Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

mie sio Selfika, JF yote iko kiganjani kwangu, Mello na moderators wake wote wanafahamu hilooo.

JF hainisumbuii wala hainistuiiii.
Kimtu chenyewe kinachosema jf ipo kiganjani ukikiona kinavyotia huruma 🤣, we ngoja nikuache nati zimelegea.
 
Screenshot_2023_0824_203919.png
 
Tajiri kwa kweli, hata ukinyoa upara sitokusahau, sasa hio tunza kwanza nimalizie bundle langu. Lakini nashukuru sana kwa roho yako nzuri.
View attachment 2727591

Wacha weee!!!
Namna hiyo ndo tunataka sio mwanaume na pumbu zake mbili anaomba na kusubiri vocha kwa mwanaume mwenzie afu anajiita tajiri Mxxiewwww
 
mwaka juzi hio nilikua nakujenga hapa jukwaani uache kuliwa butthole huko halafu uwe unakuja kutupigia story zako hapa.

Mie si wa kukosa soko, we ukiniona utathibitisha hilo, sijafika 40 na sijafika 35, sasa huo utu uzima unaonipa sijui hizo ramli umepatia wapi.

Mtu anayenifahamu ni Post M-alone uje umuulize status yangu kijana. Pumbuvu.
nilikufurushaaa na hoja zako uchwaraaaaa, umekosa wa kuwajengaaa?
Kuliwa aliwe mwingine, mikitoo uisikilizie wee inahuuuuu????

Nasemejeee mateso na maumivu ni endelevuuu.
 
Weee uduguuu sihitaji vouchaaa zamtu baba chanja anajiweza sana tu pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!! Hio sandakalawee iweke hapaaa afu Vocha za wengine hazinogiiii waache kuiga kunya kwa tembo!!

Kwanza mbona namie nilikuaga naweka vocha humu hilo jina la boss Lady unadhani lilitoka wapi???

Wakwendreeeee zao wakajipange upyaaa!!

Woyoooooooo!!! Kumbe bosslady wa kugawa mivoucher
Hapa umefanya nikupende, sipendi mademu njaa wawe karibu yangu

maua yako hayo bosslady
 
nilikufurushaaa na hoja zako uchwaraaaaa, umekosa wa kuwajengaaa?
Kuliwa aliwe mwingine, mikitoo uisikilizie wee inahuuuuu????

Nasemejeee mateso na maumivu ni endelevuuu.

Huyu leo lala nae mpk akuamkie sio kwa tusi zito lile eti, “ Tako gumu km jiwe” usikubali udugu
 
Nyie hivi nini haswaaa!! Mbona wanawake tunapenda kujidhalilisha?? Unapigwa miti hovyo hovyo namna hiyo?? Khaaaaaa!!!!

Afu uzuri wa wanaume wa jf wakila papa lazima wahadithie duh!!!
Hao wanaokitembeza hawawaoni wanamuona Antonnia tu afu mi niwachafue kwakipi cha maana kwanza??? Wana nini yaniii???
Mbona mtu mwenyewe alikua anakili kutema big g kwa karanga zakuonjeshwa!! Hebuuu waniwachee miee
Treinnnaah wanikomee kabisa kunihusisha sina muda nahuyo mtu wao mpaka nihangaike nae mie!
 
Back
Top Bottom