Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

" Huyu kapewa gono, yule anaumwa figo, yule ni single mother, fulani ana ngoma kamuambukiza fulani, yule kaliwa sana mwisho kachukuliwa na fulani, wanawake fulani ni low class..."

Hayo ni maneno ambayo huwezi kusema yanashangaza kwa mtu yoyote mwenye akili timamu, ila yanapozungumzwa na jinsia ya KIUME tena katika ya kimbeambea, inatia mashaka kidogo. Katika hali ya kawaida mwanaume unaumiaje mwanamke akitongozwa, mbona ni issue za kawaida sana aiseeh..? Fulani analiwa sana/kaliwa sana, mbona sioni chochote cha ajabu kiumeni?

Sijawahi kuvutiwa kutaka kumfahamu vizuri huyu PENSELI, ila sasa napata wasiwasi juu ya Manhood yake.

Dogo Penseli 4 jirekebishe, kama kuna wanaokutia moyo kwenye hizo harakati zako ujue kabisa wanakupoteza.

Ngoja nisubiri hayo mafaili mengine, nioshe macho.
Bora wangesema mimi naumwa figo kuliko kusema napitia mademu humu, mana mimi napombe ni damudamu😅
 
😂😂😂
1000110744.jpg
 
Wasamehe tu babu
Nimewasamehe, ila jambo hili kutoka Moyoni kabisa sijalipenda.

Na it seems, Vijana wengi wa miaka hii hamjui kutunza Siri.

Kama mnaweza kuwa na Mahusiano humu, kwani ni lazima kila mtu ajue.

Jifunzeni kutunza Siri, kama mnaweza kuhadithiana haya vipi kama tulikuwa tuna Vibamia, si vyote mtaviweka hadharani jamani.

Tukiwa tuna comment hapa mtaanza kusema Angalia Kibamia hichi kinapita

Jamani heshimuni Privacy zenu
 
Nimewasamehe, ila jambo hili kutoka Moyoni kabisa sijalipenda.

Na it seems, Vijana wengi wa miaka hii hamjui kutunza Siri.

Kama mnaweza kuwa na Mahusiano humu, kwani ni lazima kila mtu ajue.

Jifunzeni kutunza Siri, kama mnaweza kuhadithiana haya vipi kama tulikuwa tuna Vibamia, si vyote mtaviweka hadharani jamani.

Tukiwa tuna comment hapa mtaanza kusema Angalia Kibamia hichi kinapita

Jamani heshimuni Privacy zenu
Hahahahahaha,
 
Nimewasamehe, ila jambo hili kutoka Moyoni kabisa sijalipenda.

Na it seems, Vijana wengi wa miaka hii hamjui kutunza Siri.

Kama mnaweza kuwa na Mahusiano humu, kwani ni lazima kila mtu ajue.

Jifunzeni kutunza Siri, kama mnaweza kuhadithiana haya vipi kama tulikuwa tuna Vibamia, si vyote mtaviweka hadharani jamani.

Tukiwa tuna comment hapa mtaanza kusema Angalia Kibamia hichi kinapita

Jamani heshimuni Privacy zenu
Kwakweli hali ni mbaya muhimu tuache kunafkiana humu Yani tunadhalilishana sijui Figo hivo vitu vya kumsimanga binadamu mwenzio kweli Tena ni vya uongo
 
Back
Top Bottom