YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
kwambaa ankolii wako kafanana na babu migambutiiii?? Wee huogopiiii???
Ankal kaja na pic yake, sijui kaikuta wapi??




kwambaa ankolii wako kafanana na babu migambutiiii?? Wee huogopiiii???




Relaaaaxxx bhanaa.Yaishe tu. Amani itawale
Ankal kaja na pic yake, sijui kaikuta wapi??![]()




wee huogopii kuyabanangaaa??.Pacha how's you, ulipata maelekezo yangu kutoka kwa Intellingence?
Mimi jirani sipendi..Sidhani kama Kuna mtu hapendi nyama hii Dunia
Ni vile tu bajeti hairuhusu
Kwanini aisee.
Mimi jirani sipendi..
Yaan wee achaa tyuuh.![]()


Sijui hata...labda sijapata mpishi mahiri..Kwanini aisee
wee huogopii kuyabanangaaa??




Wee mie niko town hapa Songea, yaan hata kesho saa 6 tyuuh niko makambako hapoo.Njoo tulewe ulanzi ukiwa unatoka Mbinga shuka makambako utanikuta nakusubiri![]()





Shetani mwenyewe simuogopi, ndo nimuogope yeye?!!
Sema babuu kwenye lile pdf kajipakulia minyama eti yeye kamla……..?!! Khaaaaaaa!!




kamla naniii?? Wee uduguuu bado uko na PDF?? ila JF bhanaWee mie niko town hapa Songea, yaan hata kesho saa 6 tyuuh niko makambako hapoo.
![]()




kamla naniii?? Wee uduguuu bado uko na PDF?? ila JF bhana




Uduguuu nimecheka sanaa,Njoo afu jmos tunalala Moro tunaenda kucheza walugulu band Florida afu tunamalizia star park
Jpili tunapanda mjini daslama tukakutane kitambaa cheupe na babu migambuti ndio maeneo yake ya kujidai, tumpelekee ulanzi kutoka ukinga






Hilo pdf nasubiri chugga man wamvuruge ofisini ashuke nalo dadeq![]()




wee usinambiee.Raha ya ugenini ufurahie😂🤣, ila uli misika Dr Lizzy .Wageni wanaokula kwao hawaoni tabu!😁
Na bado una penda michipsi na vikuku vya wiki 3🤣😂 Ms eyesHaswa, mimi napenda nyama aisee mpaka nyumbani wote wananijua😂