Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Jf ina watu achaaa kabisa ila kuna siku nitailetea uzi hii story ya member wa jf bila kumtaja, watu wajifunze na wacheke mana lazima nimsimulie alivyo km mzungu wa kigamboni
uduguuu hebu weka huo uzi leo, unataka nikaukee koo kwa kuuhamu huo ubuyuuu??
 
Ndio hao wanaume kama mabinti? Niwekee list yao hapa wote, siku nikitoka nimevurugwa nakuja kumalizia stress kwao

Please, list majina yao hapa wote. Huu ujinga wa wanaume kuwa kama wanawake huwa unanikera sana.

Nilipanga nisiwe naingiaingia tena huku jf naona hakuna sana issues za maana, lakini hawa naomba wawe wa mwisho mimi kuhangaika nao
shem hebu sema kweli,
 
Napita kwa kunyata😎😎😎
cheki wabebe hawa 😅😅😅
Screenshot_20230822-082854.png
Screenshot_20230822-083525.png


Intelligent businessman
 
Ko wewe unataka kwanza wakuvuruge wengine hasira umalizie kwa wengine?? Hii kali huoni km ni dhambi?? Hapa tunakanyana huo unaoleta wewe ugomvi!!!
Kwanza ushapima?? Mana kwenye ile list kuna magonjwa sugu yapo
kaswende na kisonono sijaonaa mbna.
Sijapentaaaaa
 
😅😅😅 Mambo haya nimewaachia, kuna wapuuzi wengi humu wasio weza ku reason. Ukija mahakani nakutupa dk ya 0.. nina screenshot za kutosha ( folder zima ). Ukicheza na fisi unaonekana na wewe fisi ujue
Mjomba achana nao code zishafunguka mchawi kashajulikana tunacheka nae tu hapahapa anatuchora tu 😂😂😂 tunza folder hizo nywea maji maisha yaendelee
 
Back
Top Bottom