Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,840
- 57,484
Hawa Vijana wanataka niwape razi, yaani hawana adabu kabisa
Hawa Vijana wanataka niwape razi, yaani hawana adabu kabisa
Huijaiona tu boss lady pitia mkeka umeshapands hapo juu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂! Nasubiria list yakoor vouchaaa 😂😂😂😁😁!!
Hii ndio Kali kuliko kumbe hata Tz Haupo ila nyie watu Wana dhambi 😂😂😂Daah nina miaka sipo Tz nafanyaje haya mambo, unajua watu wanashindwa kunielewa uwa nafanya utani sana hapa wao wanachukulia serious!😮💨
Wasamehe tu babuHawa Vijana wanataka niwape razi, yaani hawana adabu kabisa
😂😂😂Mji mzito huu
mbona unaniingiza mimi wakati sipo![]()
Naona Vijana wanaleta hadithi za abunuasi, hayo mambo Wazee hatuna kabisa.Tena nimesikia umesifiwa kwa kusimamia ukucha babuuuu nikupe hongeraa tyuuuu sa nifanyeje???
Babuu kama ndio mnaambizana na wajukuu zako huko mnikome mieee jf Nishashindwagaa kitrambo sanaa so pulllllllliiiiiiiiizzzzz!!🙌🙌🙌🙌🙌!!
Hapa uwa naingia kurefresh tu nimeshaita "babe" watu kibao hapa na wala hatujuani😅Hii ndio Kali kuliko kumbe hata Tz Haupo ila nyie watu Wana dhambi 😂😂😂
Kwanza mi dizain ya wanaume wanaochekacheka kupitiliza nakila mwanamke humu mi nawawezeaa wapiii????🚮🚮🚮😏😏😏😏😏!Wote tunajua sisi Wazee Jogoo huwika kwa mwaka mara moja tu, sasa hao mabinti mnataka tuwe nao kwa kazi gani?
Mabinti na vigori ni kwaajili ya Vijana tu,
Huo ni mtazamo wetu Sisi Wazee
Mmmh mbona kama kuna ukweli😁😁😁🏃🏿♀️🏃🏿♀️Tena nimesikia umesifiwa kwa kusimamia ukucha babuuuu nikupe hongeraa tyuuuu sa nifanyeje???
Babuu kama ndio mnaambizana na wajukuu zako huko mnikome mieee jf Nishashindwagaa kitrambo sanaa so pulllllllliiiiiiiiizzzzz!!🙌🙌🙌🙌🙌!!
Daah nina miaka sipo Tz nafanyaje haya mambo, unajua watu wanashindwa kunielewa uwa nafanya utani sana hapa wao wanachukulia serious!
![]()






HIi kali nimepita hadi na wewe na hujui
Kwakweli hilo pdf abaki nalo tu![]()
Doh kama kwa bluetooth sawa😅
Bluetooth is ready to pair, connected successfully.
Shwaaaaaa mnamalizana![]()
Mafile yanatoka taratibu kabisaaa😀😀Mmmh mbona kama kuna ukweli😁😁😁🏃🏿♀️🏃🏿♀️
Shoga angu leo toa yote ya moyoni maana wamezidi kukuonea😁😁Kwanza mi dizain ya wanaume wanaochekacheka kupitiliza nakila mwanamke humu mi nawawezeaa wapiii????🚮🚮🚮😏😏😏😏😏!
Alooooooohh 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌!! wee babu Sitrakii kabisa hio tabia ya kuwasambazia huu uongo!
Nipo napambana nahare yanguuu hukuuu nishakomaga muda sana!!
Afu Hizi habari nilishaambiwaga nikamuuliza mtu fulani Hum!!
! Nasubiria list yakoor vouchaaa
!!
sio kweliUpo wewe mlete Penseli lazima atamtaja waliokua wanachat naye tu
Hiii ni serious issue hawa watu hawana kazi za kufanya😅Hapa najiuliza tulipitiana wapi?? Sema me hawanidumbui nishajua ni vikundi vya wapumbavu wachache waliokosa kazi za kufanya, wameshiba wanawaza ngono tyuuu