuna siku alikuja had chuo ili anione sema nikamkwepa ki aina, hata yaliyo semwa juu yake sikuamini, siku amekuja hapa Jf Kuomba msamaha, wallah nilistaajabu unajua hafananiii kabisaa,

Yaan alikua very innocent, najionagaa mie ndo waru waru, kumbe bora mie aseeee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂 Ungejimix akujue uone balaa lake sasa!!
Angekuleta wima wima nakwambia na ungenangwa zaidi ya ulivyonangwa.!!😂😂😂
Humu ni kuishi bila kujuana wakeshe wanahangaika kukutafuta, hii kujuana imeleta shida sanaaa.!! Mtu anakuchambua km ana kadi lako la clinic dadeq..!!
Hawa watu wanaojifanya wapole humu ni waongo sijapata kuona, kwanza wana id’s zao za kuchamba tofauti na walizozoeleka.!!
Wanapenda kuonekana wastaarabu kumbe wapuuzi afu tunawachora, tunawacheka hihiiiiiiiii 😂😂😂😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wakinga hawataki longo longo, Pesa isome cash, maghorofa ya kariakoo hayajengwi kwa mbegeee.
Wachagaa watulizaneee kwan, watemee pesa hizo
Oyoooooooo!! Kantry umesikia??? 😂😂😂😂
Haya mkanywe mbege, huku ulikoingia siko
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] coca niwaacheeee puliiiiiizzzzz
Nimecheka mpk machozi..!! Eti niniiiiii?!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nasemajee harusiii tunayooo.
Uchumba suguuu mwsho FB na insta,

JF tunataka ndoaaa, harusiiii ipooooo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wakinga hawataki longo longo, Pesa isome cash, maghorofa ya kariakoo hayajengwi kwa mbegeee.
Wachagaa watulizaneee kwan, watemee pesa hizo
Huyo kumpa pesa ni sawa na kuchota maji kwenye pipa na kumwaga baharini

Namaanisha
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nasemajee harusiii tunayooo.
Uchumba suguuu mwsho FB na insta,

JF tunataka ndoaaa, harusiiii ipooooo.
😂😂😂😂😂 Ariririiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Ukipandisha kitonga ujue mikoa ya uko wote hatukalishwi uchumba sugu 😂😂😂
Nyanda za juu sisi ni ndoa tyuuu!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Ungejimix akujue uone balaa lake sasa!!
Angekuleta wima wima nakwambia na ungenangwa zaidi ya ulivyonangwa.!![emoji23][emoji23][emoji23]
Humu ni kuishi bila kujuana wakeshe wanahangaika kukutafuta, hii kujuana imeleta shida sanaaa.!! Mtu anakuchambua km ana kadi lako la clinic dadeq..!!
Hawa watu wanaojifanya wapole humu ni waongo sijapata kuona, kwanza wana id’s zao za kuchamba tofauti na walizozoeleka.!!
Wanapenda kuonekana wastaarabu kumbe wapuuzi afu tunawachora, tunawacheka hihiiiiiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23]
 
Ww jf yote tulikushindwa hadi mm mbishi nilinyoosha mikono, huyo mmoja hataweza[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shem nimechekaaa, sahivi nimeamua kutulia, ila wakati ulee, nlkua navurugana na watu, bas ntatumia pc, ntaona nachelewa kutype nahamia kwa cm had inapata motooo, narud kwa Pc .

Najionaa nimepoaa wallah, na ukubwa unachangiaaa.
 
Back
Top Bottom