National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,197
😬😬😬😬 ile nyama tamu sana.. ukipata mpishi anajua kui andaa.. utafaidi sana
😬😬😬😬 ile nyama tamu sana.. ukipata mpishi anajua kui andaa.. utafaidi sana
Ndo naisikiliza hapa🤒Ile ngoma ni 🔥🔥🔥🔥
haya jioni njema tajiri.
Shouzzzz mbna ubuyuu wa motoooo,Hapo si wamejipeleka wapate cha kuanzia shougaaa wanaona wakikukandia ndio watapata soko!
Cha kushangaza hadi ratiba zao za kuliwa unaambiwa kuanzia wa kuliwa Gym hadi wa kuachwa wamelala ndani badae ndio wanaenda makwao mxxxieeww!!




Oyaaaa we mzeee wa hall 5
haina kufeliiii.
Ni ngadu kwa ngaduu.





Kwa vile umefika nimehairisha kutoa vochaapambane na coca wake



mpe vocha, apunguze makasiriko.😅😅😅😅 nakula hili jiwe mdogo mdogoNdo naisikiliza hapa🤒
Sitakii ili unifungulie uzi kabisaa😅😅Kitoto chetu Mimi na wewe 😁😂🤣
Shouzzzz mbna ubuyuu wa motoooo,
Afu taarifa zake sina.



Watu wanaforce kukazwa hivi dyudyu zimekua adimu sana siku hizi???!!!!Duh!!Wacha weee!!!
Namna hiyo ndo tunataka sio mwanaume na pumbu zake mbili anaomba na kusubiri vocha kwa mwanaume mwenzie afu anajiita tajiri Mxxiewwww![]()
Ongezaaa sautiiiiiiWeee uduguuu sihitaji vouchaaa zamtu baba chanja anajiweza sana tu pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!! Hio sandakalawee iweke hapaaa afu Vocha za wengine hazinogiiii waache kuiga kunya kwa tembo!!
Kwanza mbona namie nilikuaga naweka vocha humu hilo jina la boss Lady unadhani lilitoka wapi???
Wakwendreeeee zao wakajipange upyaaa!!






Duh!!



mtoto wa kiume unasubiri maokoto ya mwanaume mwenzio kweli?? 











🤣🤣Aaahh jiraaaniiiii wee jiraniii🕺😂😂😂!! Unaseeeemaaaahh??🤣🤣🤣🤣!!
Ongeza sautiiiiiiiiiii pulllllllliiiiiiiiizzzzz 😂!
Kimtu chenyewe kinachosema jf ipo kiganjani ukikiona kinavyotia huruma, we ngoja nikuache nati zimelegea.





hicho kimtu ndo kinakutesa na kukunyima raha kwa miaka 3.