Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,223
Ahaa kumbe nimesoma vibayaaaa doh mawenge hayaaa!🤠🤠🤠😂😂😂🤣🤣🤣!!Heee
Mimi tena?
Wapi tena huko nimetajwa!?![]()
Nipo nimekaa paleeee 👉😁
Ahaa kumbe nimesoma vibayaaaa doh mawenge hayaaa!🤠🤠🤠😂😂😂🤣🤣🤣!!Heee
Mimi tena?
Wapi tena huko nimetajwa!?![]()
Au uli salimia kwa I'd nyingine 😁🏃🏃Alipigwa ban kwa uwongo maana nilimwambia aweke hata pm namsalimia mambo huko pm😁
nibembelezeni tuuu 😅😅😅Hhahahahah boss, weka tafadhali watu watoe yao ya moyoni.
😂😂😂Una kaugonjwa ka aina gani hapo?mana nahitaji kapya😅
Dogo uli Nipa hints zipi kwa jumba🤔😁kunguru tena 😅😅😅😅 mbona unanichanga na mie tena
Nitakuletea dawa ticha wangu usijali wala nini..😅😂😂😂
Nina kangoma bana, huko ulipo hakuna dawa kweli
Angeweka hata hiyo wote niliowahi chat nao pm ni kwa hii na nilimpa ruhusa aweke huo muombo huko pm😁😁Au uli salimia kwa I'd nyingine 😁🏃🏃
Sawasawa 👍 👍Wangekuwa busy na shughuli za shamba kama Babu yao hapa wasingekuwa na muda wa kuzushia watu mambo mazito hivyo.
😁😁😁nibembelezeni tuuu 😅😅😅
Tunakuja kuondoa stress, sio kuongeza 🤣Hapa jf nipo kurelax na ndio lengo langu kama upo makini huwezi kunikuta kwenye mada serious. Hata hii watu kunifikiria tofauti ni furaha kwangu😅
Si unajua navyoku save unapata pisi kali humu ndani😂😂😂Nitakuletea dawa ticha wangu usijali wala nini..😅
Kwahiyo ulitaka kuamini kabisa kuwa hazitanifikia.? Zilifika zote.Nachokishangaa ni wewe kupata taarifa. Kaka ulifatwa Pm au?![]()
Nani alikufata?
Hizo shots mbona mmoja kajisiliba asionekane? Ni nani?
Mpuuzi apuuzwe tu.
.Hivi na umri huu nifate nini kwa Vijana rika la Wajukuu zangu?Unajitetea😁😁😁
Sijui unatujua au??We nakupeleka uka toe Mbwa bandani tu😂🤣
Kweli mkuu..Shida Wana kosa forward mwenye nja ya magoli, wanted mpata hata benzema Ange offer difference.
Kwa kweli na uzee huo vijana wame kukosea sana😁😁😁Hivi na umri huu nifate nini kwa Vijana rika la Wajukuu zangu?
Mimi nipo zangu kuitafuta Pepo tu, si umeona Umri ulivyonisonga?
😂😂😂😂Umefuzu CubaKwahiyo ulitaka kuamini kabisa kuwa hazitanifikia.? Zilifika zote.
Huyo mmoja aliyejisilibia ndio kiini chenyewe, maana alikuwa anamjaza dogo ili aendelee kutiririka.
Mtafanya tuwapigie watu wa Breweries msiuziwe Vinywaji leo hadi Mwakani![]()


Yaani inatakiwa kulewa kwanza