Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,191
- 96,024
I mean no malice to nobodywala hata, nasingiziwa
I mean no malice to nobodywala hata, nasingiziwa
Mambo😁Nimestaafu kidogo kwakweli yamenifika shingoni 😀
Countrywide badala ya kupiga kelele zisizo na msingi.
Wekeni ushahidi ili ukweli uonekane,
Maana msije mkawa mna Tafuta Kiki tu mzee.
Dogo mm nimekueleza kutokana na comment niliyoona umeandika, nikashangaa how unaweza andika hivyo ikiwa unachofanya ni kitu ya ajabu.Sasa hiyo sio njia ya kurekebishana kwa wanaume unakuja kunipondea mbele za mademu ili? Nichane kiume ila kama ulivyo sema kutaka kuwapa watu faida wape iyo faida huwenda watamiliki ata kiwanja goba cha mkopo
Mimi Nilikopa kausha damu inanihangaisha
mwaka huu mambo ya umbea sio ishuzangu![]()





watu na kausha damu yao mjiniiii.Juzi ulikuwa kibaha, leo nyakibo.Mimi nipo nyakibo mpakani mwa tz huku na Antonnia wangu.
majaaa wanazingua kinoma 😅😅😅Oya sema kausheni wakuu.
Hizi pigo tuwaachie kina Aaliyyah
Wana kuwa wao ndo Adam na Hawa was jf😁😂😂🤒majaaa wanazingua kinoma 😅😅😅
Oyaaa nakubaliNimeingi mzigoni 😅😅😅
View attachment 2723367
wahuni mnavimba tu😂Nimeingi mzigoni 😅😅😅
View attachment 2723367
umaarufu unatafutwa kwa nguvu uduguuu, woiiiiiiih
Umekaribishwa selfika rasmii mwayaa,![]()





Oyaaa nakubali
Yaan konki iyo ukikopa hata umbea hukumbuki 😂😂😂watu na kausha damu yao mjiniiii.