Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Hakuna extra roomNije kulala huko leo? Maana huku kwetu kuna baridi sana. Ntakubebea ka wine.
Utalala wapi ?
Hakuna extra roomNije kulala huko leo? Maana huku kwetu kuna baridi sana. Ntakubebea ka wine.
"watu wakweli hueleweka kirahisi"Mie nimemaliza mkuu!
Niku oneshe gumba😁Ndio😬
Ni ya nani?



Tuma na ya kutolea nikupe pdf la mibong’oko uvunje mbavu!!! Miongozo mwenzio alitupa simu kwa mshtuko!!! 


Niki mtaka, najua pa kumpata.Tayari ushaachwa hivo
Mapenzi yetu ya selfika raha sana
Kwa kifupi wewe unatakaje mkuu ??? Mie mgumu kuelewa asee tumia maneno mepesi zaidi ili nielewe haraka"watu wakweli hueleweka kirahisi"
Dah SI yali Isha😁🤣😂, au uswahili Ume kujaa🤣😂😂Hakuna kusamehe wambea tutakosa cha kujadili!! Udugu Antonnia kabla ya kusamehe nitumie pic za aliyebong’oka kwanza!!!
Hivi Kantri unajua kuna pic ya mtu kavaa bikiniafu kubong’oka???
![]()
Wewe tena si ulikuwa na jambo lako humu limeisha![]()




Siku nikianza kukaa mwenyewe Dunia itageukaNinaa karibia mwaka , sikai nyumbani .
Nishakuwa mzoefu sasa .


mambo ya maths tafuta thamani ya "y", hadi leo y hujampata




Kungwi mnyakyusaMakungwi wa kweli wanapatikana Pwani tyuuu!! Hao wengine wa michongo![]()




Basi yaishe best🤣😂.Ndio😬
Basi hatutazima taa. Na ukiogopa zaidi mi ntalala chini we ulale kitandani.Akhu usiku mrefu ..
Sitaki kubet
pakitulia uniite nije niselfike![]()





Kinachokukasirisha kitakutawalaKwa kifupi wewe unatakaje mkuu ??? Mie mgumu kuelewa asee tumia maneno mepesi zaidi ili nielewe haraka

tulia hapo hapo usiondokeMinywele umenyoa kwanza? Usije km yule aliyetolewa mapepo na Yesu yakahamishiwa kwa nguruwe![]()
Utawezaa na Kuwa sawaSiku nikianza kukaa mwenyewe Dunia itageuka
Waoga wa maisha kauli zetu
Yule Baba mweeNipo wangu
Kwakweli naomba tu pitia utube upate Cha kwako
....mambo mengi mojawapo
Ni zuio lililoko kwenye uchumi wako binafsi!