Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,675
- 39,092
Hivi huyo mtu mnaye mgombea amesha watambulisha kwao😁😁🏃🏿♀️Jamani nimeacha rasmi kugombana kuna mtu anakasirika anatamani ningekua karibu aniwashe makofi
Ila anayeona me mke mwenzie au adui yake kivyovyote vile aje aniquote na aseme shida yake nini?? Ili tumuombe Mello atupe uwanja tupigane jf iingize mapato![]()





