Ms eyes
JF-Expert Member
- Feb 4, 2023
- 4,773
- 11,979
Yaishe tuš. Amani itawale[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila? Wee huogopiii??
Yaishe tuš. Amani itawale[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila? Wee huogopiii??
Unakijua kizibo cha spido kinavyoliaga kikichomolewa kwa pen?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwambaa ankolii wako kafanana na babu migambutiiii?? Wee huogopiiii???
Yaan wee achaa tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23]Sanaāa kitu kinashuka taratiiibuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Relaaaaxxx bhanaa.Yaishe tu[emoji4]. Amani itawale
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee huogopii kuyabanangaaa??Ankal kaja na pic yake, sijui kaikuta wapi?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
.Pacha how's you, ulipata maelekezo yangu kutoka kwa Intellingence?
Mimi jirani sipendi..Sidhani kama Kuna mtu hapendi nyama hii Dunia[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni vile tu bajeti hairuhusu
Kwanini aisee.
Mimi jirani sipendi..
Yaan wee achaa tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui hata...labda sijapata mpishi mahiri..Kwanini aisee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee huogopii kuyabanangaaa??
Wee mie niko town hapa Songea, yaan hata kesho saa 6 tyuuh niko makambako hapoo.Njoo tulewe ulanzi ukiwa unatoka Mbinga shuka makambako utanikuta nakusubiri [emoji481][emoji481]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kamla naniii?? Wee uduguuu bado uko na PDF?? ila JF bhanaShetani mwenyewe simuogopi, ndo nimuogope yeye?!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sema babuu kwenye lile pdf kajipakulia minyama eti yeye kamlaā¦ā¦..?!! Khaaaaaaa!!
Wee mie niko town hapa Songea, yaan hata kesho saa 6 tyuuh niko makambako hapoo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kamla naniii?? Wee uduguuu bado uko na PDF?? ila JF bhana
Uduguuu nimecheka sanaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Njoo afu jmos tunalala Moro tunaenda kucheza walugulu band Florida afu tunamalizia star park [emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Jpili tunapanda mjini daslama tukakutane kitambaa cheupe na babu migambuti ndio maeneo yake ya kujidai, tumpelekee ulanzi kutoka ukinga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee usinambiee.Hilo pdf nasubiri chugga man wamvuruge ofisini ashuke nalo dadeq [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]