Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hizo habari za uongo anazosambaza hapa ili tu kutafuta attention yawatu humu!! Mbona hajataja hao mmoja baada ya mwingine kataja za wachache tu???
Mie mwenzio hata sielewi hapa naona mapicha picha😬
 
😅😅😅 watu hawajui wapo kwenye mkeka gani.. kama enzi zile shule tokea wanashusha kidogo kidogo kama hii sasa
Naomba usinihusishe na upuuzi wenu pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!
Tangu fyokofyoko zianze Humu umeona nimekutag sehemu???? Au hata kukuquote tu???? Acha quote hata like tu umeona hata kimojawapo toka Kwangu???? Hio amani utadhani itarudi kwahuu unafiki unaoufanya hapa???

Pulllllllliiiiiiiiizzzzz leave me alone sitaki ugomvi nawewe sikutag wala sikuquote popote so kufa kwa amani tasavaliii 👐👐👐👐👐👐🙌🙌🙌🙌🙌🙌!
!
 
Pandisha mm Nina wachumba 4 na wakewenza2 alafu siwajui pandisha niwajue angalau 😂😂😂
Aunt mkeka unapanda sasa hivi kaa mkao wa kula
Yaani kama haupo kwenye huu mkeka basi ukatambikie mizimu wallah🤣🤣
 
Nimecheka
Nashindwa kuendelea kusoma

Ngoja nicheke kwanza


Halafu nipo kwenye daladala
Dhambi hizi 🤣🤣🤣🤣🤣
Hadi machozi yananitoka
😅😅😅 nina ma file hapa.. naangalia nani ni nani.. . nachagua tu niachie page ipi. kama loan oficer anapo amuwa kutoa mtonyo au achelewe kidogo
 
Mkeka huo..
Hii PDF ni ndeeefu
Hakikisha unaisoma vizuri
Selfika snap it..... show it......
 

Attachments

  • 20230821_164822.jpg
    20230821_164822.jpg
    287.8 KB · Views: 3
  • 20230821_164741.jpg
    20230821_164741.jpg
    198.8 KB · Views: 4
  • 20230821_164548.jpg
    20230821_164548.jpg
    347.9 KB · Views: 4
Aunt mkeka unapanda sasa hivi kaa mkao wa kula
Yaani kama haupo kwenye huu mkeka basi ukatambikie mizimu wallah🤣🤣
😂😂Katika page kumi zangu page 6 pekeyangu ilo uhakika 😂😂
 
Back
Top Bottom