Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,211
😀😀 watoto wa 95+ mbona mnaupenda sana ukubwa?Aisee mjukuu wangu umevuta cha Arusha mda huu.
😀😀 watoto wa 95+ mbona mnaupenda sana ukubwa?Aisee mjukuu wangu umevuta cha Arusha mda huu.
Dah!Msifanye hivo.wengine tunazeeka hatuna hata mmoja.Dini inaruhusu 3
Una mapungufu gani mkuu?Dah!Msifanye hivo.wengine tunazeeka hatuna hata mmoja.
Uwe unaniita basi ukitupiaWe zitoe tu ntazipokea
🎓
Ukipajua tuambiane mzee mwenzangu
Mbona zipo huko juuUwe unaniita basi ukitupia
Inawezekana unajiona uko sawa.Kumbe uko na mapungufu pasipo kujijua....Una mapungufu gani mkuu?
Unayo umeipata wapi?
Jamani
Sasa we hata haudeserve kuwa uncle
Chukua lishikamoo lako likubwa likubwa![]()
Inshallah Allah akupe hitaji lako.Inawezekana unajiona uko sawa.Kumbe uko na mapungufu pasipo kujijua....
I miss u too baba J...Nikuone basi ☺Missed you mama J..
Najibuje sasa hapa.AmeenInshallah Allah akupe hitaji lako.

No probs!Files mixed up!
You will inbox me that one..![]()
Huyu wa kishua hawezi kupajua mwanjelwatulia dogo. Siku ile umenitumia meseji nilikuwa Mwanjelwa (we mnyakyusa wa mjini utakuwa hupajui ila Saint anne lazima anapajua) nilirudisha jibu halafu nikaweka tena simu mahali pake jioni naiangalia simu kumbe sikuwa na SMS kwa hiyo meseji ikawa imefeli kuja.
Yes AmeenNajibuje sasa hapa.Ameen![]()
HahaHewalaaa...mi nazipokea tu...halafu huwa nafanya part time ya kupokea mahari na posa kwa mabinti kama ninyi...Naomba deal