Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 12,492
- 35,645
Kwema kabisa mkuu..
Jambo la kheri hilo
Kwema kabisa mkuu..
Kwakua nakuheshimu acha nikaushe.. alafu pia siwezi bishana na mwanamke.. acha nikupotezee.. Ila sijawai kukutongoza.. kama wewe ulianzaga niulizia details zangu kwa kina wigeleko.. na ukaanza kuja PM na njaa ya vocha nikaupea kama dada.. ukaja omba ya kusuka nikakupa kama dada.. nada bae ukaanza swaga tutumiane picha za utupu.. sasa jiangalie una akili, ila huzitumii unaendekeza uchawi tu.. shauri yako... 🫡🫡🫡🫡
Dah sikutegemea kumbe mkorofi hivi 😁😁haya nichukue unifunge mnyororo 😅😅 nikiponyoka hunipati tena 😅😅
😅😅😅 Namuheshimu sana huyu dada, sikuwai mvunjia heshima mwanamke yoyote humu JF ila hii kenge imeniingiza cha kike.. acha nikaushe.. wanawake ni mama zetu tuwalinde .. sema haka ka nyagi ka leo kakali sanaTobaaaaaaa
YESU RUDI JAMAN
Ofsa unanichekesha sana unavyomaliza na ' kivumbi leo'![]()





ofisa mhandamizi leo ni Kivumbi hapa😅😅😅😅 ulijua mie kondooo.. acha nikale bange yangu nirudi kummaliza mtuDah sikutegemea kumbe mkorofi hivi 😁😁
Zaidi ya kusema kidampa hana kipya, akasuuze tako lake.



nyie mie sitaki leoYaani moto wako wewe kiama ni wakutengwa na wengine 😁😁💯 😂🤣🤣😁
Namuheshimu sana huyu dada, sikuwai mvunjia heshima mwanamke yoyote humu JF ila hii kenge imeniingiza cha kike.. acha nikaushe.. wanawake ni mama zetu tuwalinde .. sema haka ka nyagi ka leo kakali sana
Ukifungua dirisha kuna VIBAKA
KIVUMBI LEO




Jf sio chakula acha Ban ziletwe, watu hawaogopi kufa tuje tuogope ban za jf.Kumbe ni hivyo hapa ban zitatembea maana kumbe wenye Jf yao wanazingua ngoja nikimbie🙆🏾♀️🏃🏿♀️🏃🏿♀️
hakika alikuwa mwana sana, alafu nilikuwa namuheshimu sana.. Ila sasa uchawi ni tatizo.. Poa acha nikaushe niendelee piga masanga yangu hapa.. badae akiendelea kunichawi narudi tenaNyie ni ndugu bana acheni hzo
Tuselfika tu
Kaka najua kuna mtu kaja PM kukutuliza, anyway jioni njema wakuu.hakika alikuwa mwana sana, alafu nilikuwa namuheshimu sana.. Ila sasa uchawi ni tatizo.. Poa acha nikaushe niendelee piga masanga yangu hapa.. badae akiendelea kunichawi narudi tena
hakika alikuwa mwana sana, alafu nilikuwa namuheshimu sana.. Ila sasa uchawi ni tatizo.. Poa acha nikaushe niendelee piga masanga yangu hapa.. badae akiendelea kunichawi narudi tena












Vua jipepee nayo![]()