[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariiiii tupuuuu.Kwanza mi dizain ya wanaume wanaochekacheka kupitiliza nakila mwanamke humu mi nawawezeaa wapiii????[emoji706][emoji706][emoji706][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]!
Huo moyoo sinaga kiukweli!! [emoji119][emoji119][emoji119]
! wee babu Sitrakii kabisa hio tabia ya kuwasambazia huu uongo!
Nipo napambana nahare yanguuu hukuuu nishakomaga muda sana!!
Afu Hizi habari nilishaambiwaga nikamuuliza mtu fulani Hum!!
Aisee hiyo fanya iwe faster, hapa hadi mwili umesisimka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ntakuganda hutaamini macho yako
got you Mkuu.Wala mm sio source bro, ni mambo mengine. Issue ilikua ni umbea, wakawa wanatafutwa wambea, ndio umeona yamekuja yote hayo
Niitieee Bantu Lady tafadhariiiiii, naombaaa na yeye aje hapaaaa achangieee nenooo.
Sasa ndo kumekuchaaaa rasmiiiii, woyoooooooo
Kataaaaaa UNAFIKIIIIIIII.
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Ila ulianza wewe jamani sema bhanaMimi mwenyewe nimedandia gari kwa mbele Kama wewe tu mkuu.
Ngoja tuone Cute Wife akilewa Kama atasema
Ongezaaaa sautiiiii shouzzzzzzzz, ndo nimeingia sasa na mabegi nishatua. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yanii humuuu kuna matatizo makubwa sana!!
Mfano yale mambo ya penseli eti mie ndio namtuma awanange kuhusu jamaaa mtu tulishaachana miaka nenda rudi akawa na list ya wanawake kibaoo humu hata jf seva shahidi Mtu nishamove on na maisha Yangu nae anaendelea zangu kuselfika zanguu kwaraha zangu mieee [emoji1783][emoji1783][emoji23][emoji23] na life lake huko Kwamba hadi leo namtuma Penseli kwao what for???????? Namuogopa nani labda???? Namuogopa nani labda???
Ili nipate nini yani??? Mbona habari wanazijua Wengi humu na hakuna asiejua Kwanini nimtume Penseli????
Nazile dislikes jf nzima nilikua namtuma??? Mbona watu kibaoo humu wanaropoka ropoka tu kama vichaa na kuvamia na hamsemi wanatumwa nanani nyieee msiniletee bange zenuu tasavaliii!!!
Kwahio Na hao ambao hadi wananitag nao wanetumwa nahao???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] weraaaaaa weraaaaaaYaani ni mambo ya ajabu kuna pdf nilitumiwa ni aibu watu wanatafutiwa kazi humu afu wakienda wanaunda convo wanaanza kusimulia jinsi walivyo wabaya sijui vifupi!!!
Yaani mpk unajiuliza hivi mwanaume mwenye akili timamu anaweza kufanya hivi?? Tena ukimuona umri umeenda kabisa na hilo nitalileta ngoja nitoke nilipo nirudi home nikawanywee nilishushe hapa leo wote wasutwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] picha hazifungukii kwangu sioniii. Mbna napitwwaaa hapaa. LolSaint Anne come this way unaitwaaa[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1783][emoji1783][emoji1783]!! Kumbee nawewe mnaa au nimesoma vibaya???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1783][emoji1783]!!
Huyo dogo kaharibu kila kitu ile kuachana imekaa kikuda sana
Hata Kama mnakulana kiukweli Mimi sioni shida pia.Afu mwamba kwenye chati kamtaja countrywide km ninavyomtaja mwenyewe kwa pozi “Kantri” nyie mambo haya [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kantri me sio mtu wangu wala nini ni chit chat tyuu hizi tunasogeza masaa yaende, wanaotaka kuruka naye wao wawe huru na kishmundu zote nimewapaaaa!!!
Naomba kuelewa tuKazi ipo
Shida wengi humu mafriji hayagandishi
Shouzzzzz ndo nakujaa sahiviiiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wee babu Afu mbona habari zako kukuhusu humu zipo nyingi sana ujue naona wameamua kutuchafua sisi tu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]!!
Sema Nakuheshimu sana babu yangu najua panapo wazee hakukosekani busara!!
Barikiwa sana babuu yetruuuu[emoji1783][emoji1783][emoji16][emoji16]!!
cocastic shougaaangu unapitwaaa hukuu sitaki kusutwa mimi njoo ujionee majengeakaaa [emoji1787][emoji1787][emoji2960]!
Maelezo nimeyatoa sana, unajua sijui nisemaje labda wao kina depal na darlin waseme kama tunajuana.Maelezo yako hayaeleweki kifupi una kesi ya kujibu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee mgenii na selfika huijuii, tuulize wakongwee tukupe in4, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii story ipo upande mmoja ndiomana inachanganya ilitakiwa huyu kipenseli kilichokosa ufutio kije kikamilishe chat zilizomiss na jina la mwenzie waliyekuwa wanachat wote!! Hapo tutampata mchawi vinginevyo ni vikundi vya watu vimeamua kuharibu kwa Penseli afu wamevutia kwao
Sio hazigandishi tu ni waongo wachonganishi wanaume kama waanwake na wanawake wamechoka hawana kazi wamebaki kuwapigia wenzao majungu TuHata Kama mnakulana kiukweli Mimi sioni shida pia.
Unajua unapomfata mtu! Kwa mfano Mimi nikikufuata wewe pm Ni ta deal na yangu tu Huyo cantry hutamskia kwenye mdomo wangu Wala maandishi yangu.
Sasa nahisi shida zinaanzia Mimi na kutaka wewe then namkandia jamaa na sijui level ya undungu na mahusiono yenu.
Na kikubwa kabisa friji ziwana jf hazigandishi hili ndilo nililoliona pakubwa
Huo ni uongo bro, watongozaji wengi huishia kuniponda huko walivyo wajinga.Hata Kama mnakulana kiukweli Mimi sioni shida pia.
Unajua unapomfata mtu! Kwa mfano Mimi nikikufuata wewe pm Ni ta deal na yangu tu Huyo cantry hutamskia kwenye mdomo wangu Wala maandishi yangu.
Sasa nahisi shida zinaanzia Mimi na kutaka wewe then namkandia jamaa na sijui level ya undungu na mahusiono yenu.
Na kikubwa kabisa friji za wana jf hazigandishi hili ndilo nililoliona pakubwa