Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ptuuuuu!!!!
Mwali kigego umekosa soko, huna hata wa kukupigia mluzi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Eti "ptuuuuu!!!" Kidampaa tulizanaaa utateseka na mie milele yoteee.
Wacha nichekeee, toka nikufurushe na hoja zako uchwaraa unanijia kwa nywilaaa.

Weraaaaaaa weraaaaa, waleteeee waleteeeee.

Mie ndo coca, yuko m1 tyuuh JF. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ikifika zamu yako ya kulipuliwa uwe mpole [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wa kulipua mwenyewe, nili mlipua mie tena miaka 2 iliopita, muulize saint Anne akupe taarifa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hana hamu na mie kabisaa.
Ananijia kwa tahadhari, analijua balaa langu.
 
Wa kulipua mwenyewe, nili mlipua mie tena miaka 2 iliopita, muulize saint Anne akupe taarifa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hana hamu na mie kabisaa.
Ananijia kwa tahadhari, analijua balaa langu.
Usinambie?? Emu kumbushia enzi mlipue mpk pacha anayekazia 🤣🤣🤣
 
Usinambie?? Emu kumbushia enzi mlipue mpk pacha anayekazia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alitamka atanijia maeneo nayopendelea kuwepo sana, na atanipiga risasi, yaan ataniua kwa mikono yake mwenyewe.

Uduguuu kuja kumsoma kiundaniii, nilichokaaa
Eti anaandika "ptuuu" "mfyuuuh"
Sasa ana tofauti gan na mie? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Msago usio jikubaliiii, mie nihangaike nao wa nn??

Watu weuweeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alitamka atanijia maeneo nayopendelea kuwepo sana, na atanipiga risasi, yaan ataniua kwa mikono yake mwenyewe.

Uduguuu kuja kumsoma kiundaniii, nilichokaaa
Eti anaandika "ptuuu" "mfyuuuh"
Sasa ana tofauti gan na mie? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Msago usio jikubaliiii, mie nihangaike nao wa nn??

Watu weuweeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23] kwani ni nani?? Emu mtaje na id yake ya zamani au ndo kina mshamba na lile kundi lao lililotaka kukufurusha??
 
Back
Top Bottom