YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Huyo mwehuuu uduguuu yee anawaza lodge tu hapo!![]()
Toka juzi yupo lodge



Huyo mwehuuu uduguuu yee anawaza lodge tu hapo!![]()



Tena Sio kidogo uduguuu!!
Watafute pesa kuepusha aibu ndogo ndogo 😁😁Me nasemaga hapa, zote hizi zinasababishwa na tamaa za pesa ambazo bila kujidhalilisha mwenyewe unaweza kuwa nazo
Sasa mpk unafikia hatua ya kubong’oka yote ya nini??![]()
Bora anaeongea waziii kuliko mnafiki Mnafiki ni muuaji mkubwa! Anakuchekea deep down anakuangamiza!!
Una mchokoza mpendwa wangu😬😬Litakua bonge kweli![]()
Ndio uone watu walivo wanaa humu skendozzz zoooote wamemuona babu tu????
Halafu Bora mtu anaecheka na kufanya mambo hadharani tena kwa sauti kila mtu anaona na kusikia kuliko hao wanaojifanya humu watakatifuuu wakimyaaa wamevaaa ngozi ya kondoo kumbe ndani mbwa mwitu !! Ma silent killers wabaya sana uduguuu
Hakii selfika tutafika tumechoka sana




Shougakee akadakia na mafuta ya upakoooko!! Kwamba anajua hadi kuwa huyo mtu huwa anatumia na mafuta alijuajee kama hajawahii kumfirrraaa??? Niwacheeeeee miee uduguuu!!



Nyie na miparange wanagawa?? Yesu okoa hiki kizazi cha udangajiHio ilikua 2019 uduguuu kalikua kamekomaaa kweli kakubwa kanaonekana kama katoto sasa hio 2019 imagine!!




Hongera sanaa uko vizure!! Matokeo mazuri!Hakuna semester niliyokesha JF kama semester ya 2 😁😁😁😆😆😆.
Duuh sasa kilaza naye katoboa au ndo sisi ma jobless in the coming future 🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Sio poa anyway wana selfika ningependa kuwashukuru kwa muda wenu kusema la kweli mmenifunza mengi wale niliowadhalalisha poleni sana kwenu ndo maisha haya 🤭🤭🤭.
Wale ma bestie zangu kwa heri ya kuonana natengeneza jina twitter huko ipi niwe maarufu zaidi 😁😁 JF hailipi hii.
And kabla sijamaliza nawShukuru nyote kwa kunipa airtime yenu it was really worth it.
ASTA LA VISTA FRIENDS ☺️
View attachment 2728299
Treeeenaaah!! Wanyee bogaaaa! Yani wanataka kunipelekesha kama Mtoto humu washike adabu zao kabisaaa





Mie Hilo butiii tyuuu😊😊😊😊!!
Watafute pesa kuepusha aibu ndogo ndogo![]()




Una mchokoza mpendwa wangu![]()
Nani huyo ??Alisema mwenyewe yupo km simtank la kiboko la lita 15000
Hakuna semester niliyokesha JF kama semester ya 2.
Duuh sasa kilaza naye katoboa au ndo sisi ma jobless in the coming future.
Sio poa anyway wana selfika ningependa kuwashukuru kwa muda wenu kusema la kweli mmenifunza mengi wale niliowadhalalisha poleni sana kwenu ndo maisha haya.
Wale ma bestie zangu kwa heri ya kuonana natengeneza jina twitter huko ipi niwe maarufu zaidiJF hailipi hii.
And kabla sijamaliza nawShukuru nyote kwa kunipa airtime yenu it was really worth it.
ASTA LA VISTA FRIENDS
View attachment 2728299
Alisema mdada mwenyewe na kutaja mafuta ya upako!! Jiongezee uduguuu!!Nyie na miparange wanagawa?? Yesu okoa hiki kizazi cha udangaji
Sema tunaofanya biashara ndogondogo za kuokotezaWanatuona tunaouza vijora wajinga, wanatumia mibong’oko kusurvive town![]()