Selfika na JF: Snap it. Show it

limekukuta jambo, acha upashkuna na ufukunyuku, ndo umetajwaa wee ndumila kuwilii.
 
Anaogopa kuyakabili haya lkn analea ujinga me nimemwambia nalewa yeye akazane kusali!!

Sasa kuna hili la watu kuliwa kwa laki mpk ushahidi upo yani. Huko grand villa game imepigwa sema muhusika wa hii issue simpendi MBAYA MBAYA MBAYA nitampa kiki tu
Hii nchi hii πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hahahahahaha,dah
 
Uduguuuu case inapindishwaaa, nilijua tyuuh wahusika lazima waepushweee, epuka kutapeliwa unapigwa changa LA macho.

JF ni pori sio kichakaa tenaaa.
 
Mchuchu mbona Kantri?? Me maokoto mbuzi ya kuniweka town ninayo!! Ya kulewa jmos had jmos zipoo nina kaduka kangu njaa leo nimetoka kufunga hesabu
View attachment 2724456
Hii Vita Ni kubwa Sana hahaha.

No sijamtaja kwa ubaya ur country!
Nilikua naamaanisha Ni mmoja ya source pia mpaka mmefikia huku kwenye level za kuzalilishana.

Maokoto hakika yanavutia mchuchu keep it up.
 
Hii Vita unayoiona kwani source Ni nini mkuu.
Unajua wanaume wahumu shida yao ni moja hawajatulia na wanataka watu wapya kila siku na huku wao kama wao wameshaagiana na mwingine kuwa niyeye tu but sasa anakuwa hakidhi malengo yale aliyosema atafanya basi anaendelea kuwapanga na wanajuana galfa tu so lazima wazikunje na wate wameshatoa mzigo walahi
 
Hii Vita Ni kubwa Sana hahaha.

No sijamtaja kwa ubaya ur country!
Nilikua naamaanisha Ni mmoja ya source pia mpaka mmefikia huku kwenye level za kuzalilishana.

Maokoto hakika yanavutia mchuchu keep it up.
Wala mm sio source bro, ni mambo mengine. Issue ilikua ni umbea, wakawa wanatafutwa wambea, ndio umeona yamekuja yote hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…