Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Siku nikianza kukaa mwenyewe Dunia itageuka

Waoga wa maisha kauli zetu
Utawezaa na Kuwa sawa
Japo ni ngumu ila Mungu kama jina lake Jehovah Jireh , he will surely provide .

Mimi nimekaa kiubishi mwanzoni na nimeweza , hakuna kigumu chini ya jua .

You just have to set your mind
Budget pia muhimu

Pia kuridhika , kama huwezi kuafford kitu unakiacha .
 
Nipo wangu
Kwakweli naomba tu pitia utube upate Cha kwako

....mambo mengi mojawapo
Ni zuio lililoko kwenye uchumi wako binafsi!
Yule Baba mwee
Nikianza kumsikiliza simmalizi


Mimi huwa napenda niwepo hapohapo alipo..
Kuna vibe huwa napata ambalo sipati utube.
 
Back
Top Bottom