Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,756
- 39,397
Mimi single mama utawezana 😬😁😁😬😬😬😬 wewe mwenyewe ulinikataaga mchana kweupe... sasa nikajaribu wapi tena
Mimi single mama utawezana 😬😁😁😬😬😬😬 wewe mwenyewe ulinikataaga mchana kweupe... sasa nikajaribu wapi tena
😅😅😅 ndio mambo yangu hayoo.. nakupepnda wewe mtoto na baba wa mtotoMimi single mama utawezana 😬😁😁
nlishasahau kununua voucher, tarehe 11 nlikuwa na 70 GB. Kila mwezi naweka GB 120, ungekuwa karibu Free Wi-Fi inakuhusu, Plus nina internet yangu binafsi unlimited sema ni proxy kwenye smart TV na PlayStation inaleta shida lakini ku stream Movies na matumizi ya ujumla kwa internet iko 🔥🔥, nanunua hii kwa sababu inanisaidia kwenye Tv, Playstation na vitu vingine. Nipo Full tajiri.Wacha weee!!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Namna hiyo ndo tunataka sio mwanaume na pumbu zake mbili anaomba na kusubiri vocha kwa mwanaume mwenzie afu anajiita tajiri Mxxiewwww [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yuko na Jay z au??Forgot about Dre. 🔥
Hao wanaokitembeza hawawaoni wanamuona Antonnia tu afu mi niwachafue kwakipi cha maana kwanza??? Wana nini yaniii???
Mbona mtu mwenyewe alikua anakili kutema big g kwa karanga zakuonjeshwa!! Hebuuu waniwachee miee
Treinnnaah wanikomee kabisa kunihusisha sina muda nahuyo mtu wao mpaka nihangaike nae mie!
I mean no malice to nobodynlishasahau kununua voucher, tarehe 11 nlikuwa na 70 GB. Kila mwezi naweka GB 120, ungekuwa karibu Free Wi-Fi inakuhusu, Plus nina internet yangu binafsi unlimited sema ni proxy kwenye smart TV na PlayStation inaleta shida lakini ku stream Movies na matumizi ya ujumla kwa internet iko 🔥🔥, nanunua hii kwa sababu inanisaidia kwenye Tv, Playstation na vitu vingine. Nipo Full tajiri.
View attachment 2727614
Chitakii kuja kuambiwa unaomba sana vocha 😬😁😁😁😁😅😅😅 ndio mambo yangu hayoo.. nakupepnda wewe mtoto na baba wa mtoto
Aaahh jiraaaniiiii wee jiraniii🕺😂😂😂!! Unaseeeemaaaahh??🤣🤣🤣🤣!!Ukikataliwa au kukubaliwa jambo, siri yako
nlishasahau kununua voucher, tarehe 11 nlikuwa na 70 GB. Kila mwezi naweka GB 120, ungekuwa karibu Free Wi-Fi inakuhusu, Plus nina internet yangu binafsi unlimited sema ni proxy kwenye smart TV na PlayStation inaleta shida lakini ku stream Movies na matumizi ya ujumla kwa internet iko [emoji91][emoji91], nanunua hii kwa sababu inanisaidia kwenye Tv, Playstation na vitu vingine. Nipo Full tajiri.
View attachment 2727614
😅😅😅 acha ukorofi, naomba nyama kwanza basiChitakii kuja kuambiwa unaomba sana vocha 😬😁😁😁😁
Siku uki olewa, Nita kukumbuka 🤒😜
haya jioni njema tajiri.Jipigie makofi tajiri
Kwa hilo nusa maua yako [emoji253][emoji253][emoji253][emoji253]
Namkubali Drake Kwenye God's plann
Cheka tu tuongeze siku za kuishi jiranii selfika yamotroo sana hiii😂
😁😁😁😅😅😅 acha ukorofi, naomba nyama kwanza basi
Ukikataliwa au kukubaliwa jambo, siri yako
Ile ngoma ni 🔥🔥🔥🔥Namkubali Drake Kwenye God's plann
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu wee huogopiiii??Babu sitaki kumchosha leo, namuweka muda wetu maalumu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]