YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
Uduguuu nimecheka sanaa,
Una nn na babu migambutiii??
Babu kanikwaza kusema kuna ajira atawapa wadada wa jf afu matokeo yake anawadhalilisha kwa kuwasema muonekano wao eti wabaya!!! Na pic anazirusha kwa member wa humu!!
Km huna ajira ya nini kusumbua mabinti wa watu??
Na nyie mnaotaka ajira kwa babu shauri zenu mnadhalilika niwaambie hivo!!! Mxxiewwww
Babu naingia kwenye novena ila jioni wewe ndio futari yangu mpk uache tabia yako mbovu ndio nitakupumzisha na ukileta fyoko mpdf wako naumwaga SHUBHAMIT


