Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

🔥🔥🔥🔥
Screenshot_20230824-211754.png
 
😅😅😅😅 sex watu wa humu Jf wachoyooo.. sana napambana na hali yangu tu
🤭wee, sema kweli? Nenda nasi taratibu....usiwe mkali....usikwazane na mtu.... wanawake tunatunza sana maneno moyoni....ni ngumu kumkubalia mtu ambaye kashawahi ninenea mabaya .......Afu punguza au acha kuingia selfika .....ingia hata habari mchanganyiko kule..... mwanaume hupaswi kujibishana na mwanamke hadharani.....nimeshtuka kidogo ila nikahisi huenda umeshindwa vumilia....usiingie huku selfika National Anthem ....plzzz
 
Lol Nataka Nikararee mnywanii hapa sikuhizi kuna usengeusenge sana!! Kama ipo mbali utanibles hata kesho mnyaniii akeee ubarikiwe sana!!
hahaha!
Tuishi humo huomo tu mnywani.

Tatizo binadamu wa sikuhizi Ni wabishi Sana kusikia na kuelewa.

Au nimuite aje atoe miongozo eh haha
 
Back
Top Bottom