Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 6,503
- 18,952
🙄 Umeanza lini tena kukaa ghetto? Inamaana nyumbani umehama bila kunishirikisha!Ghetto tu nipo .
🙄 Umeanza lini tena kukaa ghetto? Inamaana nyumbani umehama bila kunishirikisha!Ghetto tu nipo .
Mungu ni mwemaAll is well .
Nzuri naendelea vyema vipi wewe ?
Nalisubiria hilo swaliAntonnia samahani kuna swali naomba kuuliza, kama hutajali.
Ninaa karibia mwaka , sikai nyumbani .🙄 Umeanza lini tena kukaa ghetto? Inamaana nyumbani umehama bila kunishirikisha!
Amen loveMungu ni mwema
Unaweza kusamehe kwenye mazingira yoyote?Nalisubiria hilo swali
Ndio!Unaweza kusamehe kwenye mazingira yoyote?
Unakaa mwenyewe au ndio lakushare kama la akina Carasco PutinNinaa karibia mwaka , sikai nyumbani .
Nishakuwa mzoefu sasa .
Niliona pia unachukua maelezo jinsi ya kutumia bamia
Mwaka mgumu sana huu







Ehhh SI unajua ma jobless hatuna kwere.



Bamia ya mchongo haipo kwenye kitabu cha makungwi
Ya asali hii ndo moto!! Si umeona anavyong’ang’aniwa na Miongozo
Kapiga nyapu zote lkn bado anaiwaza ya Antonia tyuuu!!!



Siwezi kushare mie , napenda me time .Unakaa mwenyewe au ndio lakushare kama la akina Carasco Putin
Mi bado najaribu kusikiliza, huenda nikapata kitu.nshaisikiliza mara tatu, ilivotoka tu saa 8 usiku nilikua nayo
Mbona bado hujasamehe?Ndio!
😁😁😁Bamia ya mchongo haipo kwenye kitabu cha makungwi
Ya asali hii ndo moto!! Si umeona anavyong’ang’aniwa na Miongozo
Kapiga nyapu zote lkn bado anaiwaza ya Antonia tyuuu!!!
Umeanza kuvuta mi shisha eh🙄🤔Mmh huu undugu nina wasiwasi nao