Mie sinaga tabu namtu Humu jirani ukiona mimejibu jua imekua too much!! Watu wana fyokofyoko sana Humu wanataka kumpangia mtu kukoment humu!! Wao wakipapatuka wanapenda ufyanteeee !! Bange mbaya sana!
Mzee Big π₯π₯π₯π₯π₯.. unajua hip hop na majivuno ni pacha.. nimepata ujinga wote huo baada ya kuwa nasikiliza hip hop ngumu na nyagi π π π ..
Wee una wazimu eeehh???? Hivi wee kichwani zimo kweli???! Ulinitaka nikakukataa nini haya makasiriko yote kunani???
Hebu kwendraaa huko na nuksiii zako za kutongoza wadada wakikukataa unawatafutia kisirani Mbona Mie sina habari nawewe muda mrefu hizo chokochoko zako unanitafutia nini???
Acha kutafuta kiki humu sina muda nawewe kenge mzee wewe mmxxxxxieeewwww!!