Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,295
- 108,318
Hahaha...kuna mzee mmoja mtu mzima maybe kwenye 70s hivi huwa anatafuna meno yake, ukikaa naye unaweza fikiri mdudu anapekecha mbao
Niliacha bwana, ulimi ndio meshindwa![]()


