Me kimeniuma pic zangu tyuu hayo mengine wala siyahitaji kivile hayana umuhimu
Unajua mtu mwenye akili zake timamu hawez kubeba pic ya mtu na kuikimbiza kwa mtu ambaye ahusiani naye, huo ni UCHOKO afu anapeleka na vimaneno ili iweje??
Hujacheka vzr nakwambia ni shida humu!! Nimeshangaa mpk ss hivi ile sura ya mwanamke kweli au alikimbia kupachikwa dyudyu kabla hajakauka wakati wa uumbaji??
Mimi yalisha nikuta kuna member tulizoeana kweli matani sana na vikopa jukwaani kumbe ilikuwa kosa bila kujua hata hatukuwa tunatakana akaanza kupelekewa faili langu eti wananijua ni Single mama ninayetafuta huruma
tupo wote TBT napaonaga mbali .. kama hapo sinza najongea sema kwa machale.. kuna manzi niliikula hapo kwa mkopo.. najua ikiniona itanisimanga sanaa π€£π€£π€£
Mpk wanaume wana vigroup wameungana na wadada kazi yao ni umbea tu!!! Wanakuja piem wanatongoza afu wanasambaza chat na pic zako!! Kuna wengi nimewaona huko piem wanaleta
Tena hii niko serious ladies kuweni makini piem mtaabika nawaambia