Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Siku nikianza kukaa mwenyewe Dunia itageuka[emoji1787][emoji23]

Waoga wa maisha kauli zetu
Utawezaa na Kuwa sawa
Japo ni ngumu ila Mungu kama jina lake Jehovah Jireh , he will surely provide .

Mimi nimekaa kiubishi mwanzoni na nimeweza , hakuna kigumu chini ya jua .

You just have to set your mind
Budget pia muhimu

Pia kuridhika , kama huwezi kuafford kitu unakiacha .
 
Nipo wangu
Kwakweli naomba tu pitia utube upate Cha kwako

....mambo mengi mojawapo
Ni zuio lililoko kwenye uchumi wako binafsi!
Yule Baba mwee
Nikianza kumsikiliza simmalizi


Mimi huwa napenda niwepo hapohapo alipo..
Kuna vibe huwa napata ambalo sipati utube.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hakuna kusamehe wambea tutakosa cha kujadili!! Udugu Antonnia kabla ya kusamehe nitumie pic za aliyebong’oka kwanza!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hivi Kantri unajua kuna pic ya mtu kavaa bikini [emoji160] afu kubong’oka??? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Natamani kusema na mm nitumie[emoji1787]
 
Wewe Koffi Annan wa mchongo emu tuache tupate udambu dambu wenzio [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wewe yako yanakushinda ujue?? Tuna miezi 4 sisikii hata kichefuchefu nakuangalia tu!!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Selfika kwanza usiku Wangu uende furesh uduguuu!
 
Wewe Koffi Annan wa mchongo emu tuache tupate udambu dambu wenzio [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wewe yako yanakushinda ujue?? Tuna miezi 4 sisikii hata kichefuchefu nakuangalia tu!!! [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23]
 
Utawezaa na Kuwa sawa
Japo ni ngumu ila Mungu kama jina lake Jehovah Jireh , he will surely provide .

Mimi nimekaa kiubishi mwanzoni na nimeweza , hakuna kigumu chini ya jua .

You just have to set your mind
Budget pia muhimu

Pia kuridhika , kama huwezi kuafford kitu unakiacha .
Yaani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyumbani bado nipo sana wee

Meme yetu waoga wa maisha
Screenshot_20230817-183251.jpg
 
Back
Top Bottom