๐๐๐Tupate Tangazo kutoka kwa wadhamini wetu๐คจView attachment 2724341
Waaapiii Deeeeeeeeejjjjjjjjayyyy ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐ค ๐ค ๐ค !!Nilikosa usingiz nilikuwa nawaza sijawahi mkwaza nimegundua Kuna nilichomzidi ananionea wivu ๐ kama sijamzidi aje pm aniambie amenizidi nn ๐๐๐๐ tatizo nyotraaa
๐๐huna nyota nyeusi๐Waaapiii Deeeeeeeeejjjjjjjjayyyy ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐ค ๐ค ๐ค !!
Yani humu watu wana matatizo makubwa!!
Mfano watu kibao wana ex zao na wanachat na kuongea nao vizuri humu!! Antonnia nithubutu kufanya hivo hata kwa kujaribu tu Alooooooohh usiku utakuta uziiii wamerudianaaa jamani !!
Files are everywhere wapendwa nadhani hakuna ambae hana files humuuuuu!
Nimekaa paleeee ๐๐๐๐๐๐!!
ngoja nitafute kama kuna file lako๐For real, nimeshindwa kuelewa mnapataje hizo PDF na mimi nijionee.
Hvi hujui leo wewe nikuku wetu mtamu yammy goody nimeandaa kachumbari tunakukula aliveOyaaa Nime umia Sana๐, hivi hamna aliye pewa mtambo was mirembe Unique Flower ๐๐คฃ
๐ Nuzulati, Aaliyyah hamja sikia๐คฃ๐ huko๐ค
Tena wewe best mpaka najiuliza ile chuki kwako ni sababu ya au kuna mengine kutoka na mtu jf yataka moyo mimi nilishindwaa aisee๐คจWaaapiii Deeeeeeeeejjjjjjjjayyyy ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐ค ๐ค ๐ค !!
Yani humu watu wana matatizo makubwa!!
Mfano watu kibao wana ex zao na wanachat na kuongea nao vizuri humu!! Antonnia nithubutu kufanya hivo hata kwa kujaribu tu Alooooooohh usiku utakuta uziiii wamerudianaaa jamani !!
Files are everywhere wapendwa nadhani hakuna ambae hana files humuuuuu!
Nimekaa paleeee ๐๐๐๐๐๐!!
Ni kweli hana kitu sasa labda nichukue vitu vya ndani maana ngozi yake ni mbaya siunajua ameungua na jua sana huku akisaka mademu๐ ๐ ๐ ๐ ubongo wake mbona hauna kitu
Nashangaa ๐ ๐ ๐Nimekuona
๐ ๐ ๐ ๐ .. vipi leo tunapaa kuelekea wapiNi kweli hana kitu sasa labda nichukue vitu vya ndani maana ngozi yake ni mbaya siunajua ameungua na jua sana huku akisaka mademu
Mafushooo mdogo wangu nitafutie mafushooooo imekua too much!!๐๐huna nyota nyeusi๐
Shangaaa nawewe dear!!Tena wewe best mpaka najiuliza ile chuki kwako ni sababu ya au kuna mengine kutoka na mtu jf yataka moyo mimi nilishindwaa aisee๐คจ
Jamanialafu nipo busy kupeluzi files tu hapa.. naweka ushahidi amba upo huko.. naanza shambuliwa..uzuri haya nayoweka ni kile ambacho kina umiza wengi.. hao waliopakaziwa figo ngoma ect mbona hawaruki ruki kama maharage.. kumjua mchawi rahisi sana..
Wakuache upumue kipenzi ๐Shangaaa nawewe dear!!
Ule msururu wote naeonekana ni mimi tu????? Eti Kwamba Mie bado namng'ang'ania bado nampenda bwahahahahahahahahah!!
Ebu ncheke kwanzaaa ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คญ๐คญ!!
Hebuu msinitafutie matatizo mie make nishaonekana mie ndio namuongelea negatives humu wakati kutwa kunihusisha nae list ipo kubwa husisheni na Wengine pulllllllliiiiiiiiizzzzz๐๐๐๐!
Mie hata sijareee yaniii ndio kwanzaaaaa๐บ๐บ๐บ๐บ๐คธ๐คธ!!Wakuache upumue kipenzi ๐
Mie hata sijareee yaniii ndio kwanzaaaaa!!
Nipo nimekaa paleeee!!
Ngoja niwajibike hapaaaa panapo majaaliwa Kesho wapendwaaa!!
Wakuache upumue kipenzi
Selfika mlongoHapa
Kazi mnayo kwakweli,
Kazi mnayo,,,,,,,,watu mafriji yenu hayagandishi.
Niwe na mubebez humu afu nitaniane taniane nae wazi hivi kama navokutania babu nimerogwa????
Waje waniibie humu wasivo na dogo???? thubutruuuuuuu!!!
Sitorudia trena huo ujinga wa mahusiano humukwanza napambana nahare yanguuu tyuuu nina furaha saiiii hekaheka zenyuuuu!!