Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ptuuuuu!!!!
Mwali kigego umekosa soko, huna hata wa kukupigia mluzi,

Eti "ptuuuuu!!!" Kidampaa tulizanaaa utateseka na mie milele yoteee.
Wacha nichekeee, toka nikufurushe na hoja zako uchwaraa unanijia kwa nywilaaa.

Weraaaaaaa weraaaaa, waleteeee waleteeeee.

Mie ndo coca, yuko m1 tyuuh JF.
 
Ikifika zamu yako ya kulipuliwa uwe mpole
Wa kulipua mwenyewe, nili mlipua mie tena miaka 2 iliopita, muulize saint Anne akupe taarifa.

hana hamu na mie kabisaa.
Ananijia kwa tahadhari, analijua balaa langu.
 
Wa kulipua mwenyewe, nili mlipua mie tena miaka 2 iliopita, muulize saint Anne akupe taarifa.

hana hamu na mie kabisaa.
Ananijia kwa tahadhari, analijua balaa langu.
Usinambie?? Emu kumbushia enzi mlipue mpk pacha anayekazia 🤣🤣🤣
 
Usinambie?? Emu kumbushia enzi mlipue mpk pacha anayekazia
alitamka atanijia maeneo nayopendelea kuwepo sana, na atanipiga risasi, yaan ataniua kwa mikono yake mwenyewe.

Uduguuu kuja kumsoma kiundaniii, nilichokaaa
Eti anaandika "ptuuu" "mfyuuuh"
Sasa ana tofauti gan na mie?

Msago usio jikubaliiii, mie nihangaike nao wa nn??

Watu weuweeeee
 
alitamka atanijia maeneo nayopendelea kuwepo sana, na atanipiga risasi, yaan ataniua kwa mikono yake mwenyewe.

Uduguuu kuja kumsoma kiundaniii, nilichokaaa
Eti anaandika "ptuuu" "mfyuuuh"
Sasa ana tofauti gan na mie?

Msago usio jikubaliiii, mie nihangaike nao wa nn??

Watu weuweeeee

kwani ni nani?? Emu mtaje na id yake ya zamani au ndo kina mshamba na lile kundi lao lililotaka kukufurusha??
 
kwani ni nani?? Emu mtaje na id yake ya zamani au ndo kina mshamba na lile kundi lao lililotaka kukufurusha??
I'd yake hii mpya, ila zamani jina lilikua ni hili hili, I'd yake ya zamani ilikua na jina hili pia.

Wee kikundi cha kina mshamba hakuna wa kunifurusha mie, sio wao hata kundi lao ambao wako mapapa hawaniwezi, sasa wao vidagaa wanifurushe mie, au wanatafuta umaarufu kupitia mie.

 
Mwali kigego umekosa soko, huna hata wa kukupigia mluzi,

Eti "ptuuuuu!!!" Kidampaa tulizanaaa utateseka na mie milele yoteee.
Wacha nichekeee, toka nikufurushe na hoja zako uchwaraa unanijia kwa nywilaaa.

Weraaaaaaa weraaaaa, waleteeee waleteeeee.

Mie ndo coca, yuko m1 tyuuh JF.
Mzazi wako nae anasema mbele ya rafiki zake huku akijivunia nina kijana., kijana mwenyewe yupo LG.
 
Back
Top Bottom