Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Jamani nimeacha rasmi kugombana kuna mtu anakasirika anatamani ningekua karibu aniwashe makofi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ila anayeona me mke mwenzie au adui yake kivyovyote vile aje aniquote na aseme shida yake nini?? Ili tumuombe Mello atupe uwanja tupigane jf iingize mapato [emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Pacha tuna bifu🤣😂😂🤣😂, kani rudishie njiwa wangu🤒
 
Jamani nimeacha rasmi kugombana kuna mtu anakasirika anatamani ningekua karibu aniwashe makofi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ila anayeona me mke mwenzie au adui yake kivyovyote vile aje aniquote na aseme shida yake nini?? Ili tumuombe Mello atupe uwanja tupigane jf iingize mapato [emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Hivi huyo mtu mnaye mgombea amesha watambulisha kwao😁😁🏃🏿‍♀️
 
Ngoja nikuletee sura lake ulione kwanza yaani yupo km mbuni anayejifunza kukimbia nywele kichwani hazieleweki sijui kapaka zazuu na vyenyewe fupi bwaaahaaa [emoji2961][emoji2961][emoji2961][emoji2961]

Ngozi ya uso ipo km ya kenge mafuta yamegoma nyie mi sitaki, si bora angekataa kuumbwa mwanamke [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mweeeh
 
Jamani nimeacha rasmi kugombana kuna mtu anakasirika anatamani ningekua karibu aniwashe makofi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ila anayeona me mke mwenzie au adui yake kivyovyote vile aje aniquote na aseme shida yake nini?? Ili tumuombe Mello atupe uwanja tupigane jf iingize mapato [emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Huyo babe ako ni yupi???


Namtafuta haniii yangu,haniiiiiii,haniiiiii[emoji1323]
 
Back
Top Bottom