Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tena nimesikia umesifiwa kwa kusimamia ukucha babuuuu nikupe hongeraa tyuuuu sa nifanyeje???

Babuu kama ndio mnaambizana na wajukuu zako huko mnikome mieee jf Nishashindwagaa kitrambo sanaa so pulllllllliiiiiiiiizzzzz!!🙌🙌🙌🙌🙌!!
Naona Vijana wanaleta hadithi za abunuasi, hayo mambo Wazee hatuna kabisa.

Kwanza umri huu unakuwa unatafuta nini kama sio kutafuta aibu tu

Bahati mbaya sina mtu nawasiliana naye Nje ya JF, kwahiyo mambo mengi hapa nina uhakika ni Uzushi tupu
 
Wote tunajua sisi Wazee Jogoo huwika kwa mwaka mara moja tu, sasa hao mabinti mnataka tuwe nao kwa kazi gani?

Mabinti na vigori ni kwaajili ya Vijana tu,

Huo ni mtazamo wetu Sisi Wazee
Kwanza mi dizain ya wanaume wanaochekacheka kupitiliza nakila mwanamke humu mi nawawezeaa wapiii????🚮🚮🚮😏😏😏😏😏!
Huo moyoo sinaga kiukweli!! 🙌🙌🙌
! wee babu Sitrakii kabisa hio tabia ya kuwasambazia huu uongo!

Nipo napambana nahare yanguuu hukuuu nishakomaga muda sana!!
Afu Hizi habari nilishaambiwaga nikamuuliza mtu fulani Hum!!
 
Tena nimesikia umesifiwa kwa kusimamia ukucha babuuuu nikupe hongeraa tyuuuu sa nifanyeje???

Babuu kama ndio mnaambizana na wajukuu zako huko mnikome mieee jf Nishashindwagaa kitrambo sanaa so pulllllllliiiiiiiiizzzzz!!🙌🙌🙌🙌🙌!!
Mmmh mbona kama kuna ukweli😁😁😁🏃🏿‍♀️🏃🏿‍♀️
 
" Huyu kapewa gono, yule anaumwa figo, yule ni single mother, fulani ana ngoma kamuambukiza fulani, yule kaliwa sana mwisho kachukuliwa na fulani, wanawake fulani ni low class..."

Hayo ni maneno ambayo huwezi kusema yanashangaza kwa mtu yoyote mwenye akili timamu, ila yanapozungumzwa na jinsia ya KIUME tena katika namna fulani ya kimbeambea, inatia mashaka kidogo. Katika hali ya kawaida mwanaume unaumiaje mwanamke akitongozwa, mbona ni issue za kawaida sana aiseeh..? Fulani analiwa sana/kaliwa sana, mbona sioni chochote cha ajabu kiumeni?

Sijawahi kuvutiwa kutaka kumfahamu vizuri huyu PENSELI, ila sasa napata wasiwasi juu ya Manhood yake.

Dogo Penseli 4 jirekebishe, kama kuna wanaokutia moyo kwenye hizo harakati zako ujue kabisa wanakupoteza.
 
Kwanza mi dizain ya wanaume wanaochekacheka kupitiliza nakila mwanamke humu mi nawawezeaa wapiii????🚮🚮🚮😏😏😏😏😏!

Alooooooohh 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌!! wee babu Sitrakii kabisa hio tabia ya kuwasambazia huu uongo!

Nipo napambana nahare yanguuu hukuuu nishakomaga muda sana!!
Afu Hizi habari nilishaambiwaga nikamuuliza mtu fulani Hum!!
Shoga angu leo toa yote ya moyoni maana wamezidi kukuonea😁😁
 
Back
Top Bottom