Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Jamani nimeacha rasmi kugombana kuna mtu anakasirika anatamani ningekua karibu aniwashe makofi

Ila anayeona me mke mwenzie au adui yake kivyovyote vile aje aniquote na aseme shida yake nini?? Ili tumuombe Mello atupe uwanja tupigane jf iingize mapato
Hivi huyo mtu mnaye mgombea amesha watambulisha kwao😁😁🏃🏿‍♀️
 
Ngoja nikuletee sura lake ulione kwanza yaani yupo km mbuni anayejifunza kukimbia nywele kichwani hazieleweki sijui kapaka zazuu na vyenyewe fupi bwaaahaaa

Ngozi ya uso ipo km ya kenge mafuta yamegoma nyie mi sitaki, si bora angekataa kuumbwa mwanamke
Mweeeh
 
Jamani nimeacha rasmi kugombana kuna mtu anakasirika anatamani ningekua karibu aniwashe makofi

Ila anayeona me mke mwenzie au adui yake kivyovyote vile aje aniquote na aseme shida yake nini?? Ili tumuombe Mello atupe uwanja tupigane jf iingize mapato
Huyo babe ako ni yupi???


Namtafuta haniii yangu,haniiiiiii,haniiiiii
 
Namtafuta haniii yangu,haniiiiiii,haniiiiii
emoji1323.png
kwako Mjep
 
Back
Top Bottom