Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Udugu
Kuna watu wafupi kutoka fasii ya Kongo eti wanajifananisha na me

Nyie mbona wanatia huruma sana, sura mpk camera zinagoma yani mashavu km mimba ya panya khaaaaaa
Uduguuuu sitakiiii niwekee kulee huu ubuyuuu,
 
Jamani nimeacha rasmi kugombana kuna mtu anakasirika anatamani ningekua karibu aniwashe makofi

Ila anayeona me mke mwenzie au adui yake kivyovyote vile aje aniquote na aseme shida yake nini?? Ili tumuombe Mello atupe uwanja tupigane jf iingize mapato
 
Jamani nimeacha rasmi kugombana kuna mtu anakasirika anatamani ningekua karibu aniwashe makofi

Ila anayeona me mke mwenzie au adui yake kivyovyote vile aje aniquote na aseme shida yake nini?? Ili tumuombe Mello atupe uwanja tupigane jf iingize mapato
Pacha tuna bifu🤣😂😂🤣😂, kani rudishie njiwa wangu🤒
 
Back
Top Bottom