Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wee mie niko town hapa Songea, yaan hata kesho saa 6 tyuuh niko makambako hapoo.

Njoo afu jmos tunalala Moro tunaenda kucheza walugulu band Florida afu tunamalizia star park
Jpili tunapanda mjini daslama tukakutane kitambaa cheupe na babu migambuti ndio maeneo yake ya kujidai, tumpelekee ulanzi kutoka ukinga
 
Njoo afu jmos tunalala Moro tunaenda kucheza walugulu band Florida afu tunamalizia star park
Jpili tunapanda mjini daslama tukakutane kitambaa cheupe na babu migambuti ndio maeneo yake ya kujidai, tumpelekee ulanzi kutoka ukinga
Uduguuu nimecheka sanaa,
Una nn na babu migambutiii??
 
Back
Top Bottom