Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Countrywide badala ya kupiga kelele zisizo na msingi.
Wekeni ushahidi ili ukweli uonekane,
Maana msije mkawa mna Tafuta Kiki tu mzee.

Hakuna anayetafuta kiki hapa sawa? Afu acha shobo wangapi humu wanaambiwa mambo ya kutoka na watu?? Hujaona wakina Nuzulat, Aaliyah na Anne wakilalamika kuhusu hizi issue za kuchafuana?? Hao wote wanatafuta kiki??

Kuna muda ukinyamaza kwa vitu visivyokuhusu ni bora zaidi? Au wewe watu wakizushiwa habari za uongo unafurahi?? Mxxiewwww

Km vipi nipotezeee
 
Sasa hiyo sio njia ya kurekebishana kwa wanaume unakuja kunipondea mbele za mademu ili? Nichane kiume ila kama ulivyo sema kutaka kuwapa watu faida wape iyo faida huwenda watamiliki ata kiwanja goba cha mkopo
Dogo mm nimekueleza kutokana na comment niliyoona umeandika, nikashangaa how unaweza andika hivyo ikiwa unachofanya ni kitu ya ajabu.

Again, sihitaj tena pigo za kulumbana huku. Naamini umenielewa vizuri tu, wala uhitaji kutumia nguvu kwenye hili.
 
umaarufu unatafutwa kwa nguvu uduguuu, woiiiiiiih

Umekaribishwa selfika rasmii mwayaa,

Na nipo sana mpk wenye uchungu wazae, wengine ni watu wazima ilifaa waitwe babu ila ukiwaona humu wanachofanya ni aibu!!!
 
Oyaaa nakubali
Screenshot_20230820-234239.png
 
Back
Top Bottom