YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Halafu Mwanaume akapiga chini dada gundu lake akajiloweke Mtoni![]()
Inauma hiyo



We unaona unamtega kumbe mwenzio anakuona umerukwa na akili!!!
Afu uko beach kavaa
nyekundu km anaenda kutambika 



Halafu Mwanaume akapiga chini dada gundu lake akajiloweke Mtoni![]()



nyekundu km anaenda kutambika 



Chief uko wapi niko mjini hapa
Yote kayataka Anto😁😁it’s furahi dei bebe
Nipo vip uko poaupo dogo??
Yaani😂😂😂😂Unajua kuchochea kuni we mtu😁😁
Shida wengi wanashindwa kuelewa kila mtu na bahati yake ni mbaya kulazimisha kupendwa😬😁😁Inauma hiyo
We unaona unamtega kumbe mwenzio anakuona umerukwa na akili!!!
Afu uko beach kavaanyekundu km anaenda kutambika
![]()
Yote kayataka Anto![]()




Nipo vip uko poa



Wewe dada hufai🤣Kajua kunifurahisha leo, unajua kuna vitu hutakiwi kuvikalia kimya kila siku lazima uvitolee uvivu![]()
KaribuWeek nakuja mwenyewe live kuchukua mzigo wangu![]()
Shida wengi wanashindwa kuelewa kila mtu na bahati yake ni mbaya kulazimisha kupendwa![]()




moto wake unakuwaje??
amtege bwana lahaulah lakwata!!! Bwana nasikia kwanza alitupa simu chini kwa mshtuko ( hii nimetunga) 







Duh na umepitwa hasa shostIrudiwe shosti sikuwepo![]()
Duh 😂😂😂😂😂ila selfika nimewagawa🙌🙌Kabla hujavamia mapenzi ya watu unatakiwa ujipime kwanza
Sasa Antonia lile hips na ile rangi afu atupiemoto wake unakuwaje??
Haya mwenzangu na mie huyo dada mbong’oko naye kachokaaaa km betina katupiaamtege bwana lahaulah lakwata!!! Bwana nasikia kwanza alitupa simu chini kwa mshtuko ( hii nimetunga)
Kaona isiwe shida ka4ward kwa Antonia ajionee mshindani wake
Km mbwa wa kisomali aliyepigwa na njaa ya vita kali
Wewe dada hufai
Aisee


Sasa I’d fake umuogope mtu kwann?? Kuna TUZO za pesa tunapewa tukijifanya watakatifu??!! Me mwenzangu nakuchamba vizuri ikiuma puliza rudi ulingoni tuendelee tulipoishia 


Usijar ngoja soon posbleNiko poa, nitumie vocha mdogo angu nimeona umetupia bonge la mselfie unajipendelea![]()
Naruhusiwa kucheka kwa audio😁😁😁😁Kabla hujavamia mapenzi ya watu unatakiwa ujipime kwanza
Sasa Antonia lile hips na ile rangi afu atupiemoto wake unakuwaje??
Haya mwenzangu na mie huyo dada mbong’oko naye kachokaaaa km betina katupiaamtege bwana lahaulah lakwata!!! Bwana nasikia kwanza alitupa simu chini kwa mshtuko ( hii nimetunga)
Kaona isiwe shida ka4ward kwa Antonia ajionee mshindani wake
Km mbwa wa kisomali aliyepigwa na njaa ya vita kali
Hatari sana🤝Toka jana nagomewa upload sijui shida nini, naiskiliza hapaView attachment 2728227