Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hizo habari ulizosema majuzi za mimi kutembea na Graha humu je ni Kwamba unanipenda umeamua kunizushia tu ili unichafue humu au shida ninini hasa??? Mbona tulikua vizuri humu nini kilichokusibu mpaka kunikalia kooni hivi???

Grahams tena?? Humu kuna watunga hadithi wengi aiseee!!
 
Grahams tena?? Humu kuna watunga hadithi wengi aiseee!!
Ndio uone watu walivo wanaa humu skendozzz zoooote wamemuona babu tu????
Halafu Bora mtu anaecheka na kufanya mambo hadharani tena kwa sauti kila mtu anaona na kusikia kuliko hao wanaojifanya humu watakatifuuu wakimyaaa wamevaaa ngozi ya kondoo kumbe ndani mbwa mwitu !! Ma silent killers wabaya sana uduguuu

Hakii selfika tutafika tumechoka sana
 
Back
Top Bottom