Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23] kwani ni nani?? Emu mtaje na id yake ya zamani au ndo kina mshamba na lile kundi lao lililotaka kukufurusha??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] I'd yake hii mpya, ila zamani jina lilikua ni hili hili, I'd yake ya zamani ilikua na jina hili pia.

Wee kikundi cha kina mshamba hakuna wa kunifurusha mie, sio wao hata kundi lao ambao wako mapapa hawaniwezi, sasa wao vidagaa wanifurushe mie, au wanatafuta umaarufu kupitia mie.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwali kigego umekosa soko, huna hata wa kukupigia mluzi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Eti "ptuuuuu!!!" Kidampaa tulizanaaa utateseka na mie milele yoteee.
Wacha nichekeee, toka nikufurushe na hoja zako uchwaraa unanijia kwa nywilaaa.

Weraaaaaaa weraaaaa, waleteeee waleteeeee.

Mie ndo coca, yuko m1 tyuuh JF. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mzazi wako nae anasema mbele ya rafiki zake huku akijivunia nina kijana., kijana mwenyewe yupo LG.
 
Back
Top Bottom