National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,199
kigorini simuelewi kazidi ukorofiGari za nini hizo😀😃
kigorini simuelewi kazidi ukorofiGari za nini hizo😀😃
Inakufikia popote ulipoHuku na force tu, napenda sana kuishi Arusha😌. Kwahiyo napataje hiyo nyama?
Ngoja nikusaidie kuweka😕😒😒😒😒 ukidanganya nakuja post picha zako hapo 🤣🤣🤣
mtoto wa kike kujisitiri 🌹🌹🌹Ngoja nikusaidie kuweka😕View attachment 2726372
Za wachawi😁😁Gari za nini hizo😀😃
MashallaaahNgoja nikusaidie kuwekaView attachment 2726372
, binti kujisitirii😬😬Huu uzi nimeleft toka juzi 🏃🏿♀️🏃🏿♀️mtoto wa kike kujisitiri 🌹🌹🌹
mzuri sana we cha ukorofi
chukua maua ya dunia yote
Mi nili jua Uber au bolt😃🤣Za wachawi😁😁
Wakija kudai wanakuja kama gari zilivyo 😁😁Mi nili jua Uber au bolt😃🤣
Na mie na left sasa hivi nakuja ulipo 😅😅😅😅😬😬Huu uzi nimeleft toka juzi 🏃🏿♀️🏃🏿♀️
Ndo wali kufanya kigorii, mapigo ya moyo yatoke kuwa gospel Hadi ama piano 🤣😃😀🤔 NuzulatiWakija kudai wanakuja kama gari zilivyo 😁😁
Dah kigorii 😍😍, ubaki mstaarabu hivyo hivyo.Ngoja nikusaidie kuweka😕
Kuna mtu hapendi nyama hiviKumbe na wewe ni meat lover?
Nipo naupiga mwingi kama Mama.Inakufikia popote ulipo
Ngoja nimuite mdogo wangu Saint Anne aje hapa umpe address atakufikishia ulipo
Mwambie tu unataka nyama ya kuku? Ng'ombe? Mbuzi au nyama gani??
Kaiba nini tena😂?Usijali pacha wangu.. huyo ni mwizi sana kaleta maagizo na kaniibia vitu, nina msaka kwa udi na uvumba
Nataka mbuzi choma na ndizi tajiri😌Inakufikia popote ulipo
Ngoja nimuite mdogo wangu Saint Anne aje hapa umpe address atakufikishia ulipo
Mwambie tu unataka nyama ya kuku? Ng'ombe? Mbuzi au nyama gani??
NakaziaKuna mtu hapendi nyama hivi
Ama ni shida tu za dunia
Hapo kwenye kumuita tajiri unaharibu.Nataka mbuzi choma na ndizi tajiri![]()
Sidhani kama Kuna mtu hapendi nyama hii DuniaNakazia



😂😂😂 sawa asante kwa kunielewesha.Hapo kwenye kumuita tajiri unaharibu.
Mwite tu mzungu wa roho,
Anatoa si kama ni tajiri,Bali ni wema tu.
Mimi mtu akiniomba kitu,kabla sijampa akaniita tajiri,naghairi.