Selfika na JF: Snap it. Show it

Nilikosa usingiz nilikuwa nawaza sijawahi mkwaza nimegundua Kuna nilichomzidi ananionea wivu ๐Ÿ˜€ kama sijamzidi aje pm aniambie amenizidi nn ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ tatizo nyotraaa
Waaapiii Deeeeeeeeejjjjjjjjayyyy ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿค ๐Ÿค ๐Ÿค !!

Yani humu watu wana matatizo makubwa!!

Mfano watu kibao wana ex zao na wanachat na kuongea nao vizuri humu!! Antonnia nithubutu kufanya hivo hata kwa kujaribu tu Alooooooohh usiku utakuta uziiii wamerudianaaa jamani !!

Files are everywhere wapendwa nadhani hakuna ambae hana files humuuuuu!


Nimekaa paleeee ๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰๐Ÿ™‡๐Ÿ™‡๐Ÿ™‡๐Ÿ™‡!!
 
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€huna nyota nyeusi๐Ÿ˜‚
 
Tena wewe best mpaka najiuliza ile chuki kwako ni sababu ya au kuna mengine kutoka na mtu jf yataka moyo mimi nilishindwaa aisee๐Ÿคจ
 
Tena wewe best mpaka najiuliza ile chuki kwako ni sababu ya au kuna mengine kutoka na mtu jf yataka moyo mimi nilishindwaa aisee๐Ÿคจ
Shangaaa nawewe dear!!
Ule msururu wote naeonekana ni mimi tu????? Eti Kwamba Mie bado namng'ang'ania bado nampenda bwahahahahahahahahah!!
Ebu ncheke kwanzaaa ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคญ๐Ÿคญ!!

Hebuu msinitafutie matatizo mie make nishaonekana mie ndio namuongelea negatives humu wakati kutwa kunihusisha nae list ipo kubwa husisheni na Wengine pulllllllliiiiiiiiizzzzz๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ!
 
Jamani
 
Wakuache upumue kipenzi ๐Ÿ˜
 

Ko walikuibia humu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ